<br />kaacha vitenesi vyote nje
<br />kwa mtanzania maskini, anayelia njaa, rushwa, magonjwa na ukandamizaji wa polisi/ askari wa jiji, post hii inamsaidia nini?
Atacheka na kusahau matatizo yake kwa Muda weweeeeee..............acha uconservative,unataka posts za misiba nn???kwa mtanzania maskini, anayelia njaa, rushwa, magonjwa na ukandamizaji wa polisi/ askari wa jiji, post hii inamsaidia nini?
<br />Msimtaje Wassira tafadhali.......najua mtakuja hapa na jina lake kuhusisha na hii picha...chondechonde
<br /><br /><br />
<br /><br />
Heri mimi sijamtaja Wasira.
Kwi...kwi.. kwi....Vile vitenesi au masaburi?
Jamani jamani.Kuna ukweli fulani hv