- Thread starter
- #81
Wewe ulifikia hatua mpaka ya kutabiri kuwa tanzania itatokea lock down.
Ulipoona magufuli kagoma ulimlaumu sanaaa vipi leo umebadilika?
Kukumbusha katika kumlilia hali mkuu na labda angesikia leo angekuwa hai ni huu:
Corona: Afrika CDC yaipa onyo Serikali ya Tanzania
Mabibi na mabwana, hatimaye tuko hapa sasa: Afrika CDC imeionya Serikali ya Tanzania kuhusu namna inavyoshughulika na corona. Kwa mujibu wa matangazo ya DW mchana huu, Afrika CDC imeionya Serikali ya Tanzania kuwa kwa namna hii na hili la kutotoa takwimu za ugonjwa huu, Tanzania inaliweka bara...
Inakusaidia nini kujaribu kuzuia yasiyokuwapo?
Au wewe unadhani VP yupo angefaa zaidi?
Msimamo wetu ni kwenye list ya outsiders wa Magufuli. Yeyote yule. Bora kujaribu zimwi jingine.
Hawa wasukuma wapumzike kwanza.
Au wewe msukuma nini jombi?