Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Mzee Shomari anasema mzalendo ni mtu anayelipenda taifa lake kwa moyo wake wote,analitakia taifa lake mafanikio mema, na yupo tayari kufa kwa ajili ya taifa lake.
JPM ni mzalendo wa kweli hiyo kura nyingi za kizalendo lazima zitamuangukia yeye, kwa ujasiri aliouonyesha kwa kulipenda taifa lake, kulinda rasilimali zake na yupo tayari kufa kwa ajili ya taifa lake.
Mgombea wa Chadema, kauli zake za kuhusudu mabeberu na kuonyesha nia ya kutaka kuuza taifa letu kunamuondolea sifa ya kuwa kiongozi anayestahili kupata kura za kizalendo. Mzee Shomari anasema kama mtu anataka urais alafu ananadi sera ya kuweka rehani rasilimali za taifa letu kwa mabeberu ilihali anafahamu kuwa ni wanyonyaji, basi huyo mtu hafai.
Mgombea ambae muda wote ni kusifia na kuhusudu mataifa ya kibeberu hafai kabisa maana anaweza kuuza taifa letu na kuingiza tamaduni za kibeberu kwenye nchi yetu. Mfano Lissu huko nyuma alikuwa kifua mbele kupinga serikali yetu isiwabane mabeberu ambao walikuwa wanatunyonya kupitia kampuni yao ya Accacia, leo anapita majukwaani anasema ataweka rehani madini yetu na kampuni za kibeberu ili zichimbe hapa nchini madini, je huyu mtu anafaa kweli kupata kura toka kwa wananchi wazalendo?
Ni dhahiri kabisa wazalendo hawata mpigia kura Lissu maana amekuwa mtu aliyejaa fikra mbovu za kibeberu na hafai kuwa kiongozi tena,na hili lilithibitika pale aliposema yeye msimamo wake ni kulinda haki za faragha za mashogha, jambo ambalo linaonyesha wazi mabeberu walishamteka kwa kila namna.
Wazalendo watanzanzania hawatampigia kura mtu kama huyu.
JPM ni mzalendo wa kweli hiyo kura nyingi za kizalendo lazima zitamuangukia yeye, kwa ujasiri aliouonyesha kwa kulipenda taifa lake, kulinda rasilimali zake na yupo tayari kufa kwa ajili ya taifa lake.
Mgombea wa Chadema, kauli zake za kuhusudu mabeberu na kuonyesha nia ya kutaka kuuza taifa letu kunamuondolea sifa ya kuwa kiongozi anayestahili kupata kura za kizalendo. Mzee Shomari anasema kama mtu anataka urais alafu ananadi sera ya kuweka rehani rasilimali za taifa letu kwa mabeberu ilihali anafahamu kuwa ni wanyonyaji, basi huyo mtu hafai.
Mgombea ambae muda wote ni kusifia na kuhusudu mataifa ya kibeberu hafai kabisa maana anaweza kuuza taifa letu na kuingiza tamaduni za kibeberu kwenye nchi yetu. Mfano Lissu huko nyuma alikuwa kifua mbele kupinga serikali yetu isiwabane mabeberu ambao walikuwa wanatunyonya kupitia kampuni yao ya Accacia, leo anapita majukwaani anasema ataweka rehani madini yetu na kampuni za kibeberu ili zichimbe hapa nchini madini, je huyu mtu anafaa kweli kupata kura toka kwa wananchi wazalendo?
Ni dhahiri kabisa wazalendo hawata mpigia kura Lissu maana amekuwa mtu aliyejaa fikra mbovu za kibeberu na hafai kuwa kiongozi tena,na hili lilithibitika pale aliposema yeye msimamo wake ni kulinda haki za faragha za mashogha, jambo ambalo linaonyesha wazi mabeberu walishamteka kwa kila namna.
Wazalendo watanzanzania hawatampigia kura mtu kama huyu.