Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: Kura za kizalendo zitaamua nani awe mshindi wa Urais, kwa mantiki hii Lissu hana chake toka kwa wazalendo

Mwendelezo ya kutumia uhusika wa mtu wa kufikirika!

Uzalendo sio kuunga mkono tu kila litokalo kinywani mwa rais au kila atendalo!Uzalendo ni pamoja na kuwa mkweli,kuwa muwazi na kusimama na nchi mara zote na sio na serikali au Rais!
Kutoikosoa serikali pale inapokosea sio uzalendo!

Kura yangu mimi kama mzalendo ni kwa Lissu!Kwahiyo mwambie mzee shomari wako wa kufikirika kuwa hoja yake haina mashiko!
 
Huwezi lipenda taifa lako kwa kudhulumu wengine, ukilipenda taifa lako utawapenda na RAIA wenzako, wawe wa chama chako au wawe wa sio wa chama chako.jpm uzalendo wake una mashaka
Kwa hiyo haya mambo mazuri anayafanya kwa ajiri ya wana Ccm tu?
 
Mwendelezo ya kutumia uhusika wa mtu wa kufikirika!

Uzalendo sio kuunga mkono tu kila litokalo kinywani mwa rais au kila atendalo!Uzalendo ni pamoja na kuwa mkweli,kuwa muwazi na kusimama na nchi mara zote na sio na serikali au Rais!
Kutoikosoa serikali pale inapokosea sio uzalendo!

Kura yangu mimi kama mzalendo ni kwa Lissu!Kwahiyo mwambie mzee shomari wako wa kufikirika kuwa hoja yake haina mashiko!
Mzee Shomari yupo na anajua wazi uzalendo wa JPM ndio umeleta maendeleo makubwa hapa Tanzania ndani ya miaka minne.
 
Mzee Shomari anasema mzalendo ni mtu anayelipenda taifa lake kwa moyo wake wote,analitakia taifa lake mafanikio mema, na yupo tayari kufa kwa ajili ya taifa lake.

JPM ni mzalendo wa kweli hiyo kura nyingi za kizalendo lazima zitamuangukia yeye, kwa ujasiri aliouonyesha kwa kulipenda taifa lake, kulinda rasilimali zake na yupo tayari kufa kwa ajili ya taifa lake.

Mgombea wa Chadema, kauli zake za kuhusudu mabeberu na kuonyesha nia ya kutaka kuuza taifa letu kunamuondolea sifa ya kuwa kiongozi anayestahili kupata kura za kizalendo. Mzee Shomari anasema kama mtu anataka urais alafu ananadi sera ya kuweka rehani rasilimali za taifa letu kwa mabeberu ilihali anafahamu kuwa ni wanyonyaji, basi huyo mtu hafai.

Mgombea ambae muda wote ni kusifia na kuhusudu mataifa ya kibeberu hafai kabisa maana anaweza kuuza taifa letu na kuingiza tamaduni za kibeberu kwenye nchi yetu. Mfano Lissu huko nyuma alikuwa kifua mbele kupinga serikali yetu isiwabane mabeberu ambao walikuwa wanatunyonya kupitia kampuni yao ya Accacia, leo anapita majukwaani anasema ataweka rehani madini yetu na kampuni za kibeberu ili zichimbe hapa nchini madini, je huyu mtu anafaa kweli kupata kura toka kwa wananchi wazalendo?

Ni dhahiri kabisa wazalendo hawata mpigia kura Lissu maana amekuwa mtu aliyejaa fikra mbovu za kibeberu na hafai kuwa kiongozi tena,na hili lilithibitika pale aliposema yeye msimamo wake ni kulinda haki za faragha za mashogha, jambo ambalo linaonyesha wazi mabeberu walishamteka kwa kila namna.

Wazalendo watanzanzania hawatampigia kura mtu kama huyu.
What is an idiot?
 
Hata kwa vitendo uzalendo unaonekana.JPM ameonyesha kwa vitendo
Kutesa wapinzani ndio uzalendo huo?
Kina Nusrat Henje miezi 3 wako ndani kwa kuimba "Mungu ibariki chadema",wakati huo huo UVCCM wanapeta tu kitaa japo na wao waliimba "Mungu mmbariki Magufuli..."
Uzalendo sio kutisha wananchi kuwa wasioochagua wabunge wa CCM hutapeleka maendeleo!!!
Uzalendo sio kunyima uhuru watu kutekeleza haki zao za kikatiba!

Uzalendo haupimwi kwa eneo moja kama unavyotaka kuaminisha watu na uzalendo wa Magufuli!
 
Mzee Shomari anasema mzalendo ni mtu anayelipenda taifa lake kwa moyo wake wote,analitakia taifa lake mafanikio mema, na yupo tayari kufa kwa ajili ya taifa lake.

JPM ni mzalendo wa kweli hiyo kura nyingi za kizalendo lazima zitamuangukia yeye, kwa ujasiri aliouonyesha kwa kulipenda taifa lake, kulinda rasilimali zake na yupo tayari kufa kwa ajili ya taifa lake.

Mgombea wa Chadema, kauli zake za kuhusudu mabeberu na kuonyesha nia ya kutaka kuuza taifa letu kunamuondolea sifa ya kuwa kiongozi anayestahili kupata kura za kizalendo. Mzee Shomari anasema kama mtu anataka urais alafu ananadi sera ya kuweka rehani rasilimali za taifa letu kwa mabeberu ilihali anafahamu kuwa ni wanyonyaji, basi huyo mtu hafai.

Mgombea ambae muda wote ni kusifia na kuhusudu mataifa ya kibeberu hafai kabisa maana anaweza kuuza taifa letu na kuingiza tamaduni za kibeberu kwenye nchi yetu. Mfano Lissu huko nyuma alikuwa kifua mbele kupinga serikali yetu isiwabane mabeberu ambao walikuwa wanatunyonya kupitia kampuni yao ya Accacia, leo anapita majukwaani anasema ataweka rehani madini yetu na kampuni za kibeberu ili zichimbe hapa nchini madini, je huyu mtu anafaa kweli kupata kura toka kwa wananchi wazalendo?

Ni dhahiri kabisa wazalendo hawata mpigia kura Lissu maana amekuwa mtu aliyejaa fikra mbovu za kibeberu na hafai kuwa kiongozi tena,na hili lilithibitika pale aliposema yeye msimamo wake ni kulinda haki za faragha za mashogha, jambo ambalo linaonyesha wazi mabeberu walishamteka kwa kila namna.

Wazalendo watanzanzania hawatampigia kura mtu kama huyu.
What a shock, magufuli mzalendo!?
Angekuwa mzalendo asingeficha mikataba ya madini na ujenzi wa miradi mikubwa na asingejenga uwanja wa ndege chato asingewaua na kuwateka wanaomkosoa
 
Kutesa wapinzani ndio uzalendo huo?
Kina Nusrat Henje miezi 3 wako ndani kwa kuimba "Mungu ibariki chadema",wakati huo huo UVCCM wanapeta tu kitaa japo na wao waliimba "Mungu mmbariki Magufuli..."
Uzalendo sio kutisha wananchi kuwa wasioochagua wabunge wa CCM hutapeleka maendeleo!!!
Uzalendo sio kunyima uhuru watu kutekeleza haki zao za kikatiba!

Uzalendo haupimwi kwa eneo moja kama unavyotaka kuaminisha watu na uzalendo wa Magufuli!
Kama unataka watu wavunje sheria alafu waachwe subiri Chadema ikichukua nchi. Sheria ni maandiko yaliyo hai.
 
What a shock, magufuli mzalendo!?
Angekuwa mzalendo asingeficha mikataba ya madini na ujenzi wa miradi mikubwa na asingejenga uwanja wa ndege chato asingewaua na kuwateka wanaomkosoa
Pointless,mikataba haionyweshi hovyo kama magazeti.
 
Mzee Shomari anasema mzalendo ni mtu anayelipenda taifa lake kwa moyo wake wote,analitakia taifa lake mafanikio mema, na yupo tayari kufa kwa ajili ya taifa lake.

JPM ni mzalendo wa kweli hiyo kura nyingi za kizalendo lazima zitamuangukia yeye, kwa ujasiri aliouonyesha kwa kulipenda taifa lake, kulinda rasilimali zake na yupo tayari kufa kwa ajili ya taifa lake.

Mgombea wa Chadema, kauli zake za kuhusudu mabeberu na kuonyesha nia ya kutaka kuuza taifa letu kunamuondolea sifa ya kuwa kiongozi anayestahili kupata kura za kizalendo. Mzee Shomari anasema kama mtu anataka urais alafu ananadi sera ya kuweka rehani rasilimali za taifa letu kwa mabeberu ilihali anafahamu kuwa ni wanyonyaji, basi huyo mtu hafai.

Mgombea ambae muda wote ni kusifia na kuhusudu mataifa ya kibeberu hafai kabisa maana anaweza kuuza taifa letu na kuingiza tamaduni za kibeberu kwenye nchi yetu. Mfano Lissu huko nyuma alikuwa kifua mbele kupinga serikali yetu isiwabane mabeberu ambao walikuwa wanatunyonya kupitia kampuni yao ya Accacia, leo anapita majukwaani anasema ataweka rehani madini yetu na kampuni za kibeberu ili zichimbe hapa nchini madini, je huyu mtu anafaa kweli kupata kura toka kwa wananchi wazalendo?

Ni dhahiri kabisa wazalendo hawata mpigia kura Lissu maana amekuwa mtu aliyejaa fikra mbovu za kibeberu na hafai kuwa kiongozi tena,na hili lilithibitika pale aliposema yeye msimamo wake ni kulinda haki za faragha za mashogha, jambo ambalo linaonyesha wazi mabeberu walishamteka kwa kila namna.

Wazalendo watanzanzania hawatampigia kura mtu kama huyu.
sawa
 
Back
Top Bottom