The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Dah!!! Mkuu upoPoleni sana Mungu ampe uponyaji wa haraka mzee mtambuzi
Dah!!! Mkuu upoPoleni sana Mungu ampe uponyaji wa haraka mzee mtambuzi
Sijui mimi sikijui kiswahili au ...............Poleni sana mungu hatamjalia atapona..
mfikishie safari zangu na mpe pole sana
Amin,salam zimefika.Duh! Kweli siku ikipita unamshukuru MUNGU mwenye uwezo wa kuepusha hata majanga 2sioyajua yaliyo mbele ye2 kila wakati. Tuna haja ya kumtaja kila wakati hata humu jamvini tufarijiane kwa kila hali tuliyonayo wajameni. Mpe pole ze2 nyingi sana na bila shaka MUNGU mwenye uweza wa yote atamrejeshea nguvu na tutaendelea ktk ujenzi wa Taifa ambalo magamba wanataka kulimalizia. Mpe pole zangu nyingi na nitamweka ktk IBADA.
Pole sana Mzee Mtambuzi.. Pona hara.... tunakuhitaji na familiani...Habari za asubuhi wadau,napenda kuwajulisha kuwa Baba yetu Mzee Mtambuzi amepata ajali asubuhi ya saa kumi na mbili leo ya kugongwa na gari daladala T.837 AUK na wakati akivuka barabara maeneo ya Tabata mawenzi ambato daladala hilo lilingia kushoto gafla likiovertake daladala lingine kuwahi abiria ndipo lilimkuta baba na kumgonga.Katika ajali hiyo baba amevunjika mkono wa kulia na yuko Amana hospitali kwa matibabu,mpaka naandika hii taarifa alikuwa bado anasubiri kufanyiwa kipimo cha x-Ray nakujua amevunji https://www.jamiiforums.com/login.php?do=login
Hawa madereva wa daladala yaani huwa akili zao wanazijua wao wenyewe sijui huwa ni bangi wanakuwa wameishapuliza asubuhi