flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,373
- Thread starter
- #41
Si kweli.... Mzigo napata vzr ila sio sababu yayeye kuwa mchafuMi nilidhani mzigo huupati kisawasawa, huku niliko makungwi wanawafunda mabinti kwa kuwaambia hata ukiwa hujui kupika ila ukiperform vyema kitandani mumeo atakupikia, atakuoshea vyombo, atadeki , atafua, kwa furaha zote