njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 1,785
- 4,073
Sikutegemea kusema ukweli daaah!! Haikua kauli nzuri kabisa hakuna mtu ambaye hajafiwa ina maana waliotutoka wote sio wema?😪😪
Na mifano kabisa alitoa kuwa wakina kikwete na kinana ni wema ndio maana bado wapo Hai so ww hiyo tafsiri yako kuwa mema ndio yataendelea kuwepo sijui umetoa wapishida mnashindwa kuelewa alichomaanisha ni kwamba viongozi wazuri hawafi( maana yake mema au mazuri ya viongozi yataendelea kuwepo hata wakifa ) ni sawa na kusema wema hauozi
Nimemshangaa sana huyu jamaa ujueNa mifano kabisa alitoa kuwa wakina kikwete na kinana ni wema ndio maana bado wapo Hai so ww hiyo tafsiri yako kuwa mema ndio yataendelea kuwepo sijui umetoa wapi
Kabisa....huyo anaishi milele hafiYeye ni mtu mwema hawezi kufa, atakuwepo milele.
Kwa akili yake atairithi Tanzania milele.Labda watu aina yake wanaishi milele
Ova
Huyu mzee makama ni waste of oxygen, Wapinzani watafute mtu haswa wa kumsimamisha 2025, Hawa chama cha mambuzi hawatoboi hata wakiiba kura. wabongo wamewachoka sana .
Hata wapumbavu huzeekaSikutegemea kusema ukweli daaah!! Haikua kauli nzuri kabisa hakuna mtu ambaye hajafiwa ina maana waliotutoka wote sio wema?😪😪
Kwa hiyo ww ndo unakijua kiswahili kuliko sisi acha ujuaji usio na maanashida mnashindwa kuelewa alichomaanisha ni kwamba viongozi wazuri hawafi( maana yake mema au mazuri ya viongozi yataendelea kuwepo hata wakifa ) ni sawa na kusema wema hauozi
Yote haya kayataka baba ake palaMungu tunaomba toba kwa ajili ya nchi yetu na viongozi wetu,gadhabu yako isije ikawaka juu yetu
Husitupoyosheshida mnashindwa kuelewa alichomaanisha ni kwamba viongozi wazuri hawafi( maana yake mema au mazuri ya viongozi yataendelea kuwepo hata wakifa ) ni sawa na kusema wema hauozi
AminaMungu tunaomba toba kwa ajili ya nchi yetu na viongozi wetu,gadhabu yako isije ikawaka juu yetu