Mzee Mtambuzi wa Jf amepata ajali asubuhi hii.

Status
Not open for further replies.
Pole sana babu Mungu akusaidie upone haraka, ahsante kwa taarifa
 
Dah mpe pole sana jamani namuombea kwa Mungu amjalie apone
vilevile ahsante kwa kutupa taarifa bi dada.
tuko pamoja katika maombi
 
...get well soon mtambuzi, dahhh...
cantalisia asante sana kwa taarifa.

na wewe mbu uletaye maleria usije kwenda huko hsptl ukamwambukiza mzee wa watu maleria wakati tayari amevunjika mkono. Pole sana mzee wetu,tutakumiss sana jamvini,get well soon baba.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…