digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,901
- 14,368
Kisa hiki kipo kwenye kitabu chake na kinasimuliwa na Profesa Mkandala
Kutokana na Familia ya Mkapa kuonekana inajiweza kidogo ilionewa wivu na chuki, Mwaka 1947 kulitokea ukame mkali watu wakamleta mganga wa kienyeji pale Kijijini kwao Lupaso, wakaamua Mama mzazi wa Mkapa, bibi yake na Bibi wa Mama yake wameroga mvua isinyeshe.
Mama wa Mstaafu Mkapa, Mama wa Mama yake na Bibi wa Mama yake walipigwa na kuteswa sana kwa tuhuma hizo za kuroga kuzuia mvua hadi Padri mzungu alipofanikwia kuwaokoa, Mama wa bibi yake aliaga Dunia muda mfupi baada ya tukio hilo.
UchambuziMyLifeMyPurpose
Pole sana Mh Rais Mstaafu.
Kutokana na Familia ya Mkapa kuonekana inajiweza kidogo ilionewa wivu na chuki, Mwaka 1947 kulitokea ukame mkali watu wakamleta mganga wa kienyeji pale Kijijini kwao Lupaso, wakaamua Mama mzazi wa Mkapa, bibi yake na Bibi wa Mama yake wameroga mvua isinyeshe.
Mama wa Mstaafu Mkapa, Mama wa Mama yake na Bibi wa Mama yake walipigwa na kuteswa sana kwa tuhuma hizo za kuroga kuzuia mvua hadi Padri mzungu alipofanikwia kuwaokoa, Mama wa bibi yake aliaga Dunia muda mfupi baada ya tukio hilo.
UchambuziMyLifeMyPurpose
Pole sana Mh Rais Mstaafu.