PostGE2025 Mzee Butiku: Rais ameshachaguliwa, hatukubali wanaosema aondoke; sio rais wa CCM, ni wa Tanzania

PostGE2025 Mzee Butiku: Rais ameshachaguliwa, hatukubali wanaosema aondoke; sio rais wa CCM, ni wa Tanzania

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Laana ya kumsaliti Polepole ishaanza kumtafuna
 
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameishachaguliwa kihalali, hivyo hakuna msingi wa kudai aondoke madarakani, akisisitiza kuwa Rais huyo si wa Chama cha Mapinduzi (CCM) pekee bali ni Rais wa Watanzania wote.

Akizungumza katika maelezo yake, Butiku alisema jamii haina sababu ya kuogopa kumzungumzia Rais pale panapokuwa na hoja au changamoto, mradi mjadala huo uwe wa nia njema na kwa heshima kubwa.

"Sasa tatizo ni nini? Hatutaki kusema ni Rais? Rais ni mmoja wetu tu. Anaweza kuwa na tatizo lake, tulizungumze na aruhusu tuzungumze. Huwezi kuwa na baba ndani halafu hazungumzi, halafu panapokuwa na watu 20 anazungumza. Kwa hiyo Rais ni Rais wetu," amesema Butiku.

"Tunamzungumzia kama tunazungumza kwa nia njema na kwa heshima kubwa kabisa. Hatuzungumzi kumuondoa kwa sababu utaratibu wa kumuondoa upo. Ndiyo maana hatukubaliani na wanaosema aondoke kesho; hatukubali," ameongeza.

Akirejea falsafa ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Butiku amesema hata pale taifa linapofanya kosa katika uchaguzi wa kiongozi, suluhu si kuvunja misingi ya utawala, bali kurekebisha kwa utaratibu uliowekwa.

"Alishachaguliwa, na Baba wa Taifa alisema mkifanya kosa mkamchagua. Huyu hatujafanya kosa; yeye hana kosa, alichaguliwa kupitia chama. Kwa hiyo ni Rais wetu, siyo wa CCM, ni Rais wa Tanzania," amesema Butiku.

Kauli ya Butiku inakuja wakati kukiwa na mijadala mbalimbali ya kisiasa nchini, kutokana na matukio ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu ambao umeacha maumivu kwa raia kufuatia vifo vya watu wengi kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Anaposema "HATUKUBALI" anaongelea akina nani walio pamoja naye? Ooops kumbe ni yeye na vyombo vya usalama?

Mimi Mwananchi nimesimama kumkataa huyo muuaji wao.

Huyu mzee ni wa kumpuuza. Lizee limeshakuwa mpaka na vilembwe bado linang'ang'ania ukurugenzi wa taasisi ya ndugu yake.

Jinga kabisa. Njaa wahed
 
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameishachaguliwa kihalali, hivyo hakuna msingi wa kudai aondoke madarakani, akisisitiza kuwa Rais huyo si wa Chama cha Mapinduzi (CCM) pekee bali ni Rais wa Watanzania wote.

Akizungumza katika maelezo yake, Butiku alisema jamii haina sababu ya kuogopa kumzungumzia Rais pale panapokuwa na hoja au changamoto, mradi mjadala huo uwe wa nia njema na kwa heshima kubwa.

"Sasa tatizo ni nini? Hatutaki kusema ni Rais? Rais ni mmoja wetu tu. Anaweza kuwa na tatizo lake, tulizungumze na aruhusu tuzungumze. Huwezi kuwa na baba ndani halafu hazungumzi, halafu panapokuwa na watu 20 anazungumza. Kwa hiyo Rais ni Rais wetu," amesema Butiku.

"Tunamzungumzia kama tunazungumza kwa nia njema na kwa heshima kubwa kabisa. Hatuzungumzi kumuondoa kwa sababu utaratibu wa kumuondoa upo. Ndiyo maana hatukubaliani na wanaosema aondoke kesho; hatukubali," ameongeza.

Akirejea falsafa ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Butiku amesema hata pale taifa linapofanya kosa katika uchaguzi wa kiongozi, suluhu si kuvunja misingi ya utawala, bali kurekebisha kwa utaratibu uliowekwa.

"Alishachaguliwa, na Baba wa Taifa alisema mkifanya kosa mkamchagua. Huyu hatujafanya kosa; yeye hana kosa, alichaguliwa kupitia chama. Kwa hiyo ni Rais wetu, siyo wa CCM, ni Rais wa Tanzania," amesema Butiku.

Kauli ya Butiku inakuja wakati kukiwa na mijadala mbalimbali ya kisiasa nchini, kutokana na matukio ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu ambao umeacha maumivu kwa raia kufuatia vifo vya watu wengi kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Huyu mzee mpumbavu sana
 
Joseph waryoba butiku? Ndo nani huyu tena mbona umetumia jna la mzee warioba wkt hata siye umechukua jina la warioba na la butiku ili iweje?
 
Kabla P
Mbona tuhuma hii ni nzito sana, na wala sikupata bahati ya kupitia thread ya usaliti wake au ni KIPINDI CHA ban ya TCRA?
Polepole hajatekwa alizungumzia kuhusu Mzee mstaafu kukengeuka, kauli zake zinaashiria moja kwa moja kuwa yeye ndio mlengwa.
 
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameishachaguliwa kihalali, hivyo hakuna msingi wa kudai aondoke madarakani, akisisitiza kuwa Rais huyo si wa Chama cha Mapinduzi (CCM) pekee bali ni Rais wa Watanzania wote.

Akizungumza katika maelezo yake, Butiku alisema jamii haina sababu ya kuogopa kumzungumzia Rais pale panapokuwa na hoja au changamoto, mradi mjadala huo uwe wa nia njema na kwa heshima kubwa.

"Sasa tatizo ni nini? Hatutaki kusema ni Rais? Rais ni mmoja wetu tu. Anaweza kuwa na tatizo lake, tulizungumze na aruhusu tuzungumze. Huwezi kuwa na baba ndani halafu hazungumzi, halafu panapokuwa na watu 20 anazungumza. Kwa hiyo Rais ni Rais wetu," amesema Butiku.

"Tunamzungumzia kama tunazungumza kwa nia njema na kwa heshima kubwa kabisa. Hatuzungumzi kumuondoa kwa sababu utaratibu wa kumuondoa upo. Ndiyo maana hatukubaliani na wanaosema aondoke kesho; hatukubali," ameongeza.

Akirejea falsafa ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Butiku amesema hata pale taifa linapofanya kosa katika uchaguzi wa kiongozi, suluhu si kuvunja misingi ya utawala, bali kurekebisha kwa utaratibu uliowekwa.

"Alishachaguliwa, na Baba wa Taifa alisema mkifanya kosa mkamchagua. Huyu hatujafanya kosa; yeye hana kosa, alichaguliwa kupitia chama. Kwa hiyo ni Rais wetu, siyo wa CCM, ni Rais wa Tanzania," amesema Butiku.

Kauli ya Butiku inakuja wakati kukiwa na mijadala mbalimbali ya kisiasa nchini, kutokana na matukio ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu ambao umeacha maumivu kwa raia kufuatia vifo vya watu wengi kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Rais hakuchaguliwa, yale yalikuwa ni mapinduzi ya kijeshi.

Tusilazimishe Rais kachaguliwa.
 
Kwenye wasiokubali na warioba mimi sipo! Asinisemee
 
Changamoto ya nchi yetu ni kukosa Wazee wenye Hekima na Busara!
Kipindi hiki ulikuwa siyo muda sahihi wa Wazee kutoa tamko kama hilo!
Naona siyo muda mrefu huenda mzee Warioba atalazimishwa kutoa tamko!
 
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameishachaguliwa kihalali, hivyo hakuna msingi wa kudai aondoke madarakani, akisisitiza kuwa Rais huyo si wa Chama cha Mapinduzi (CCM) pekee bali ni Rais wa Watanzania wote.

Akizungumza katika maelezo yake, Butiku alisema jamii haina sababu ya kuogopa kumzungumzia Rais pale panapokuwa na hoja au changamoto, mradi mjadala huo uwe wa nia njema na kwa heshima kubwa.

"Sasa tatizo ni nini? Hatutaki kusema ni Rais? Rais ni mmoja wetu tu. Anaweza kuwa na tatizo lake, tulizungumze na aruhusu tuzungumze. Huwezi kuwa na baba ndani halafu hazungumzi, halafu panapokuwa na watu 20 anazungumza. Kwa hiyo Rais ni Rais wetu," amesema Butiku.

"Tunamzungumzia kama tunazungumza kwa nia njema na kwa heshima kubwa kabisa. Hatuzungumzi kumuondoa kwa sababu utaratibu wa kumuondoa upo. Ndiyo maana hatukubaliani na wanaosema aondoke kesho; hatukubali," ameongeza.

Akirejea falsafa ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Butiku amesema hata pale taifa linapofanya kosa katika uchaguzi wa kiongozi, suluhu si kuvunja misingi ya utawala, bali kurekebisha kwa utaratibu uliowekwa.

"Alishachaguliwa, na Baba wa Taifa alisema mkifanya kosa mkamchagua. Huyu hatujafanya kosa; yeye hana kosa, alichaguliwa kupitia chama. Kwa hiyo ni Rais wetu, siyo wa CCM, ni Rais wa Tanzania," amesema Butiku.

Kauli ya Butiku inakuja wakati kukiwa na mijadala mbalimbali ya kisiasa nchini, kutokana na matukio ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu ambao umeacha maumivu kwa raia kufuatia vifo vya watu wengi kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Huyu washamjadili kwenye space siku nyingi sana, kuwa alifuatwa na Abdul 'kusomeshwa' 'akajaa' na hivi punde angetoka na speech za kuunga mkono kiendawazimu kama hizi.

Nilidhani ni porojo tu za kwenye space!

... 'Hatukubali'... Hakubaliani yeye na nani, tayari kishaona madai ya haki kwa waTz ni nyoko tu?

Na kusema tuzungumze na Rais kama mmoja wetu ama mwenzetu tena kwa heshima kubwa, huyu mzee ametukosea sana heshima waTz kwa ajili tu ya kutetea tumbo lake!

Kweli 'bahasha' inaweza kuhamisha mlima!
Kwa kweli wasioelewa kilicho nyuma ya pazia kuhusiana na huyu mzee, kwa speech hii watashangaa sana!

Huyu anastahili kutengwa na kuondolewa kwenye kundi la wazee wenye busara tuliowategemea!
 
Changamoto ya nchi yetu ni kukosa Wazee wenye Hekima na Busara!
Kipindi hiki ulikuwa siyo muda sahihi wa Wazee kutoa tamko kama hilo!
Naona siyo muda mrefu huenda mzee Warioba atalazimishwa kutoa tamko!
Wote walifuatwa 'kusomeshwa', nasikia Warioba alichomoa, lakini huyu 'akajaa'.
 
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameishachaguliwa kihalali, hivyo hakuna msingi wa kudai aondoke madarakani, akisisitiza kuwa Rais huyo si wa Chama cha Mapinduzi (CCM) pekee bali ni Rais wa Watanzania wote.

Akizungumza katika maelezo yake, Butiku alisema jamii haina sababu ya kuogopa kumzungumzia Rais pale panapokuwa na hoja au changamoto, mradi mjadala huo uwe wa nia njema na kwa heshima kubwa.

"Sasa tatizo ni nini? Hatutaki kusema ni Rais? Rais ni mmoja wetu tu. Anaweza kuwa na tatizo lake, tulizungumze na aruhusu tuzungumze. Huwezi kuwa na baba ndani halafu hazungumzi, halafu panapokuwa na watu 20 anazungumza. Kwa hiyo Rais ni Rais wetu," amesema Butiku.

"Tunamzungumzia kama tunazungumza kwa nia njema na kwa heshima kubwa kabisa. Hatuzungumzi kumuondoa kwa sababu utaratibu wa kumuondoa upo. Ndiyo maana hatukubaliani na wanaosema aondoke kesho; hatukubali," ameongeza.

Akirejea falsafa ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Butiku amesema hata pale taifa linapofanya kosa katika uchaguzi wa kiongozi, suluhu si kuvunja misingi ya utawala, bali kurekebisha kwa utaratibu uliowekwa.

"Alishachaguliwa, na Baba wa Taifa alisema mkifanya kosa mkamchagua. Huyu hatujafanya kosa; yeye hana kosa, alichaguliwa kupitia chama. Kwa hiyo ni Rais wetu, siyo wa CCM, ni Rais wa Tanzania," amesema Butiku.

Kauli ya Butiku inakuja wakati kukiwa na mijadala mbalimbali ya kisiasa nchini, kutokana na matukio ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu ambao umeacha maumivu kwa raia kufuatia vifo vya watu wengi kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Huyu mzee anaf*irwa mkun*du, amezungumzia nini kuhusu miili ambayo mpaka leo haijulikani ilipofukiwa?
 
Huyu mzee naye matako tu, huyu ndiye alimuuza Polepole kwa Mafwele. Vizee kama hivi huku kwetu Usukumani tunapiga shoka moja kichwani tunazika.
 
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameishachaguliwa kihalali, hivyo hakuna msingi wa kudai aondoke madarakani, akisisitiza kuwa Rais huyo si wa Chama cha Mapinduzi (CCM) pekee bali ni Rais wa Watanzania wote.

Akizungumza katika maelezo yake, Butiku alisema jamii haina sababu ya kuogopa kumzungumzia Rais pale panapokuwa na hoja au changamoto, mradi mjadala huo uwe wa nia njema na kwa heshima kubwa.

"Sasa tatizo ni nini? Hatutaki kusema ni Rais? Rais ni mmoja wetu tu. Anaweza kuwa na tatizo lake, tulizungumze na aruhusu tuzungumze. Huwezi kuwa na baba ndani halafu hazungumzi, halafu panapokuwa na watu 20 anazungumza. Kwa hiyo Rais ni Rais wetu," amesema Butiku.

"Tunamzungumzia kama tunazungumza kwa nia njema na kwa heshima kubwa kabisa. Hatuzungumzi kumuondoa kwa sababu utaratibu wa kumuondoa upo. Ndiyo maana hatukubaliani na wanaosema aondoke kesho; hatukubali," ameongeza.

Akirejea falsafa ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Butiku amesema hata pale taifa linapofanya kosa katika uchaguzi wa kiongozi, suluhu si kuvunja misingi ya utawala, bali kurekebisha kwa utaratibu uliowekwa.

"Alishachaguliwa, na Baba wa Taifa alisema mkifanya kosa mkamchagua. Huyu hatujafanya kosa; yeye hana kosa, alichaguliwa kupitia chama. Kwa hiyo ni Rais wetu, siyo wa CCM, ni Rais wa Tanzania," amesema Butiku.

Kauli ya Butiku inakuja wakati kukiwa na mijadala mbalimbali ya kisiasa nchini, kutokana na matukio ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu ambao umeacha maumivu kwa raia kufuatia vifo vya watu wengi kabla, wakati na baada ya uchaguzi.


Hivi huyu Mzee akinyamaza atapungukiwa nini...!!?

Samia kachaguliwa au kajichagua.....!!?
 
Back
Top Bottom