Mzee Shakka leo katolewa fasta hewani

Mzee Shakka leo katolewa fasta hewani

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
8,205
Reaction score
12,504
ni baada ya source wake pale studio kuzungumzia masuala ya US ghafla jamaa mmoja akakimbia kumvua kinasa sauti na pakasalia idle,let's watch what comes next week!
7756acfab9362a99d812c4c105fd92d0.jpg
 
ni baada ya source wake pale studio kuzungumzia masuala ya US ghafla jamaa mmoja akakimbia kumvua kinasa sauti na pakasalia idle,let's watch what comes next week!
Nimeiona hiyo kitu, nikabaki nimeduwaa. Kibarua chake nimeingia majaribuni.
 
Nimeiona hiyo kitu, nikabaki nimeduwaa. Kibarua chake nimeingia majaribuni.
Napata wasiwasi huo pia mzee anaweza akapoteza kibarua labda iwe bahati tu maana yule source akivotumbukiza neno US to jamaa waka mute sauti
 
Nimeona hii kitu, ni kama studio imevamiwa wakiwa bado live without audio.
 
Uheshimiwe uhuru wa mawazo ya mtu anapotoa maoni yake. Uhuru wa mawazo na kujieleza use ndio kipaumbele.
 
Mmeona tukio lisilo la kawaida mnachotakiwa kufanya ni kutulia na kutuletea habari iliyokamili ambayo kila mtu atayeipitia kuisoma ataielewa. Mnachofanya hapa ni kama kupiga stori za vijiweni ambazo si wote watakaozielewa. Badilikeni bhana.
 
Mmeona tukio lisilo la kawaida mnachotakiwa kufanya ni kutulia na kutuletea habari iliyokamili ambayo kila mtu atayeipitia kuisoma ataielewa. Mnachofanya hapa ni kama kupiga stori za vijiweni ambazo si wote watakaozielewa. Badilikeni bhana.
Mkuu hii sio makala ya mwanahalisi,sio kila kitu lazima ukifahamu kwa kina brief news inatosha kama lazima njoo imbox nikusimulie
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Hovyoo! Ilikuwa hakuna haja ya kukileta hadharani. Hopeless!
Inawezekana wewe ndie hopeless...kwani taarifa kwamba matangazo yamesimamishwa ghafla ulitaka iwe supplimented na nini zaidi ndio nyie mnakomaa haina nyama,haina nyama kwani huu mnofu wa nguruwe ebooh! walioelewa wameelewa nenda kaulize kwenye tweeter ya Shaka nini kilitokea unaniuliza mie ambae pia najiuliza hopeless kabisa!
 
Mleta mada na baadhi ya wachangiaji hapa aidha wanajaribu kuficha uhalisia wa tukio kwa kuwa halina maslahi kwao au hawaelewi nini cha kuripoti! Hiki ndio kizazi kinachotegemewa kuendeleza hii nchi, God help us!
Malizia bia za offer nenda home usiku saa hizi
 
Shaka sali nae asitaafu sasa,tangu niko la tano hadi leo yumo tu
 
Ukurupukaji huu wa kuleta taarifa ndio huwa unatokea kwenye vyumba vya kupigia kura.

Mtu anasikiliza kampeni siku zote, sera zinamuingia vizuri, akifika kwenye chumba cha kupigia kura anachagua aliyevaa akapendeza kuliko wengine.
 
Inawezekana wewe ndie hopeless...kwani taarifa kwamba matangazo yamesimamishwa ghafla ulitaka iwe supplimented na nini zaidi ndio nyie mnakomaa haina nyama,haina nyama kwani huu mnofu wa nguruwe ebooh! walioelewa wameelewa nenda kaulize kwenye tweeter ya Shaka nini kilitokea unaniuliza mie ambae pia najiuliza hopeless kabisa!
Hahaaa!mkuu unaleta habari za Shakka kwa wabongofleva!!hawawezi kuelewa coz hawana utamaduni wakuchek newz wao ni wazee wa futuhi tu na bongo beats
 
Back
Top Bottom