R.I.P Simba wa Vita na Muasisi/Mwanaharakati wa uhuru wa Tanganyika Rashid Mfaume Kawawa.Daima tutakukumbuka kwa utumishi uliotukuka kwa Taifa letu ukiwa Waziri mkuu,Makamu wa pili wa Rais,Waziri wa Ulinzi na JKT,Makamu mwenyekiti na Katibu mkuu wa CCM..Hakika tutakukumbuka baba yetu mpendwa..Umeondoka katika kipindi ambacho Taifa letu linahitaji sana Hekima na busara zako,tulikutegemea sana kwa ushauri mara tunapokwama(kama Taifa)..Salamu kwa Baba wa Taifa na mama yetu Sophia..Raha ya milele umpe e bwana,na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa AMANI