Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Mwendelezo ya kutumia uhusika wa mtu wa kufikirika!
Uzalendo sio kuunga mkono tu kila litokalo kinywani mwa rais au kila atendalo!Uzalendo ni pamoja na kuwa mkweli,kuwa muwazi na kusimama na nchi mara zote na sio na serikali au Rais!
Kutoikosoa serikali pale inapokosea sio uzalendo!
Kura yangu mimi kama mzalendo ni kwa Lissu!Kwahiyo mwambie mzee shomari wako wa kufikirika kuwa hoja yake haina mashiko!
Uzalendo sio kuunga mkono tu kila litokalo kinywani mwa rais au kila atendalo!Uzalendo ni pamoja na kuwa mkweli,kuwa muwazi na kusimama na nchi mara zote na sio na serikali au Rais!
Kutoikosoa serikali pale inapokosea sio uzalendo!
Kura yangu mimi kama mzalendo ni kwa Lissu!Kwahiyo mwambie mzee shomari wako wa kufikirika kuwa hoja yake haina mashiko!