Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
Ndugu zangu
Mzee Timoth Apiyo amefariki dunia usiku wa jana akiwa katika matibabu South Africa katika Hospitali ya Mill Park South Africa.
Serikali ikishirikiana kwa karibu na ubalozi wetu South Africa unafanya mipango ya kusafirisha mwili kuuleta Tanzania.
Msiba upo nyumbani kwake Sitaki Shari.
Poleni sana wafiwa; Clay; Slyvia pamoja na wanafamilia wote.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa.
Rest in Peace Mzee Apiyo. You lived your life kwa uadilifu wa juu.
Updates: as at 11th June 2013 at 11.00 PM
Unless kama kutakuwa na mabadiliko, status iko hivi:
- Death Certificate itatolewa kesho Wednesday 12th June 2013
- Mwili utawasili Alhamis Mchana na SAA
- Ijumaa itakuwa shughuli ya kuuaga mwili wake nyumbani kwake Sitakishari
Update 2: 13th June 2013 at 12.00 Midnight
- Kutokana na kukosa nfasi katika ndege ya Alhamis, sas mwili utawasili na ndege ya Ijumaa usiku SAA
- Mwili utapokelewa na viongozi wa Serikali na Wanandugu
- Mwili utalala nyumbani Sitakishari
- Jumamosi asubuhi saa 4 kutakuwa na Ibada ya kumwaga marehemu na kutoa heshima za mwisho
- Mchana mwili utasafirishwa kwa ndege kwenda Rorya Musoma ukiambatana na wanafamilia tisa
- Ndugu jamaa na marafiki wengine 50 wataondoka na basi la JWTZ siku ya ijumaa alfajiri
- Mzee Apiyo atapumzishwa siku ya Jumapili.
Update 3: 14th June 2013
- Mwili utawasili leo saa moja jioni
- Utapelekwa nyumbani Sitakishari
- Kesho Jumamosi saa 2 last respect nyumbani kwake
- baada ya hapo utapelekwa karimjee Hall kwa last respect ya kitaifa. Public.
- Baada ya hapo mwili utasafirishwa kwa ndege kwende Musoma kwa maziko siku ya Jumapili.