njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,258
- 7,101
Chadema hawajawatendendea haki wanachama wao wa kitambo, wanachama waliozunguka huko kaskazini kukipigia debe chama na kutangaza sera zao, leo hii anakuja mtu toka team pinzani, let me put it this way ..."Anakuja Some one who is a REJECT " kutoka chama pinzani .. mtu ambaye miaka 7 iliyopita walikuwa wamemuweka katika list wa mafisadi wakubwa wa nchi hii wanampokea na kumpa form ya kugombea urais....
hivi mchakato wa kupata mgombea mbona haukuwekwa wazi...?
Lowassa mmemchagua kwa vigezo vipi ambavyo wanachama wa siku nyingi wa CDM hawana..?
hivi mchakato wa kupata mgombea mbona haukuwekwa wazi...?
Lowassa mmemchagua kwa vigezo vipi ambavyo wanachama wa siku nyingi wa CDM hawana..?