Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,264
- 4,744
uko wapi upate kitu unapenda kwa bill yangu????Kazi imekolea jamani
Siasa hizo watu ni wale wale jaman
Hivi hakuna wengine eti
uko wapi upate kitu unapenda kwa bill yangu????Kazi imekolea jamani
Siasa hizo watu ni wale wale jaman
Hivi hakuna wengine eti
Umebadili msimamo sasa.
Sasa kwanini uliikuwa unamlazimisha marehemu aweke lock down?.
KWELI MAISHA BILA UNAFIKI HAYAENDI
Wapi umebadilika msimamo mburula mataga wewe?
Mara ngapi tumesema lockdown si njia pekee?
Acha kuhamasisha magoli wewe. Uzi huu ni matazamio yetu kupata kiongozi mwenye maono tofauti na Magufuli.
Maono hayo ni yatakayotuongoza kuachana na nyungu na kutambua kuwa science itatuvusha.
Kama wataalamu wa afya watashauri lockdown tutawasikiliza pia.
Hii mambo:
View attachment 1730831
Na ikawe historia sasa!
Wasiweke wazee sana,upepo sio mzuri huu kiafya
Kilichompatia nguvu magufuri ndio kitampatia nguvu samia
Kumbe wewe ni KICHWA CHA PANZI.
Subiri VP atakapotangazwa ndio utaaminiHakuna ushahidi wa hicho kinachoongelewa.
MIFUMO/SYSTEMS have never been fair: hatuna namna, bali, ingewezekana Mzee huyu angakaa pembeni asijihusishe na lolote kwakuwa kilichokuwa kinafanyika ni kusafisha yaliyowekwa naye, kwa yeye kukamata hatamu hakika yale yaliyokuwa kero yatarudi maradufu:Mh. Rais mstaafu Jakaya Kikwette tunayo matumaini makubwa kwenu kuwa ule muda ambao taifa hili limeusubiri mno hatimaye umewadia.
Kwa sababu msimamo haujabadilika au vipi?
Mmewapigisha nyungu watu hapa huku wakiendelea kupukutika.
Mawazo ya namna hiyo hatuyahitaji tena.
Tunahitaji mwanzo mpya wenye kutambua nchi hii ni yetu sote na haki ndiyo ulio msingi mkuu wa maisha.
Nawatunga katiba ndiyo hao haoHakuna jipya ndani ya zimwi liitwalo CCM, halikuli ukakwisha, uozo ni uleule tu.
Katiba mpya ndio mwiba wa yote haya, na ndio maana mwendazake hakutaka kabisa kusikia kitu hiki.
Na hiyo ndio dhambi aliyopandikiza marehemu tujitahifi tumuombee.. tuondoe ukanda unaojengeka. Ukabila unaoanza, chuki, k
MIFUMOMOMO/SYSTEMS have never been fair: hatuna namna, bali, ingewezekana Mzee huyu angakaa pembeni asijihusishe na lolote kwakuwa kilichokuwa kinafanyika ni kusafisha yaliyowekwa naye, kwa yeye kukamata hatamu hakika yale yaliyokuwa kero yatarudi maradufu:
Jiulize utitiri wa private bandari kavu zilivyokuwa kichaka cha kupiga hela,
Jiulize mwendo wa kinyonga wa kutekeleza miradi huku ikiwa over estimated?.
Hatuna namna ila Mungu asipotupigania tutaenda kusiko takiwa. Tunamwamini Mungu wa kweli, tutashinNa
Hakika ni kazi kuwamaliza, the nature will take its own courseSamia hawawezi hao watu.
Tuseme ukweli.
Na akisema akaze BASI WATAMCHUKIA.
Huo mtandao ni mkubwa hauwezi na hata marehemu mwenyewe Hakuwamaliza.
Hii nchii ione hivi hivi.
Sawa nimekuelewaHujaelewa mkuu. List ya pili ni kuonyesha wale wa mwanzo ni bora zaidi ya hawa waliokuwa karibu na jiwe.
Soma taratibu uelewe.
Au nasema uongo ndugu zangu?
MIFUMO/SYSTEMS have never been fair: hatuna namna, bali, ingewezekana Mzee huyu angakaa pembeni asijihusishe na lolote kwakuwa kilichokuwa kinafanyika ni kusafisha yaliyowekwa naye, kwa yeye kukamata hatamu hakika yale yaliyokuwa kero yatarudi maradufu:
Jiulize utitiri wa private bandari kavu zilivyokuwa kichaka cha kupiga hela,
Jiulize mwendo wa kinyonga wa kutekeleza miradi huku ikiwa over estimated?.
Hatuna namna ila Mungu asipotupigania tutaenda kusiko takiwa. Tunamwamini Mungu wa kweli, tutashinda
Kwa hiyo kikwete ndiye unategemea akuletee Tanzania mpya? Mbona hiyo Tanzania mpya alishindwa kuileta kipindi akiwa rais? Wewe ni ngumbalu mkondo B! Usijiabishe mbele ya Kadamnasi ficha japo ufinyu wa uwezo wako wa kufikiri.Tanzania mpya inakuja jombi macho yetu kwa mzee wa kaya JK anayo nafasi ya kutupa raha.
Tuliza kichwa kakudanganya nani huyu hayati aliletwa na nani?Huyo muda wake ulishaisha,atabaki kuwa mshauri tu.
Ila aliwatwanga kweli kweliSamia hawawezi hao watu.
Tuseme ukweli.
Na akisema akaze BASI WATAMCHUKIA.
Huo mtandao ni mkubwa hauwezi na hata marehemu mwenyewe Hakuwamaliza.
Hii nchii ione hivi hivi.
Kwani Polepole naye ni kijana? Mie hata sielewi kama yupo kwenye uzee au ujanaVijana wenyewe wako wapi? Una maana kina:
1. Jaffo
2. Kokote
3. Makinda
4. Nape
5. Pole pole
6. Bashiru
7. Mwigulu
8. ??
Nani labda?
Kumbuka inabidi awe CCM preferable asiwe Chatto Inc.
Au nasema uongo ndugu zangu?