Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Habari za asubuhi wadau,napenda kuwajulisha kuwa Baba yetu Mzee Mtambuzi amepata ajali asubuhi ya saa kumi na mbili leo ya kugongwa na gari daladala T.837 AUK na wakati akivuka barabara maeneo ya Tabata mawenzi ambapo daladala hilo lilingia kushoto gafla likiovertake daladala lingine kuwahi abiria ndipo lilimkuta baba na kumgonga.Katika ajali hiyo baba amevunjika mkono wa kulia na yuko Amana hospitali kwa matibabu,mpaka naandika hii taarifa alikuwa bado anasubiri kufanyiwa kipimo cha x-Ray nakujua amevunji
UPDATE 26,Oct.
Habari za asubuhi wapenda,napenda kuwajulisha Mzee anaendelea vizuri na anawashukuru kwa salam zenu na maombi yenu,Asubuhi hii Daktari wake ameshaconfirm kuwa operation itafanyika leo saa kumi jion,na mzee bado yupo amepumzishwa pale regency hospital chumba cha casuality kilichopo karibu na chumba cha x-ray
UPDATE 26,Oct.
Wapendwa napenda kuwajulisha kuwa kwa habari za mda huu ile operation ya Mzee Mtambuzi imeairishwa mpaka kesho saa kumi na moja alfajiri,hii ni kutokana na kuwa na wagonjwa wengine ambao kesi zao ziko sirias sana na zinahitaji operation ya haraka zaidi na madaktari ni wachache wamezidiwa, hivyo mgojwa ataendelea kuwepo hapo regency mpaka kesho akisubiri zamu yake ya kufanyiwa operation.
UPDATE 27,Oct.
Habari za asubuhi waungwana,napenda kuwajulisha kuwa Mzee hakufanyiwa tena ile oparation ameendelea kupigwa kalenda asubuhi hii wamemwambia itakufanyika jion ya leo,inasemakana daktari alikuwa na appointment nyingi kule muhimbili,bado yuko pale regency hospital.
UPDATE 28.Oct.
Habari za asubuhi wadau wa jf,napenda kuwajulisha kuwa Mzee Mtambuzi alifanyiwa operation saa sita usiku wa kuamkia leo baada ya mkono kuvimba sana,kwa sasa anaendelea vizuri kwan oparation ilifanyika kwa ufanisi mkubwa,bado yuko regency anamsubiri Daktari wake aje kumkagua na km hakutakuwa na tatizo lingine basi atafungwa POP na kuruhusiwa kurudi nyumbani,kasema ana wamiss sn na anashukuru kwa ushirikiano wenu kwa ujumla.
UPDATE 26,Oct.
Habari za asubuhi wapenda,napenda kuwajulisha Mzee anaendelea vizuri na anawashukuru kwa salam zenu na maombi yenu,Asubuhi hii Daktari wake ameshaconfirm kuwa operation itafanyika leo saa kumi jion,na mzee bado yupo amepumzishwa pale regency hospital chumba cha casuality kilichopo karibu na chumba cha x-ray
UPDATE 26,Oct.
Wapendwa napenda kuwajulisha kuwa kwa habari za mda huu ile operation ya Mzee Mtambuzi imeairishwa mpaka kesho saa kumi na moja alfajiri,hii ni kutokana na kuwa na wagonjwa wengine ambao kesi zao ziko sirias sana na zinahitaji operation ya haraka zaidi na madaktari ni wachache wamezidiwa, hivyo mgojwa ataendelea kuwepo hapo regency mpaka kesho akisubiri zamu yake ya kufanyiwa operation.
UPDATE 27,Oct.
Habari za asubuhi waungwana,napenda kuwajulisha kuwa Mzee hakufanyiwa tena ile oparation ameendelea kupigwa kalenda asubuhi hii wamemwambia itakufanyika jion ya leo,inasemakana daktari alikuwa na appointment nyingi kule muhimbili,bado yuko pale regency hospital.
UPDATE 28.Oct.
Habari za asubuhi wadau wa jf,napenda kuwajulisha kuwa Mzee Mtambuzi alifanyiwa operation saa sita usiku wa kuamkia leo baada ya mkono kuvimba sana,kwa sasa anaendelea vizuri kwan oparation ilifanyika kwa ufanisi mkubwa,bado yuko regency anamsubiri Daktari wake aje kumkagua na km hakutakuwa na tatizo lingine basi atafungwa POP na kuruhusiwa kurudi nyumbani,kasema ana wamiss sn na anashukuru kwa ushirikiano wenu kwa ujumla.