Namkumbuka huyu wakati huo akiwa Mkurugenzi wa RTD,pia alikuwa akiendesha kipindi mashuhuri cha NIPE HABARI. Sauti yake ilikuwa nzito ya wastani isiyokuwa na mikwaruzo kama ya Jacob Tesha wala mbwembwe kama kama za wakina Jongo na Benedict Kikoti (Ben Kiko).
BWANA alitoa na BWANA ametwaa, Jina la BWANA libarikiwe!
Amina!!