Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

CCM Ni Chama Dola!
Hayo mengine yooote ni porojo tu na matukio ambayo yatapita kama mengine mengi tu yalivyopita lkn mwisho wa siku Bw.Pombe Magufuli ndiyo raisi ajaye wa JMT na zaidi ya 3/4 ya Bunge lijalo litaundwa na CCM!

Kwa kukumbusha tu Wakuu wa Mikoa wote ndiyo Maraisi wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya wote ndiyo Maraisi wa Wilaya na hakuna linalofanyika Wilayani kwake bila idhaa yake, Tume ya Uchaguzi iko chini ya Serikali ya JMT na Kiongozi wake anaweza kufukuzwa au kuhamishwa muda wowote ule na Raisi wa JMT, Matokeo ya Uraisi wa JMT hayapingwi kwenye Chombo chochote kile halali TanZania, na mwisho na labda la muhimu kuliko yote Raisi wa JMT ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa!

Usisahau pia wafadhili Lowasa kama akina Mengi, Rostamu ni moja kati ya wadaiwa sugu wa Serikali ya JMT!

Sasa kama Lowasa ana uwezo wa kuivusha CHADEMA kwenye vihunzi vyote hivyo basi atakuwa Raisi wa JMT hapo 2016!

Nyie mnaoingiwa na imani kuwa hayapingwi na kuhisi mnataweza kupora haki ya wananchi, jiandaeni na the heague !!!

Pia tambua nguvu ya mitanzano ya kijamii, ni kubwa kuliko, 2010,2005,2000,1995....matokeo yatawekwa hadharani hata kabla tume haijatangaza.....sasa chezeeni sasa hivi, mkidhani tuko stone age!!!

Mtaumbuka

Weka hifadhi ya maneno uyatumie baadae, maana kuna kipindi matokeo mtayaogopa kutangaza mnavyotaka kwa jinsi yatakavyokuwa
 
Nyie mnaoingiwa na imani kuwa hayapingwi na kuhisi mnataweza kupora haki ya wananchi, jiandaeni na the heague !!!

Pia tambua nguvu ya mitanzano ya kijamii, ni kubwa kuliko, 2010,2005,2000,1995....matokeo yatawekwa hadharani hata kabla tume haijatangaza.....sasa chezeeni sasa hivi, mkidhani tuko stone age!!!

Mtaumbuka

Weka hifadhi ya maneno uyatumie baadae, maana kuna kipindi matokeo mtayaogopa kutangaza mnavyotaka kwa jinsi yatakavyokuwa


Usijidanganye Raisi wa JMT hawezi kupelekwa The Hague hata siku moja labda akikosana na Wazungu kitu ambacho ni kigumu sana kutokea kwa ajili ya Lowasa tu ambaye Wazungu wenyewe wanamjua kama Fisadi na hata huko Uingereza kwenyewe walimchunguza baada ya mtoto wake kununua nyumba ya mamilioni ya fedha za huko Uingereza!

Hapa ni jinsi Wazungu wenye The Hague wanavyomfahamu Lowasa (Chanzo; wiki) hayo ni maneno ya Wazungu;

,,Lowassa has gone into record as the first Prime Minister to have been forced to resign by a fraud scandal in the history of Tanzania,[SUP][3][/SUP] earning him the nickname "Lo-Rushwa".[SUP][4][/SUP] It should be noted that "rushwa" means bribe in Swahili"


Halafu hayo matokeo ni nani anayaweka hadharani? Vituo vinalindwa na nani BAVICHA au Jeshi la Polisi? Na uchaguzi Uliopita Slaa alisema nini? Si alikataa kutambua matokeo akaanza safari ya kuzunguka Dunia nzima kwenda kuichongea nchi yetu kwa Wazungu, kwani ni nani hata alimsikiliza? TanZania na CCM ndiyo kwanza kipenzi cha wenye Dunia Wazungu Obama alikuwa hapa, Raisi wa Uchina alikuwa hapa, Raisi wa Ujerumani alikuwa hapa hawa ndiyo wanamiliki The hague...

Halafu isitoshe tafuta Watz ambao wako tayari kuumizwa, kulemazwa na kufa kwa ajili ya Lowasa, Mbowe & Co. kama utapata 100 una bahati sana!
 
CCM Ni Chama Dola!
Hayo mengine yooote ni porojo tu na matukio ambayo yatapita kama mengine mengi tu yalivyopita lkn mwisho wa siku Bw.Pombe Magufuli ndiyo raisi ajaye wa JMT na zaidi ya 3/4 ya Bunge lijalo litaundwa na CCM!

Kwa kukumbusha tu Wakuu wa Mikoa wote ndiyo Maraisi wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya wote ndiyo Maraisi wa Wilaya na hakuna linalofanyika Wilayani kwake bila idhaa yake, Tume ya Uchaguzi iko chini ya Serikali ya JMT na Kiongozi wake anaweza kufukuzwa au kuhamishwa muda wowote ule na Raisi wa JMT, Matokeo ya Uraisi wa JMT hayapingwi kwenye Chombo chochote kile halali TanZania, na mwisho na labda la muhimu kuliko yote Raisi wa JMT ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa!

Usisahau pia wafadhili Lowasa kama akina Mengi, Rostamu ni moja kati ya wadaiwa sugu wa Serikali ya JMT!

Sasa kama Lowasa ana uwezo wa kuivusha CHADEMA kwenye vihunzi vyote hivyo basi atakuwa Raisi wa JMT hapo 2016!

Ni kweli kabisa ulichozungumza, ila ukumbuke waamuzi ni wananchi kupitia box la kura. Asikudanganye mtu kwamba hizo taasisi bado zinaogopwa mpaka kuweza kufanya watakacho. Kwa siku za nyuma kutokana na wananchi wengi kukosa elimu ya uraia na uwezo mdogo wa kupambanua mambo hilo liliwezekana kirahisi. Na hapo ndio mlidhani hata mwenyekiti wa chama chenu akifanya apendavyo ni rahisi watu wengine kukubali ama kunyamaza, kwani ilikuwa ni mazoea huko nyuma haswa enzi za Hayati JK Nyerere kufanya kile alichoona ni sawa hata kama alikuwa na nia njema, mkadhani this time na JK anaweza kuchagua kiongozi amtakaye. Ni kwamba nyakati zimebadilika na ndio maana umeona leo EL kwa mara ya kwanza katika nchi hii aliyekuwa waziri mkuu kahamia chama kingine na kuweza kusema aliyehusika na maamuzi mabovu ya mkataba kama wa richmond hadharani. Nyinyi bakini mkifikiri hizo idara ulizotaja ndio zitaamua rais wa nchi hii kama hamjaona nchi ikiingia machafukoni na msijue namna ya kuzuia. Sitoshangaa kama wewe ni mmoja wa watu waliokuwa wakipita kulaghai wananchi zamani eti wapinzani wataleta vita na leo imedhihirika ilikuwa ni uchu wenu wa madaraka. Na ninadhani hamkutegemea EL kuhama na hasa mshangao zaidi ni yeye kuhamia chama hasimu.

Kwa taarifa yako wewe pamoja na hizo idara ulizozitaja eti zinaamua rais ama uongozi wa nchi hii, mwenzako kasema ni goli la mkono lakini nakuhakikishia hamtaamini macho yenu na ndio itakuwa mwanzo wa mabadiliko ya uhakika ndani ya nchi hii. Kama hujaiba vya kutosha wakati serekali na chama chenu kikiongoza nchi kw mazoea basi ujue umeumia na kama mko tayari ingizeni nchi kwenye vita tuone nini kitatokea.
 
Kwa CHADEMA ya sasa kama Slaa anaweza kutosikilizwa basi Mwanakijiji ndo kabisa
so irrelevant.....watu hawamsikilizi Mwanakijiji tena

Umejuwaje kama Dr slaa hakusikilizwa hivi unajua nini maana ya siasa au unahisia za siasa siasa ni hesababu kama hujui hesabu za siasa utapata shida sana.
 
Usijidanganye Raisi wa JMT hawezi kupelekwa The Hague hata siku moja labda akikosana na Wazungu kitu ambacho ni kigumu sana kutokea kwa ajili ya Lowasa tu ambaye Wazungu wenyewe wanamjua kama Fisadi na hata huko Uingereza kwenyewe walimchunguza baada ya mtoto wake kununua nyumba ya mamilioni ya fedha za huko Uingereza!

Hapa ni jinsi Wazungu wenye The Hague wanavyomfahamu Lowasa (Chanzo; wiki) hayo ni maneno ya Wazungu;

,,Lowassa has gone into record as the first Prime Minister to have been forced to resign by a fraud scandal in the history of Tanzania,[SUP][3][/SUP] earning him the nickname "Lo-Rushwa".[SUP][4][/SUP] It should be noted that "rushwa" means bribe in Swahili"


Halafu hayo matokeo ni nani anayaweka hadharani? Vituo vinalindwa na nani BAVICHA au Jeshi la Polisi? Na uchaguzi Uliopita Slaa alisema nini? Si alikataa kutambua matokeao akaanza safari ya kuzunguka Dunaia nzima kwenda kuichongea nchi yetu kwa Wazungu, kwani ni nani hata alimsikiliza? TanZania na CCM ndiyo kwanza kipenzi cha wenye Dunia Wazungu Obama alikuwa hapa, Raisi wa uchina alikuwa hapa, Raisi wa Ujerumani alikuwa hapa hawa ndiyo wanamiliki The hague...


Wahisani bado wanawapa hela?
 
Kiukweli ni kama vile Mwanakijiji alikuwa anataka Slaa areact negatively na kutokee mtakafaruku ili aprove point yake (mafahali wawili hawakai zizi moja).
Sijawa fun wa Lowasa lkn nataka mabadiliko kwa nguvuu zote.
Ni kweli angekaa kimya tu kama kweli ni muumini wa mabadiliko. Alisha weka record clear kuwa hayuko in favor of Lowasa kuongoza lkn haikuwa vyema kuchochea au kupandikiza mawazo ya kugombania uraisi btn sio tu Lowasa na Slaa lkn pia wafuasi wao. Haikuwa busara kbs kwa mtazamo wangu. I could take it from watu wengine but not him.



Anacholilia Mwanakijiji ni ku stay relevant
Slaa anamsikiliza Mwanakijiji...
Lowassa na timu yake na kina Mbowe hawamjui hata Mwanakijiji ni nani kwa CHADEMA

Kwa hiyo its more than a party hapa anaipigania
something personal too
 
Kiukweli ni kama vile Mwanakijiji alikuwa anataka Slaa areact negatively na kutokee mtakafaruku ili aprove point yake (mafahali wawili hawakai zizi moja).
Sijawa fun wa Lowasa lkn nataka mabadiliko kwa nguvuu zote.
Ni kweli angekaa kimya tu kama kweli ni muumini wa mabadiliko. Alisha weka record clear kuwa hayuko in favor of Lowasa kuongoza lkn haikuwa vyema kuchochea au kupandikiza mawazo ya kugombania uraisi btn sio tu Lowasa na Slaa lkn pia wafuasi wao. Haikuwa busara kbs kwa mtazamo wangu. I could take it from watu wengine but not him.

Kaunga,
Umesema kweli. Lengo lake lilikuwa nai kugombanisha watu CHADEMA has baada ya kuona kwamba ushauri wake haukuchukuliwa na CHADEMA. Pia ukumbuke, MM yuko against Lowasa hata alipokuwa anagombea CCM. Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba, hilo jaribio lake linaelekea kufeli, kwani Dr. Slaa yupo Makao Makuu na ndiye atakayemkabidhi Fomu Mh. Lowasa. Kama ulivyosema, ni kweli kwamba watanzania wengi wanahitaji mabadiliko ambayo kamwe hayatapatikana ndani ya CCM na hii ni nafsi pekee, hivyo viongozi wa CHADEMA wamefanya la maana sana kumpokea Lowasa.

Ubarikiwe kwa andiko lako zuri.
 
Usijidanganye Raisi wa JMT hawezi kupelekwa The Hague hata siku moja labda akikosana na Wazungu kitu ambacho ni kigumu sana kutokea kwa ajili ya Lowasa tu ambaye Wazungu wenyewe wanamjua kama Fisadi na hata huko Uingereza kwenyewe walimchunguza baada ya mtoto wake kununua nyumba ya mamilioni ya fedha za huko Uingereza!

Hapa ni jinsi Wazungu wenye The Hague wanavyomfahamu Lowasa (Chanzo; wiki) hayo ni maneno ya Wazungu;

,,Lowassa has gone into record as the first Prime Minister to have been forced to resign by a fraud scandal in the history of Tanzania,[SUP][3][/SUP] earning him the nickname "Lo-Rushwa".[SUP][4][/SUP] It should be noted that "rushwa" means bribe in Swahili"


Halafu hayo matokeo ni nani anayaweka hadharani? Vituo vinalindwa na nani BAVICHA au Jeshi la Polisi? Na uchaguzi Uliopita Slaa alisema nini? Si alikataa kutambua matokeo akaanza safari ya kuzunguka Dunia nzima kwenda kuichongea nchi yetu kwa Wazungu, kwani ni nani hata alimsikiliza? TanZania na CCM ndiyo kwanza kipenzi cha wenye Dunia Wazungu Obama alikuwa hapa, Raisi wa Uchina alikuwa hapa, Raisi wa Ujerumani alikuwa hapa hawa ndiyo wanamiliki The hague...

Halafu isitoshe tafuta Watz ambao wako tayari kuumizwa, kulemazwa na kufa kwa ajili ya Lowasa, Mbowe & Co. kama utapata 100 una bahati sana!

Hatuzungumzi The Heague kwa sababu ya kutangaza.....safari hii, msipotangaza kama watanzania wanavyotaka, basi watahamasishana mtangaza tunachokitaka.

Hapo ndio kuitafuta The Heague, ukuzingumzia chanzo chako cha wiki, we utakuwa una wazimu....Uhuru Kenyatta mwenzio alikuwa ameshitakiwa kabisa....nguvu ya umma imeondoa upumbavu.

Tatu, na mwisho, raisi alieshindwa sio anaeeamua matokeo yatangazwe vipi...ni Usalama wa Taifa, baada ya kyfanya Tathmini, ya kile kitakachotangazwa matokeo take yanakuwaje....hapo ndio muda huwa unafika....usalama wanaamua sio kwa matakwa ya Rais...bali umma!!

Na sio kwamba Lowasa ameingia huku hajui hila zenu!! Nazijua sana!! tambua, mliondo jina lake kwenye Kamati ya familia ya kikwete iliokaa Dodoma, hamuwezi kulikata jina lake akawaelewa...kama wananchi wamemchagua

Utajua tu....nyie jisaauni
 
Ni kweli kabisa ulichozungumza, ila ukumbuke waamuzi ni wananchi kupitia box la kura. Asikudanganye mtu kwamba hizo taasisi bado zinaogopwa mpaka kuweza kufanya watakacho. Kwa siku za nyuma kutokana na wananchi wengi kukosa elimu ya uraia na uwezo mdogo wa kupambanua mambo hilo liliwezekana kirahisi. Na hapo ndio mlidhani hata mwenyekiti wa chama chenu akifanya apendavyo ni rahisi watu wengine kukubali ama kunyamaza, kwani ilikuwa ni mazoea huko nyuma haswa enzi za Hayati JK Nyerere kufanya kile alichoona ni sawa hata kama alikuwa na nia njema, mkadhani this time na JK anaweza kuchagua kiongozi amtakaye. Ni kwamba nyakati zimebadilika na ndio maana umeona leo EL kwa mara ya kwanza katika nchi hii aliyekuwa waziri mkuu kahamia chama kingine na kuweza kusema aliyehusika na maamuzi mabovu ya mkataba kama wa richmond hadharani. Nyinyi bakini mkifikiri hizo idara ulizotaja ndio zitaamua rais wa nchi hii kama hamjaona nchi ikiingia machafukoni na msijue namna ya kuzuia. Sitoshangaa kama wewe ni mmoja wa watu waliokuwa wakipita kulaghai wananchi zamani eti wapinzani wataleta vita na leo imedhihirika ilikuwa ni uchu wenu wa madaraka. Na ninadhani hamkutegemea EL kuhama na hasa mshangao zaidi ni yeye kuhamia chama hasimu.

Kwa taarifa yako wewe pamoja na hizo idara ulizozitaja eti zinaamua rais ama uongozi wa nchi hii, mwenzako kasema ni goli la mkono lakini nakuhakikishia hamtaamini macho yenu na ndio itakuwa mwanzo wa mabadiliko ya uhakika ndani ya nchi hii. Kama hujaiba vya kutosha wakati serekali na chama chenu kikiongoza nchi kw mazoea basi ujue umeumia na kama mko tayari ingizeni nchi kwenye vita tuone nini kitatokea.


Hakuna kitu kama hicho Dunia hii eti Mwananchi ndiyo anaamua nani awe raisi ni nani alikudanganya?
Hakuna nchi Dunia hii ambayo Mwananchi anaamua nani awe raisi wa nchi bali Raisi wa nchi huamuliwa na Mfumo wa nchi (System) halafu ninyi mnaoitwa wananchi mnaambiwa kupiga kura kama kutimiza wajibu tu lkn Raisi anakuwa ameshateuliwa, na mfumo ndiyo unaweka Raisi na kumtoa na hii ni Dunia nzima tofauti iko tu kwenye aina ya usanii kuna wengine ni wasanii zaidi ya wengine kwenye hili swala, hivyo hapa TanZania mfumo umeshaamua Raisi ajaye awe Pombe Magufuli na Itakuwa hivyo labda afariki kabla! Hakuna raisi atakayetoka nje ya CCM mwaka huu labda yaje mapinduzi ya Kivita sasa sijui kama Lowasa kajiandaa kwa hilo... hapo siwezi kujua lkn kwa KURA, HAITOTOKEA KAMWE!
 
Tafakari kwanza what is behind Lowassa kuingia Chadema ndo uje kumshauri Mzee Mwanakijiji.

Sasa ndo naelewa kwa nini wanasema half knowledge is dangerous than total ignorance? Yani kama hii ndo thinking yenu sishangai wale walioaminishwa Gaddafi ndo mbaya na atoke na leo wanashangaa Gaddafi katoka ila yaliyowakuta ni zaidi ya hata yale waliyokuwa wanayawaza.

I feel sorry for you.

Usikubali kuendesha maisha yako kwa hisia za hofu. ziko tofauti kubwa na za msingi kati ya movement tunayo endesha hapa kwetu na ile iliyoendeshwa Libya dhidi ya utawala wa gadafi. tunaendesha a democratic movement hapa nyumbani, hakuna matumizi ya silaha wala chuki ya kidini wala kikabila (ashukuriwe Mungu).

Usikubali kuwa msomi wa madarasa lakini ukashikilia hisia za hofu na kutokujiamini katika kuwaza na kuishi kwako. hakuna aliye na exclusive property right ya kuongoza Tanzania. Nimesema mara nyingi, tanzania ni ya wa Tanzania na si ya familia flani. kuamini kuwa CCM kuondoka madarakani ni kuleta vita kama libya halafu ukadhani kuwa kuwa na aina hiyo ya mtazamo ndiyo kuwa na full knowledge nadhani nikukosea katika misingi yenyewe ya kufikiri. nakupa changamoto kukubali kuwa a little more open minded.

Comrade,
 
Who is Gadafi in Tz by the way. Acha wake huko huko. Hukumbuki alimpa Membe mchuzi ukamletea shida?
 
Hatuzungumzi The Heague kwa sababu ya kutangaza.....safari hii, msipotangaza kama watanzania wanavyotaka, basi watahamasishana mtangaza tunachokitaka.

Hapo ndio kuitafuta The Heague, ukuzingumzia chanzo chako cha wiki, we utakuwa una wazimu....Uhuru Kenyatta mwenzio alikuwa ameshitakiwa kabisa....nguvu ya umma imeondoa upumbavu.

Tatu, na mwisho, raisi alieshindwa sio anaeeamua matokeo yatangazwe vipi...ni Usalama wa Taifa, baada ya kyfanya Tathmini, ya kile kitakachotangazwa matokeo take yanakuwaje....hapo ndio muda huwa unafika....usalama wanaamua sio kwa matakwa ya Rais...bali umma!!

Na sio kwamba Lowasa ameingia huku hajui hila zenu!! Nazijua sana!! tambua, mliondo jina lake kwenye Kamati ya familia ya kikwete iliokaa Dodoma, hamuwezi kulikata jina lake akawaelewa...kama wananchi wamemchagua

Utajua tu....nyie jisaauni


Rejea Katiba ya JMT, inasema kwamba Raisi wa JMT ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapotangazwa hivyo swala la raisi aliyeshindwa halipo kwa maana Pombe Magufuli siyo raisi bali anagombea Uraisi na kwa wakati huwo Raisi aliyepo ndiye raisi na madaraka yake yote mpaka pale mpya atakapotangazwa na kuapishwa rasmi kwa kifupi ni lazima Raisi aliyepo kwanza akubali kumpa madaraka mgombea aliyeshinda!
 
Kwa CHADEMA ya sasa kama Slaa anaweza kutosikilizwa basi Mwanakijiji ndo kabisa
so irrelevant.....watu hawamsikilizi Mwanakijiji tena
Mwanakijiji kushindwa kusoma upepo unaendaje mimi nimeshangaa sana-nilishawahi kumuuliza Slaa kamuahidi nini? Ujio wa Lowassa ni the end of mwanakijiji kuwa a force to reackon with humu JF
 
Kiukweli ni kama vile Mwanakijiji alikuwa anataka Slaa areact negatively na kutokee mtakafaruku ili aprove point yake (mafahali wawili hawakai zizi moja).
Sijawa fun wa Lowasa lkn nataka mabadiliko kwa nguvuu zote.
Ni kweli angekaa kimya tu kama kweli ni muumini wa mabadiliko. Alisha weka record clear kuwa hayuko in favor of Lowasa kuongoza lkn haikuwa vyema kuchochea au kupandikiza mawazo ya kugombania uraisi btn sio tu Lowasa na Slaa lkn pia wafuasi wao. Haikuwa busara kbs kwa mtazamo wangu. I could take it from watu wengine but not him.

Wise! Very Wise.,
 
Kwa CHADEMA ya sasa kama Slaa anaweza kutosikilizwa basi Mwanakijiji ndo kabisa
so irrelevant.....watu hawamsikilizi Mwanakijiji tena

Jamani kuna ushahidi upi kuwa Dr Slaa hajasikilizwa?

Ninavyojua mimi CHADEMA ni Dr slaa na Mbowe.....hakifanyiki kitu bila hao ku approve
 
Maneno ya busara sana haya! Hatuwezi kuimba wimbo ule ule haya mafisadi lakini Ikulu hatufiki, Mzee mwanakijiji nakuamini sana twende pamoja hii ni vita adui yako atakuonesha gala la slaa za maangamizi na kuwaangamiza.
 
Back
Top Bottom