JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
Kakke, Nguruvi3, abdulahsaf, takashi, Jasusi,
..binafsi nimesikitishwa na quality ya maswali waliyokuwa wakiuliza, haswa Jussa.
..Jussa alimuuliza Mzee Moyo kama kuna wakati Mwalimu Nyerere na Sheikh Karume walikuwa hawaongei. Binafsi sijui suala hilo litamsaidia vipi Mzanzibari na Mtanganyika wa kawaida.
..Kwa hapa tulipofika nadhani wanasiasa na wanasheria wangekaa pembeni. badala yake mjadala wa muungano uchukuliwe na watu wa taaluma na kada nyingine kama WACHUMI, WAFANYABIASHARA, etc etc.
..binafsi nimesikitishwa na quality ya maswali waliyokuwa wakiuliza, haswa Jussa.
..Jussa alimuuliza Mzee Moyo kama kuna wakati Mwalimu Nyerere na Sheikh Karume walikuwa hawaongei. Binafsi sijui suala hilo litamsaidia vipi Mzanzibari na Mtanganyika wa kawaida.
..Kwa hapa tulipofika nadhani wanasiasa na wanasheria wangekaa pembeni. badala yake mjadala wa muungano uchukuliwe na watu wa taaluma na kada nyingine kama WACHUMI, WAFANYABIASHARA, etc etc.
Last edited by a moderator: