Mzee small kuagwa leaders:???

Mzee small kuagwa leaders:???

Status
Not open for further replies.
Tena yeye mwenyewe alisema nanukuu, "wasanii tusaidiane sio tusubiri mtu afe. Mkisikia small kafa wasanii watajaa sana hapa hata wewe mpiga picha utakuwa kule (yaani atakosa nafasi)", na imetokea hivyo hivyo. Hata aibu hawana!!!
Mzee ameugua na kukosa huduma na hawa "wasanii" wako tu wanaponda raha! Leo amekufa kila mtu ameweka status na picha yakr whatsup RIP..wapuuzi kabisa..na kesho utasikia wanaomba michango kumuaga mwenzao...ujinga mtupu.. RIP mzee Small
 
Somo kwa yeyote awaye - unapofanya kazi au shughuli zako ujue kuugua na shida nyingine zipo na kwa kawaida hakutakuwa na msaada wa maana kutoka kwa wanafani, jamii au unaohangaika nao. Ukifa ndio watajitokeza. Hivyo jiwekee kila akiba unayoweza ije kukusaidia.
 
naipenda ile style ya mabinti kujifanya wamezimia na wengine kujiangusha na kugalagala kwa uchungu mbele ya camera za waandishi huku simu zao na pochi zao wakiwa washawapa shoga zao wawashikie zisije kuibiwa wakiwa wanaigiza uchungu

Usanii hadi katika misiba!
Kweli hii ndio Bongo mavi
 
naipenda ile style ya
mabinti kujifanya wamezimia na wengine kujiangusha na kugalagala kwa
uchungu mbele ya camera za waandishi huku simu zao na pochi zao wakiwa
washawapa shoga zao wawashikie zisije kuibiwa wakiwa wanaigiza
uchungu

Ha ha haaaaa sehemu ya kazi yao wanaongeza ujuzi.
 
naipenda ile style ya mabinti kujifanya wamezimia na wengine kujiangusha na kugalagala kwa uchungu mbele ya camera za waandishi huku simu zao na pochi zao wakiwa washawapa shoga zao wawashikie zisije kuibiwa wakiwa wanaigiza uchungu

Haha hahha..! Nilikuaga najua wako serious na uchungu ndio maana wanazimia au wanadondoka. Sasa nimeelewa.
 
Ngojeni ni wape ushuhuda hapa na tumaini wengine mtaniunga mkono au wenyel aptop wanaweza kuangalia kile kipindi.
Katika msiba ADAM KUAMBIANA.


Kwa wale mlioangalia kipindi Cha Zamaradi Mketema wa Clouds TV.
Alionyesha kipande ambacho JB alilia mpaka akashindwa kusimama(sijui kama ni kweli ila naona alikuwa anaigiza )
Sasa mie nikajua kweli anauchungu sana,sasa jioni yake ya usiku ule Zamaradi alimualika JB katika kipindi cha Take One,sasa ikawekwa Clips ya Steve Nyerere alipokuwa anahutubia huku akilia,sasa bahati mbaya mtu wa Camera wa Studio alikata clips akarejesha Studio na kwa mshangao mkuba JB na mwezie walikuwa wanacheka,kisha wakapoteza,ikabidi Zamaradi akapotezea nakusema ahh unajua sio mambo ya kucheka Steve anaogea kama vile Nyerere.
Sasa pale ndio nilipopata picha,yaani imewekwa clips ya mwezio anaongea hadi analia na wewe unacheka,halafu wewe huyo huyo mchana wake ulijifanya unalia hadi unaishiwa nguvu kwenye msiba on the same day ya mahojiano.

Hawa Jamaa kazi kweli kweli,yaani mie siwafagilii kabisaa,mwanzo walikuwa wanawalaumu wasanii wa Bongofleva kwamba wanawatenga wakati wao kwa wao wanga,hawasaidiani mpaka litokee,na mbaya zaidi hao wasanii ndio ambao waliokuwa wanawashirikisha na kuwalipa pesa kidgooo na wao kula neema.Ila kwenye Maradhi kila mmoja mbio.
Na CD zenu tuta zi BAN huku mpaka mshike adabu,xhsj type

 
hivi kafiri ndo watu gani? manake mmh watu wanabwabwaja mara kafiri mara nonino duh majina mengine bana
 
Ningekua mi ndo ndugu wa marehemu, ningepiga marufuku mbongo muvi yeyote kuchukulia ujiko mwili wa ndugu yangu. Yaani ni marufuku kamera ya aina yeyote kwa mtu yeyote msibani isipokuwa ndugu wa marehemu tu, hapo hata wanaojifanya kuzimia hawatazimia siku hiyo.
 
wanakuja kuuza sura na miwani zao meusi ndio maana wote wamelaaniwa.small aliwalalamikia sana kuwa wamemtenga na mungu anawaona Hawa jamaa watazidi kupoteza mwelekeo
 
naipenda ile style ya mabinti kujifanya wamezimia na wengine kujiangusha na kugalagala kwa uchungu mbele ya camera za waandishi huku simu zao na pochi zao wakiwa washawapa shoga zao wawashikie zisije kuibiwa wakiwa wanaigiza uchungu

Kula like mkuu!
 
Not his name...Said Wagamba

Not His name...?Nimemfahamu huyu mzee toka Enzi za DDC Kibisa na baadae Muungano Cultural na hili ndo jina alokuwa akituia na baadae ndo likabaki "mzee Small tu
 
Kweli ni somo kwetu mkuu lakini hii haiondoi dhana ya kusaidiana. Mtu hata uwekeze namna gani ukianza kuugua mali zako zote zinaweza kuisha kwa ajili ya kukuuguza na isitoshe wewe unayetafuta uko kitandani hivyo hakuna kinachoingia bali kinatoka tu tena kwa wingi. Muda aliougua mzee small lazima fedha yote aliyowekeza itakuwa ilishaisha. Tunatakiwa tuwe tunawasaidia wenzetu wanapopata matatizo, tusiangalie kama walijiandaa au la. Isitoshe sidhani kuna mtu anajiandaa kuugua.
Somo kwa yeyote awaye - unapofanya kazi au shughuli zako ujue kuugua na shida nyingine zipo na kwa kawaida hakutakuwa na msaada wa maana kutoka kwa wanafani, jamii au unaohangaika nao. Ukifa ndio watajitokeza. Hivyo jiwekee kila akiba unayoweza ije kukusaidia.
 
Kweli ni somo kwetu mkuu lakini hii haiondoi dhana ya kusaidiana. Mtu hata uwekeze namna gani ukianza kuugua mali zako zote zinaweza kuisha kwa ajili ya kukuuguza na isitoshe wewe unayetafuta uko kitandani hivyo hakuna kinachoingia bali kinatoka tu tena kwa wingi. Muda aliougua mzee small lazima fedha yote aliyowekeza itakuwa ilishaisha. Tunatakiwa tuwe tunawasaidia wenzetu wanapopata matatizo, tusiangalie kama walijiandaa au la. Isitoshe sidhani kuna mtu anajiandaa kuugua.
Mwanzoni umekubali kwamba kuna somo la kujiandaa na bado sentensi yako ya mwisho inapinga. Hujiandai kuugua bali kwa jinsi ya kujikimu katika shida mbalimbali uzeeni ikiwemo kuugua.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom