shemejiiiiiiiiiii!
hongera sana kwa MKUU WA SHULE YA PHILLIP MANGULA!
hiv hii shule ni ya serikali au binafsi?
NAULIZA TU!
hehehehe,HIVI MC ATAKUA NANI?
hehehehe,HIVI MC ATAKUA NANI?
Samahani Candid Scope wewe ni Me au ke?Alianza kufanya ngono zembe na mwajiriwa wake, na pengine alipata nafasi hiyo ya ukuu wa shule hiyo kwa rushwa ya ngono, leo wameamua kutakatisha ufuska waliozoea kufanya kwa kufunga ndoa.
Huwezi kuamini mambo haya CCM katika umri kama huo kufunga ndoa leo wakati mtu ni wa kutunzwa na wajukuu. Hakuna kufanya maendeleo ila kuchuma na kuzitumia kwa kwenda mbele kustarehe na wanawake. Hii habari inatufumbua mengi kama ile ya Gazeti la habari leo Jumapili kuipa Habari Kuu ukurasa wa mbele kuhusu Makahaba wa Kinywarwanda kutinga Dodoma kuwafuata Wabunge kuwapa ridhio la ngono.
Samahani Candid Scope wewe ni Me au ke?Alianza kufanya ngono zembe na mwajiriwa wake, na pengine alipata nafasi hiyo ya ukuu wa shule hiyo kwa rushwa ya ngono, leo wameamua kutakatisha ufuska waliozoea kufanya kwa kufunga ndoa.
Huwezi kuamini mambo haya CCM katika umri kama huo kufunga ndoa leo wakati mtu ni wa kutunzwa na wajukuu. Hakuna kufanya maendeleo ila kuchuma na kuzitumia kwa kwenda mbele kustarehe na wanawake. Hii habari inatufumbua mengi kama ile ya Gazeti la habari leo Jumapili kuipa Habari Kuu ukurasa wa mbele kuhusu Makahaba wa Kinywarwanda kutinga Dodoma kuwafuata Wabunge kuwapa ridhio la ngono.
hehehehe,HIVI MC ATAKUA NANI?
kwa mwanamkekuolewa na wata kama hawa ni kuupa kisogo umasikini! 2015 lazima atakuwemo kwenye orodha ya 'waheshimiwa wa kuteuliwa!Ni ya serikali sasa huyo dada walipokuwa mapenzi yao yamenoga akapelekwa kuwa mkuu katika shule yenye jina lake. Si unajua shule nyingi za kata zimepewa majina ya viongozi wa CCM? Baada ya ndoa itabidi wife naye ahamie Dar ambako ndiko kwenye ulaji wa mumewe
Ni ya serikali sasa huyo dada walipokuwa mapenzi yao yamenoga akapelekwa kuwa mkuu katika shule yenye jina lake. Si unajua shule nyingi za kata zimepewa majina ya viongozi wa CCM? Baada ya ndoa itabidi wife naye ahamie Dar ambako ndiko kwenye ulaji wa mumewe