Mzazi mwenzangu hahudumii mtoto; nataka nimpeleke mahakamani

Hio ndio akili ile ile aliotumiaga Hamisa kwa Mondi πŸ˜‚
 
Mkuu nakukumbusha tu kuwa mtoa mada ndio huyu Anita kaja na ID mpya kujitetea ndio maana humuoni mtoa mada, achana nae
 
Si kakuaachia nyumba,Hela ya ada mwenzio kahamishia kwenye kodi.Cha msingi we dogo mpeleke Kayumba tu.Kama nyumba inawapangaji chukua kodi mtoto apate chakula.Hakuna kesi hapo.
 
Acha Upumbavu!! Nimesoma Private Indian Schools kuanzia Nursery Mpaka Secondary!! Eti unapigiwa simu inatakiwa laki 8 ya Ada Fasta!! Unafikiri hizo Ada unatoa Daily au kwa Kukurupushwa na Shule?Kwa taarifa yako Shule za Private unalipa in Installments… ni juu yako na uwezo wako wa Kifedha either ulipe kwa awamu 1,2 au 3.
 
Kwahiyo asaivi una ishi nae.
 
Nyakati hizi tuna vijana wa kiume wanaokuwa miili tu lakini akili zinabakia pale pale.......ukifuatilia hii michango utalifahamu hilo.....na ndio chimbuko la mabinti wanaoitwa single moms.......
Ni huzuni kwakweli! Nchi zilizoendelea Serikali inahudumia Single Moms pamoja na watoto wao na kuwapa Nyumba ya Kuishi.
 
Utaratibu ni mtoto arudi kwa baba fullstop!
 
Mdanganye mwenzako
 
Hivi hawa watu wanaofurahiaga shida za wengine shida huwa nini ??
Semeni tu mtu anatoa post za masikitiko limtu lenye ma'xxxmbu yaliozeeka yanacheka cheka kama ni raha mwenzenu kuteseka hivi moderator wapashe hawa makenge au wablock hii inakera au unakuta ni mwanamama anayejieshimu anafurahia shida za mtu mo nakerekaga sana
 
Kesi yako imefanana na yangu moja kwa moja

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…