johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Mzee Ramadhan amesema amepoteza kijana wake akiwa na mkewe na Watoto wao Wanne
Amesema kwa Kawaida kwenye Mlima Hanang hufanyika Ibada za Jadi ambapo Ng'ombe huchinjwa na kuliwa huko huko Juu ya Mlima lakini Juzikati Katikati ya Ibada wahusika walivamiwa na askari wa TANAPA na kupigwa sana
Source: Ayo TV
Amesema kwa Kawaida kwenye Mlima Hanang hufanyika Ibada za Jadi ambapo Ng'ombe huchinjwa na kuliwa huko huko Juu ya Mlima lakini Juzikati Katikati ya Ibada wahusika walivamiwa na askari wa TANAPA na kupigwa sana
Source: Ayo TV