Mzazi kama una kijana South Africa hasomeki, Tafadhali mama mkanye mwanao

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
57,519
96,315
Kuna wimbi la vijana wa hovyo panya road typical hatimaye wametinga kwa Kaburu.

Kuna wimbi la vijana panya road type sasa wamevuka mipaka wameanza kuwakaba mpaka Watanzania wenzao na wengine wakishavuta bangi zao hujiona ni Wamarekani na kujipost wakiwa na silaha za moto.

Sasa azimio ni moja tu vitaanza kudondoshwa vichwa mfululizo tena siyo kuwasubili mpaka wafanye uhalifu wao.

Watanzania wanaojitambuwa ambao kitambo wapo South Africa kwa amani wanasema sasa imetosha, sasa habari ziwafikie Watanzania, kama una mwanao au ndugu yako aliyekimbia matukio yake ya uhalifu Tanzania na kukimbilia South Africa basi mjiandae kupokea masanduku ya maiti za ndugu zenu, watu hawataki tena ujinga, na utaratibu wa South Africa ni bunduki tu.

Huyu mtoto ni walking dead, kama unamfahamu mna last chance ya kumnusuru.


IMG-20240511-WA0033.jpg
 
Watumie njia ambazo zipo legally kuwaondoa hao vijana SA.

Kuwaua sioni Kama ni mkakati mzuri yaani mbongo anamuua mbongo mwenzie.! WTF.

Serikali ingalie namna ya kuwarudisha ikiwa wanaharibu Amani maana wabongo wengi waliopo SA hawapo sober , ni pombe , bangi na madawa.
 
ila kuzamia dizonga ni vichekesho sana..... kuna dogo alikomba simu za wenzake akaamua kulisaka boda kila akiuliziwa watu wanasema jamaa kashafika sauzi anaanza kutobo baada ya kama miezi 5 hivi akarudi kachakaa kinoma kumbe mwamba aliishia malawi sjui pesa ikaisha aloo karudi kakonda anajidai anaongea kizulu kila nikimuangalia masikia kucheka tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom