Mwasongola
Senior Member
- Aug 8, 2018
- 149
- 108
Huyu mzee anakula raha za dunia huyu !!!!
naweza apply hii vacancy?Kuna kabila moja huko Northern Rhodesia, huwa wanampa jukumu mtu mmoja kwa ajili ya kazi ya kubikiri...pia hata kulala na wanawake waliofiwa na waume zao. Wanafikiri ni sehemu ya kuondoa mikosi.
Hiyo taarifa BBC I think wamewahi kuripoti.
Kila mtu na starehe yake " wazungu wana yao na ss tuna yetuHapo ndio akili za baadhi ya watu weusi zilikoishia akipata hela ni kuoa tu sababu watu kama billgate na wengine wengi wako marekani na ulaya uko na wachache wao ni kama dangote
nasema Mungu anajuwa sababu matajiri wakubwa wengi wao ni wazungu
Tena wenyewe wanabanduana wanaume kwa wanaume na hatuwasumbui mbona watuacheKila mtu na starehe yake " wazungu wana yao na ss tuna yetu
Mtawafanya wale wenye chama chao pendwa waingie kazini usiku huu ohooo!!Former President Jacob Zuma was getting married last weekend for the 7th time. Indoda ayigugi, forever young.
The latest wife is 24 and uZuma is now 76
View attachment 892391View attachment 893109View attachment 893110
Hauwezi kwa sababu upo nje ya utamaduni wao. Na hata wenyewe wahusika wa hilo kabila sio wote wanayo access ya kufanya undava kama huo.naweza apply hii vacancy?
Amemuacha 52yrs kwa hiyo huyo ni mjukuu kabisa
HahahahahaWanasema wanaume hatuzeeki. Eti ndiyo maana hutaskia 'mabibi na mababu' bali mabibi na mabwana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Former President Jacob Zuma was getting married last weekend for the 7th time. Indoda ayigugi, forever young.
The latest wife is 24 and uZuma is now 76
View attachment 892391View attachment 893109View attachment 893110
Jigijigi Na Pesa ZaidiMmmh huyo mwanamke kuna kitu kafuata hapo sio bure
Walahi..Swafiiii sana, pesa tamu sana walahi
Hapo kawaolea wengine tu walahi
Totally wrong move walahi
Mbona waasia haujawajumuisha? Wazungu wengi kuku matahira na vyakula vya ovyo ndiyo vinawamaliza nguvu. Bila kusahau watu wanaofanya kazi zinazotumia akili sana zinadhoofisha mwili. Bila kusahau pamoja wengi kuwa na mwanamke mmoja lakini bado unasikia wengi kutembea na wanawake tofauti tofauti...Hapo ndio akili za baadhi ya watu weusi zilikoishia akipata hela ni kuoa tu sababu watu kama billgate na wengine wengi wako marekani na ulaya uko na wachache wao ni kama dangote
nasema Mungu anajuwa sababu matajiri wakubwa wengi wao ni wazungu
😂😂😂😂 hii ya moto moto kabisaWanasema wanaume hatuzeeki. Eti ndiyo maana hutaskia 'mabibi na mababu' bali mabibi na mabwana.
Kafuata Pesa na si mapenzi...Mmmh huyo mwanamke kuna kitu kafuata hapo sio bure
Mswatinani huyo anayebikiri mkuu?
Sisi waafrika tuna matatizo sana, huwa tunawazaga hiyo kitu tu...weupe mbona hawana huo ujinga!!!!Kila mtu na starehe yake " wazungu wana yao na ss tuna yetu
HahahahaWanasema wanaume hatuzeeki. Eti ndiyo maana hutaskia 'mabibi na mababu' bali mabibi na mabwana.