johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,371
- 142,612
Rais mstaafu mzee Kikwete leo amesherehekea Sherehe za kufungua Mwaka 2022 na kuukaribisha 2023 akiwa na Wananchi wenzake wa Msoga.
Kikwete amesema ni kawaida yao tangu akiwa Rais kufanya Sherehe kama hizi ambapo Ng'ombe huchinjwa na wanakijiji kula pilau pamoja na kusherehekea.
Kadhalika mzee Kikwete amemtambulisha mh Majizo ambaye ni mmiliki wa E FM radio na TV ambaye alikuwa MC.
Kikwete amempongeza Majizo kwa namna anavyoongoza Taasisi yake na Jinsi anavyochukua hatua kwa haraka zinapotokea Changamoto.
Kikwete amesema " usione vyaelea vimeundwa" na kwamba Maendeleo tunayoyaona na yatakayokuja ni Kazi ya Kiongozi wetu shupavu Dkt. Samia.
Source: TV E
Kikwete amesema ni kawaida yao tangu akiwa Rais kufanya Sherehe kama hizi ambapo Ng'ombe huchinjwa na wanakijiji kula pilau pamoja na kusherehekea.
Kadhalika mzee Kikwete amemtambulisha mh Majizo ambaye ni mmiliki wa E FM radio na TV ambaye alikuwa MC.
Kikwete amempongeza Majizo kwa namna anavyoongoza Taasisi yake na Jinsi anavyochukua hatua kwa haraka zinapotokea Changamoto.
Kikwete amesema " usione vyaelea vimeundwa" na kwamba Maendeleo tunayoyaona na yatakayokuja ni Kazi ya Kiongozi wetu shupavu Dkt. Samia.
Source: TV E