Mzee Jacob Zuma ameongeza kifaa kingine ndani

Mzee Jacob Zuma ameongeza kifaa kingine ndani

So long anakula vizuri anaishi vizuri (kwa mtazamo wetu anyway maana inawezekana ana stress kuliko zako) lidudu bado linahimili shughuli.
Kweli lakini...mke wake maskini full kumsifia insta mara paaap ndoa 😀 😀
 
Anaoa nini hali keshakuwa mzee hivyo?!!!!
Huyu mzee ana vituko sana. Nakumbuka miaka ya karibuni alitahiriwa nayo ikawa ni habari duniani, tena alikuwa bado ni rais
Ni muda muafaka sasa apate na "tohara" ya akili😂😂😂😂😂
 
Tatzo ni umaskin wetu tuu ndio unatufanya tusitafune vtu vizur

Mimi naona safi tuuu
 
Hapo ndio akili za baadhi ya watu weusi zilikoishia akipata hela ni kuoa tu sababu watu kama billgate na wengine wengi wako marekani na ulaya uko na wachache wao ni kama dangote
nasema Mungu anajuwa sababu matajiri wakubwa wengi wao ni wazungu
 
Back
Top Bottom