Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
....yani umeshindwa kutuambia mada ilikuwa inahusu nini,na huyo 'source' alizungumziaje hayo masuala ya US ili na sie tupate picha;ni baada ya source wake pale studio kuzungumzia masuala ya US ghafla jamaa mmoja akakimbia kumvua kinasa sauti na pakasalia idle,let's watch what comes next week!
.....unaweka kidhungu koko tukuone umeelewa kipindi wakati uzi mzima umedhihirisha hukuelewa kitu ndo mana unarukaruka tu!