Mzee JK NY: Vipi Mkutano Wa Rais New York?

Samahani mzee wangu mimi siishi US, lakini ninakofanya shughuli zangu za kila kwa taifa siku zote ninauliza na ninajitahidi kufuatilia issues, Posting ya kwanza nchini bongo kudai Mahita ajiuzulu iliandikwa na Mzee Mwanakijiji kule BCS,

Na nilikuwa mtu wa kwanza kuifikisha ile posting kila panapotakiwa, ikabidi Mahita atume watu kuja kuvuruga kule BCS, lakini haikusaidia kitu, kuna suala la IPTL ambalo linahitaji signature 250 za wananchi wanaoishi bongo ili lifufuliwe kisheria, kwa kusaidiwa na jamaa zetu wa Mlimani, tayari rtumeshaanza kukusanya hizo, na zitakapofikia utalisikia hilo, hii mada aliyeinzisha ni mimi, na I was very proud kumuona member wa hii forum akichangia kijasiri yaani Mzee Jasusi,

Hapa hatuna cha kumuomba mtu yoyote msamaha, wala kuoneana aibu ukweli ni kwamba wananchi waliohudhuria ule mkutano hawakuuliza maswali yanayotakiwa, na hayo ni maoni yangu na ninasema hayo kwa sababu kuna sehemu nyingi nimeona mikutano ya rais ambako rais alitolewa jasho, na mojawapo ni Mozambique, Kampala, na Angola,

Hata siku moja sisubiri kuuliziwa, huwa ninauliza mwenyewe, isipokuwa simwagi mtama kwenye kuku wengi, ukweli ni ukweli I am sorry kama kuna wanaochukizwa, hii ni forum tu au Bulogu, sio anything else!

Mzee Mwanakiji, Jasusi, Mtz, na wengineo, bravo kwa kuukubali ukweli, tukubali yaishe na tusonge mbele, kukimbilia personal haitasaidia kitu, yaliyofanyika NY ni aibu, angalau huku Boston kidogo kuna waliojitahidi kwa kuja pale hotelini na kuuliza maswali ya kikweli, na huko Minnesota tunawaomba mfanye kweli sio kurudia yale yale ya NY!

Mzee FD, usiwe na wasi, maana wangejua matusi tunayokula kila siku mitaani haya ni marduio tu, wacha vijana wajifurahishe lakini tutaendelea kukata issues hapa bila kuogopa mtu!
 
Msiwe na shaka, na wala sitaki watu muunderestimate KLH News.. Rais ataulizwa maswali. Nilikuwa nitume fax siku ya Ijumaa ya kujaribu kupanga hayo mahojiano then hili limetokea (msiba) so it threw me off...Lakini msiwe na shaka... We will go where no Tanzanian media has ever dared to...!!
 
Mzee Es said:
Samahani mzee wangu mimi siishi US, lakini ninakofanya shughuli zangu za kila kwa taifa siku zote ninauliza na ninajitahidi kufuatilia issues, Posting ya kwanza nchini bongo kudai Mahita ajiuzulu iliandikwa na Mzee Mwanakijiji kule BCS,

Na nilikuwa mtu wa kwanza kuifikisha ile posting kila panapotakiwa, ikabidi Mahita atume watu kuja kuvuruga kule BCS, lakini haikusaidia kitu, kuna suala la IPTL ambalo linahitaji signature 250 za wananchi wanaoishi bongo ili lifufuliwe kisheria, kwa kusaidiwa na jamaa zetu wa Mlimani, tayari rtumeshaanza kukusanya hizo, na zitakapofikia utalisikia hilo, hii mada aliyeinzisha ni mimi, na I was very proud kumuona member wa hii forum akichangia kijasiri yaani Mzee Jasusi,

Hapa hatuna cha kumuomba mtu yoyote msamaha, wala kuoneana aibu ukweli ni kwamba wananchi waliohudhuria ule mkutano hawakuuliza maswali yanayotakiwa, na hayo ni maoni yangu na ninasema hayo kwa sababu kuna sehemu nyingi nimeona mikutano ya rais ambako rais alitolewa jasho, na mojawapo ni Mozambique, Kampala, na Angola,

Hata siku moja sisubiri kuuliziwa, huwa ninauliza mwenyewe, isipokuwa simwagi mtama kwenye kuku wengi, ukweli ni ukweli I am sorry kama kuna wanaochukizwa, hii ni forum tu au Bulogu, sio anything else!

Mzee Mwanakiji, Jasusi, Mtz, na wengineo, bravo kwa kuukubali ukweli, tukubali yaishe na tusonge mbele, kukimbilia personal haitasaidia kitu, yaliyofanyika NY ni aibu, angalau huku Boston kidogo kuna waliojitahidi kwa kuja pale hotelini na kuuliza maswali ya kikweli, na huko Minnesota tunawaomba mfanye kweli sio kurudia yale yale ya NY!

Mzee FD, usiwe na wasi, maana wangejua matusi tunayokula kila siku mitaani haya ni marduio tu, wacha vijana wajifurahishe lakini tutaendelea kukata issues hapa bila kuogopa mtu!

Mzee,

Samahani kwa kutoa data ambayo sikuwa na hakika nayo.
 
Mzee Mwanakijiji said:
Msiwe na shaka, na wala sitaki watu muunderestimate KLH News.. Rais ataulizwa maswali. Nilikuwa nitume fax siku ya Ijumaa ya kujaribu kupanga hayo mahojiano then hili limetokea (msiba) so it threw me off...Lakini msiwe na shaka... We will go where no Tanzanian media has ever dared to...!!

Nobody is underestimating your efforts,Mwanakijiji.In fact,jana nilikupongeza kwa jinsi ulivyofanya mahojiano na mwakilishi wa families za wafiwa.Wewe ndio mmiliki wa KLH News lakini sasa na sie walengwa wako tumeshakuwa wadau kwenye radio hiyo.Naamini mchango wangu haukuwa na lengo la ku-underestimate efforts zako bali ni changamoto zaidi ktk kuitumikia jamii.Inanikumbusha speech moja ya George Bush alipokuwa voted A Man of the Year by Time Magazine.Namnukuu "unapoona watu wananizungumzia...aidha kwa kunipongeza au kunipinga...inamaanisha kuwa wananisikiliza,otherwise wasingeweza ku-comment kitu wasichokisikiliza..."

Nayasuburi kwa hamu mahojiano na Jakaya.Keep it up,you're doing a great service to society.
 
Mlalahoi,

You are a great contributor. Unakubali kukosolewa na unaomba msamaha.
Ninakuheshimu

FD
 
Mlalahoi

Mzee Es anaishi Bongo ila yeye ni ..................
Admin ni bwana mdogo Mike ama Fillga yeye yuko Dar anajifunza mambo bado lakini yuko kwenye payroll ya JK na Shein ndiyo mambo haya .

Es endelea kupeleka messages zetu hapa kwa wakubwa .
 
Anytime inapowezekana, na ni lazima niseme I could'nt be more proud kwa mwanaforum mmoja aliyemfanyia copy za hii forum "Kigogo" mmoja huko majuu hivi karibuni , katika maeneo ya Mzee Jasusi huko DC, huyu kijana simfahamu kwa jina lakini natoa heshima zangu kwani believe me vigogo wote wataishia kuja hapa baada ya kupewa salaam na huyo kigogo,

Na Mzee Mwanakijiji, hiyo kitu yako bro! wazee wameshaisikia hiyo, usirudi nyuma maana inafikia mahali binadamu unaamua bora kufa kuliko kuendelea kuchezewa,

ninarudia kutoa heshima zangu kwa Mzee Jasusi, kwa kusimama kidete mbele ya rais wa jamhuri na kumtoa jasho,

Mzee Shughuli, mimi ni wewe ndugu yangu kabwela, na tuendelee kuchambua vitu ndugu zangu, hakuna kulala!
 
Tena ndugu zangu sasa nimeamuwa kwenda pro... kwani hii wiki watanzania wamevunja rekodi ya kusikiliza.... tangu nilipoanza mwezi Machi nilikuwa na subscribers kama 52 hivi.. wiki hii wamefikia 87! Watu waliokuwa wakitembelea ukurasa wangu ilikuwa ni kama 177 kwa siku... wiki hii imekuwa zaidi ya 500! So, nimetiwa (mhe Spika samahani) moyo sana na nimeamua kwenda pro na hivyo kuondoa usumbufu wa kumaliza bandwidth!! So natanguliza shukurani kwenu nyote..!
 
Mzee Es said:
................. kuna suala la IPTL ambalo linahitaji signature 250 za wananchi wanaoishi bongo ili lifufuliwe kisheria, kwa kusaidiwa na jamaa zetu wa Mlimani, tayari rtumeshaanza kukusanya hizo, na zitakapofikia utalisikia hilo,.........

That's a great move mzee ES! ... at least something is being done beyond blah blah za humu foramuni... that's the way to go. Nakutakia kila la heri katika pirika hizi za kutuokolea bilioni 3 zetu kila mwezi, yaani SHILINGI MILIONI MIA MOJA KWA SIKU .... for UMEME HEWA ... tena kwa miaka 20!! Damn!

Ile repoti ya Brian Cooksey wa Transparent international ilinikosesha usingizi, ningekuwa ni mwananchi niishie bongo ningekutafuta niongeze signature humo.

Tafadhali tujulishe hii move inavyoendelea, ikibidi ifungulie thread yake.

Yaani hili likienda poa tutakuwa na nguvu to do the same for other mikataba tata? ... maana naona akina Lawrence Masha wanatuyeyusha tu so far. Sijui ndio ile 'conflict of interest'?!
 
Mkutano wa rais wetu Mzee JK, jana na wa-Tanzania pale New York nyumbani kwa balozi, nafikiri ilikuwa ni moja ya the finest moment ya urais wa rais JK, best perfomance by our president, best makaribisho kwa wananchi wote nyumbani kwa balozi, chakula safi baada ya hotuba na maswali,

lakini niseme one thing, jamani wazee wa NY vipi? Maswali kama watu waliolala usingizi? What a joke, eti rais vipi hospitali ya Musoma bado inajengwa au vipi? He! are you serious haya ndio maswali ya kumuuliza rais wako? Eti umeme wa Solar ufutiwe kodi na wakati sisi wabongo wote tunajua kuwa siku zote hauna kodi?

Wazeee wa NY mmenishangaza sana, bravo mzee Jasusi kwa swali lako dogo lakini makini kwa manufaa ya wakulima wadogo wadogo,

Je Wazeee wangu mnasemaje?, lakini mimi ninadhani kuwa ilikuwa one of the best perfomance by our president na ubalozi wetu pale chini ya mzee Mahiga!

Kumbe safari zake zilianza wiki mbili tu tangu achaguliwe kuwa Rais !!
 
Back
Top Bottom