Mzee Butiku: Ukipigania haki unaingia kwenye misukosuko

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Mzee Joseph Butiku amesema watu wote wanaliopigania haki wamepata misukosuko kutokana na tabia za binadamu kutojali haki za wengine. Amesema kuwa haki za binadamu zina misukosuko kutokana na kwamba wapo wanaozitaka na wasiozitaka, ni tabia ya binadamu apate yeye, ukose wewe. Ameongeza kuwa ukishatengeneza Serikali na ukawapa watu nafasi , katika mfumo wa uchoyo uliokithiri mwingine atataka apate zaidi, wewe usipate.

Ameshauri kwamba Taifa lazima ling'ang'anie misingi iliyowekwa ya kupigania haki ili kuhakikisha haki hizo zinapatikana.

Butiku.jpg
 
Mzee Joseph Butiku amesema watu wote wanaliopigania haki wamepata misukosuko kutokana na tabia za binadamu kutojali haki za wengine. Amesema kuwa haki za binadamu zina misukosuko kutokana na kwamba wapo wanaozitaka na wasiozitaka, ni tabia ya binadamu apate yeye, ukose wewe. Ameongeza kuwa ukishatengeneza Serikali na ukawapa watu nafasi , katika mfumo wa uchoyo uliokithiri mwingine atataka apate zaidi, wewe usipate.

Ameshauri kwamba Taifa lazima ling'ang'anie misingi iliyowekwa ya kupigania haki ili kuhakikisha haki hizo zinapatikana.
UDIKTETA UMESHAMIRI

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Nayaona maumivu anayoyapata mzee Butiku lakini ajue waliowakabidhi nchii wanahesabu siku tu wazee wafariki wao waendelee kupiga.

Hawa wazee waliwahi kuwa na heshima sana, walikuwa wakisema wanasikika, leo wamebaki wametupwa hata matamasha hawapewi na hawaalikwi tena.

Mi naweza kumshauri apumzike kwa amani, taifa waliwapa watu ambao hawakustahili sasa wanaona shida yake, na imetoka hiyo.
 
MITHALI 29

1 Mtu ashupazae shingo yake baada ya maonyo mengi,
ataangamia ghafla, wala hapati dawa.

2 Wenye haki wanapostawi juu ya nchi, watu hufurahi; bali
waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
 
Nayaona maomivu anayoyapata mzee Butiku lakini ajue waliowakabidhi nchii wanahesabu siku tu wazee wafariki wao waendelee kupiga.

Hawa wazee waliwahi kuwa na heshima sana, walikuwa wakisema wanasikika, leo wamebaki wametupwa hata matamasha hawapewi na hawaalikwi tena.

Mi naweza kumshauri apumzike kwa amani, taifa waliwapa watu ambao hawakustahili sasa wanaona shida yake, na imetoka hiyo.
Tatizo.la Butiku,Warioba,Dk Salim wanaibudu zaidi CCM kisiasa wanaonakabisa mambo yakiharibika ila wanauma na kupuliza!.
 
Mzee Joseph Butiku amesema watu wote wanaliopigania haki wamepata misukosuko kutokana na tabia za binadamu kutojali haki za wengine. Amesema kuwa haki za binadamu zina misukosuko kutokana na kwamba wapo wanaozitaka na wasiozitaka, ni tabia ya binadamu apate yeye, ukose wewe. Ameongeza kuwa ukishatengeneza Serikali na ukawapa watu nafasi , katika mfumo wa uchoyo uliokithiri mwingine atataka apate zaidi, wewe usipate.

Ameshauri kwamba Taifa lazima ling'ang'anie misingi iliyowekwa ya kupigania haki ili kuhakikisha haki hizo zinapatikana.
Mafisadi hawapendo kusemwa semwa
 
Nayaona maomivu anayoyapata mzee Butiku lakini ajue waliowakabidhi nchii wanahesabu siku tu wazee wafariki wao waendelee kupiga.

Hawa wazee waliwahi kuwa na heshima sana, walikuwa wakisema wanasikika, leo wamebaki wametupwa hata matamasha hawapewi na hawaalikwi tena.

Mi naweza kumshauri apumzike kwa amani, taifa waliwapa watu ambao hawakustahili sasa wanaona shida yake, na imetoka hiyo.
Walijali Chama kuliko Taifa. Sasa tunatumbukia shimoni sote.
 
Mzee Joseph Butiku amesema watu wote wanaliopigania haki wamepata misukosuko kutokana na tabia za binadamu kutojali haki za wengine. Amesema kuwa haki za binadamu zina misukosuko kutokana na kwamba wapo wanaozitaka na wasiozitaka, ni tabia ya binadamu apate yeye, ukose wewe. Ameongeza kuwa ukishatengeneza Serikali na ukawapa watu nafasi , katika mfumo wa uchoyo uliokithiri mwingine atataka apate zaidi, wewe usipate.

Ameshauri kwamba Taifa lazima ling'ang'anie misingi iliyowekwa ya kupigania haki ili kuhakikisha haki hizo zinapatikana.
Mwenye rikodi ya Mzee Butiku akimkosoa Mwl.Nyerere naomba atutumie humu tue na chakujifunza
 
Tatizo.la Butiku,Warioba,Dk Salim wanaibudu zaidi CCM kisiasa wanaonakabisa mambo yakiharibika ila wanauma na kupuliza!.
Umeuona muswaada ulipelekwa bungeni kuhusu maslahi yao? Wameongezewa mapesa na magari na mishahara. Ile ni kuwafanya wakae kimya. Maslahi yao lazima wayalinde pia.

Kumbuka wastaafu walivyokuwa wakikosoa wakati wa Marehemu Magufuli. Waliitwa na kufokewa kama watoto, waliambiwa muda wenu uliisha, hamkuingiliwa, hivyo msituingilie zamazetu tunapochukua hatua.

Aliwaambia ni serikali hii hii inawalipeni stahiki zenu, halafu mnatukosoa, tunaweza kusema hatuna pesa na tusiwalipeni mtafanya nini? Kwasababu aliona wanaside na wananchi, akaona isiwe tabu, akawaita.

Waliondoka kwa adabu, mpaka leo ukiwasikia wan donoa wanakimbia. Na hawawezi kuikosoa CCM lile ni janga la Taifa, waliomo mule wanaweza kukutoa uhai ikibidi ikiwa utagusa maslahi yao.
 
Mi naweza kumshauri apumzike kwa amani, taifa waliwapa watu ambao hawakustahili sasa wanaona shida yake, na imetoka hiyo.
Huu ushauri wako siyo sahihi hata kidogo.

Maadam hawa wazee wapo mlangoni kuelekea kwingine, hawa ndio wanao takiwa kupiga kelele zaidi badala ya kupumzika unakowataka wafanye.
Hawa hawana chochote cha kupoteza.
 
Mzee Joseph Butiku amesema watu wote wanaliopigania haki wamepata misukosuko kutokana na tabia za binadamu kutojali haki za wengine. Amesema kuwa haki za binadamu zina misukosuko kutokana na kwamba wapo wanaozitaka na wasiozitaka, ni tabia ya binadamu apate yeye, ukose wewe. Ameongeza kuwa ukishatengeneza Serikali na ukawapa watu nafasi , katika mfumo wa uchoyo uliokithiri mwingine atataka apate zaidi, wewe usipate.

Ameshauri kwamba Taifa lazima ling'ang'anie misingi iliyowekwa ya kupigania haki ili kuhakikisha haki hizo zinapatikana.
Aseme ukweli kuwa tuna serikali ya hovyo imejaza majangili tupu kwenye system
 
Nayaona maomivu anayoyapata mzee Butiku lakini ajue waliowakabidhi nchii wanahesabu siku tu wazee wafariki wao waendelee kupiga.

Hawa wazee waliwahi kuwa na heshima sana, walikuwa wakisema wanasikika, leo wamebaki wametupwa hata matamasha hawapewi na hawaalikwi tena.

Mi naweza kumshauri apumzike kwa amani, taifa waliwapa watu ambao hawakustahili sasa wanaona shida yake, na imetoka hiyo.
Kwa maoni yako ni kwamba unamfunga mdomo asiongee!
Umempiga vijembe mzee wa watu kiaina ilhali ametumia haki yake ya kikatiba.
 
Ushahidi wa wazi huu hapa,serikali ya CCM huwa inawafutia usajili mawakili wanaopigania haki za Watanzania
View attachment 2822828
Sasa polepole kakosea nini kuna tofauti ya kutetea viongozi wahuni na kutetea haki na wananchi .... wakili anatakiwa kutetea haki na wanachi dhidi ya wahuni ndicho polepole alicho sema..kwa sasa hivi serikali dhalimu ya samia inapambana dhidi ya haki na dhidi ya wananchi na mawakili wazalendo ndiyo wanaumizwa ....kwa sababu kwake sa100 uzalendo ni sawa na kinyesi...wamasai wana katwa koromeo na waarabu na vibaraka wao kisa ardhi yao
 
Back
Top Bottom