kuna wenzetu wana mabilioni na wanaweza kwenda Hospital yoyote Duniani lakini wamefunga kauli hata maji hayapitiSawa ila mimi nina machozi sina hata mia
yaan kuna changamoto nyingi kwny hii Dunia japo kwa sie maskini ukiwa na Afya Timamu ukakosa pesa ya fegi unajiona kama ndio mwenye huzuni kuu
njia rahisi ya kujifariji unapokuwa na changamoto ni kukumbuka neema ulizonazo
kidole cha mguu kikivimba, kumbuka kuna mwenzio ha na kabisa
ukipigwa kofi na Mumeo kumbuka kuna mwenzio alichinjwa kabisa
ukigongewa Mkeo kumbuka kuna akina Bilionea Msuya waliuawa kwa mikakati iliyoratibiwa na Mkewe kabisa