Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,519
- 96,315
Kuna wimbi la vijana wa hovyo panya road typical hatimaye wametinga kwa Kaburu.
Kuna wimbi la vijana panya road type sasa wamevuka mipaka wameanza kuwakaba mpaka Watanzania wenzao na wengine wakishavuta bangi zao hujiona ni Wamarekani na kujipost wakiwa na silaha za moto.
Sasa azimio ni moja tu vitaanza kudondoshwa vichwa mfululizo tena siyo kuwasubili mpaka wafanye uhalifu wao.
Watanzania wanaojitambuwa ambao kitambo wapo South Africa kwa amani wanasema sasa imetosha, sasa habari ziwafikie Watanzania, kama una mwanao au ndugu yako aliyekimbia matukio yake ya uhalifu Tanzania na kukimbilia South Africa basi mjiandae kupokea masanduku ya maiti za ndugu zenu, watu hawataki tena ujinga, na utaratibu wa South Africa ni bunduki tu.
Huyu mtoto ni walking dead, kama unamfahamu mna last chance ya kumnusuru.
Kuna wimbi la vijana panya road type sasa wamevuka mipaka wameanza kuwakaba mpaka Watanzania wenzao na wengine wakishavuta bangi zao hujiona ni Wamarekani na kujipost wakiwa na silaha za moto.
Sasa azimio ni moja tu vitaanza kudondoshwa vichwa mfululizo tena siyo kuwasubili mpaka wafanye uhalifu wao.
Watanzania wanaojitambuwa ambao kitambo wapo South Africa kwa amani wanasema sasa imetosha, sasa habari ziwafikie Watanzania, kama una mwanao au ndugu yako aliyekimbia matukio yake ya uhalifu Tanzania na kukimbilia South Africa basi mjiandae kupokea masanduku ya maiti za ndugu zenu, watu hawataki tena ujinga, na utaratibu wa South Africa ni bunduki tu.
Huyu mtoto ni walking dead, kama unamfahamu mna last chance ya kumnusuru.