Mzee Kawawa afariki dunia!

Mwenyezi Mungu ilaze mlaze pema Simba Wa Vita.
 
Mshirazi au Mod:

Mzee Kawawa nadhani hakumaliza Tabora boys akiwa na miaka 30. Hivyo angalieni fact ya wakati akiwa huko.
 
RIP

Msalimie Nyerere, mweleze kuwa akina JK na wenzake wamegawana nchi, Kawawa usipomweleza wewe atamweleza nani? angekufa Chenge nina hakika angemkimbia Nyerere huko..
 
RIP kamanda wa vita. Tumempoteza mpiganaji wa kweli - poleni Watanzania wenzangu.
 
Kama kuna kiongozi ambaye jina lake limetumika kufafanua vitu, Kawawa ni mojawapo gear 4WD, bia, nk
Pumzika kwa amani Simba wa Vita!
 
Hii ni ratiba fupi iliotolewa muda si mrefu mzee wetu kawawa mfaume rashid anatarajjiwa kuagwa kesho saa sanane pale uwanja wa karimjee ;mwili utatolewa hospital ya lugalo saa saba na gari maalum la jeshi kupitia barabara ya ali hassana mwinyi;wananchi wote tunaombwa kuunganika na wanaafamilia pale karimjee wale watakaoshindwa mnaombwa kusimama njiana ama barabarani wakati akipitishwa kuelekea karimjee

Mwili utaagwa kuanzia saa nane mpaka kuminambili baadae unaelekea nyumbani ambapo tar 2 january 2010 mwili utazikwa nyumbani kwake madale saa saba kamili;mtabiri maarufu shikh yahya hussein anatarajiwa kuwa mmoja wa watakaofika mazikoni..Mungu amlaze pema peponi

KAMANDA KOVA

NDUGU WANANCHI KUTOKANA NA KIFO CHA MZEE WETU MH KAWAWA MFAUME RASHID SERIKALI IMEOMBA SI VYEMA WATU MKAPIGA TUMBATU ZENU AMA BARUTI ZENU KILA MTU AFURAHIE KIMYA KIMYA BILA FATAKI ZOZOTE,TUNAAMINI WOTE MTAITIKIA WITO HUU

TUNASHUKURU WENU

KAMANDA KOVA
 

- Mkuu MMJ hakuna la kupunguza wala kuongeza, Bwana alitoa Bwana ametwaa, lihimidiwe jina la Mungu!

Respect.

FMEs!
 
sala zetu kwa marehemu,ndugu ,jamaa ,marafiki na watanzania kwa ujumla....

MoD tunaomba ili tupate mtiririko mzuri thread zote za kawawa kufariki ziunganishwe....nadhani members si vema kuanzisha topic wakati tayari unaona ipo....najuwa mara nyingi tunakosea wote hili....na MoD huwa anaziunganisha...

ahsante!! na Poleni !!
 
Poleni sana wafiwa, poleni sana Watanzania........ulale pema peponi Mzee Kawawa
 
R.I.P. Mzee Kawawa. Amina.
Pole Modou na Wanafamilia Wote.

SteveD.
 
Ni msiba mzito sana, tutakukumbuka daima mpigania uhuru. Mwenyezi mungu akulaze mahali pema peponi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…