Mzee Mtambuzi wa Jf amepata ajali asubuhi hii.

Status
Not open for further replies.
Dah mpe pole sana jamani namuombea kwa Mungu amjalie apone
vilevile ahsante kwa kutupa taarifa bi dada.
tuko pamoja katika maombi
 
...get well soon mtambuzi, dahhh...
cantalisia asante sana kwa taarifa.

na wewe mbu uletaye maleria usije kwenda huko hsptl ukamwambukiza mzee wa watu maleria wakati tayari amevunjika mkono. Pole sana mzee wetu,tutakumiss sana jamvini,get well soon baba.
 
Status
Not open for further replies.
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom