Mzee baada ya kuibiwa nauli ndani ya daladala....

Mzee baada ya kuibiwa nauli ndani ya daladala....

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,342
Reaction score
2,528
Jamaa alimuibia mzee nauli ktk daladala

Mzee: Jamani aloniokotea nauli yangu anirudishie, nisije nikafanya nilichofanya mwaka 1977.

Jamaa huku akitetemeka akarudisha halafu akauliza, "kwani mzee 1977 ulifanya nini?

Mzee: nilitembea kwa miguu kutoka mbagala mpka mwenge baada ya kupoteza nauli.
 
Zamani ilikuwa mpaka usubiri gazeti la Sani (tena la kuazima)
 
Mwizi kajua busha litamshuka kumbe dah mzee mwanafalsafa!
 
nmecheka mpaka nmepaliwa na chakula aisee.
 
Kila kitu ni kwenda nacho kwa akili tuuu
 
hangekua kijana katisha jamaa hacngeogopa ila sababu ya imani kuwa wazee wengi ni wachawi kjn akapata presha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom