Wacha mafisadi nao waibiwe, huyo jamaa aliyeiba mi na-mwona ana akili sana kwa sababu ameiba kwa walionazo kuliko kwenda kuwaibia walala hoi. Hima hima majambazi, msiumize walala hoi. Wafuateni mafisadi, mkifanikiwa mara moja tu kumwibia fisadi, unastaafu na huo ujambazi. Maana mkupuo mmoja tu ni wa kutosha.
Na huyo tusimwite mwizi, ni mwananchi anayechukua kilichoibwa kwa wananchi.
Nilisikia Batenga alimwibia Nyerere matofali. Lakini sijuhi ukweli wa stori hii. Wanasema Nyerere alikuwa akirudi kutoka kazini alikuwa anafyatua matofali hili ajijengee nyumba.
Batenga alijiunga kumsaidia kwenye kazi hiyo. Baada ya siku kupita na matofali kuwa mengi, Batenga akaleta gari wakati mwalimu akiwa ziarani. Akawaambia walinzi au waliobaki nyumbani kuwa mwalimu kamwambia achukue matofali.
Kwa sababu alikuwa anafanya kazi na mwalimu, wakamwambia achukue. Mwalimu aliporudi akakuta eneo la matofali leupe.
Na sisi tumkamate arudishe mbuni wa magogoni.
Zakumi,
Kibanda changu kimekwama. Unajua tena kusomesha watoto wawili chuo kikuu hapa US si kazi ndogo. Sijaweka madirisha, na nitaomba msaada wa kifedha. kwi!kwi!
How could an ex-President, with a minister for a son, use a streetwise agent beats me. Doesn't he know Knight Frank and the likes? Ridiculous......:embarassed2::eyebrows::lol:
kwi kwi kwi....halafu Batenga akaenda kujengea wapi?............au aliyauza?
Nasikia hakuishi muda mrefu kuifaidi nyumba yake. Siku hizo ndipo ukimwi ulikuwa umeshika kasi sana.Nasikia alikwenda kujengea nyumba.