only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,342
- 2,528
Jamaa alimuibia mzee nauli ktk daladala
Mzee: Jamani aloniokotea nauli yangu anirudishie, nisije nikafanya nilichofanya mwaka 1977.
Jamaa huku akitetemeka akarudisha halafu akauliza, "kwani mzee 1977 ulifanya nini?
Mzee: nilitembea kwa miguu kutoka mbagala mpka mwenge baada ya kupoteza nauli.
Mzee: Jamani aloniokotea nauli yangu anirudishie, nisije nikafanya nilichofanya mwaka 1977.
Jamaa huku akitetemeka akarudisha halafu akauliza, "kwani mzee 1977 ulifanya nini?
Mzee: nilitembea kwa miguu kutoka mbagala mpka mwenge baada ya kupoteza nauli.