kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,156
- 11,608
Wengi wanadhani WAZAYUNI ni WAYAHUDI kitu ambacho sio sahihi kabisa
Huitaji kuwa MYAHUDI kuitwa MZAYUNI.
ndio maana RAIS WA USA JOE BIDEN alitamka wazi kuwa YEYE NI MZAYUNI na sio MYAHUDI.
View: https://youtu.be/dbn4i7_CFIM?si=pr2bQeyErKFPEwTB
WAZAYUNI wanatesa kila mtu anaekwenda kinyume na Ajenda zao WAKIWEMO WAYAHUDI WEUSI WA ETHIOPIA.
View: https://youtu.be/cP4oZrON4HI?si=SFgfIiKH_J_z7vlN
Tumeona kila mara namna WAKRISTO wanavyo nyanyaswa na WAYAHUDI Huko Jerusalem.
Wakitemewa mate, Makanisa kuvunjwa.
View: https://youtube.com/shorts/sUJrXNCfUrk?si=jw4eVuhrxf0opJfN
Hao ndio ZIONIST ambao baadhi yao ni JEWS wa mrengo wa Kulia.
Hawataki kabisa kuona Muislamu, MKRISTO wala MTU MWEUSI.
Imefikia kipindi WANAWAFUNGA UZAZI WAYAHUDI WENYE ASILI YA ETHIOPIA BILA HIARI YAO ili wasizae na kuongeza watu weusi hapo walipo.
View: https://youtu.be/1W5J25MvSp0?si=dIJ6azcZWqsy9_cq
Cha kushangaza huku kwetu Baadhi yetu tunadhani WAZAYUNI wanafaa kuthaminiwa. Lkn kwao sisi waafrika ni viumbe tusio na thamani kabisa.
Sasa wale waliokuwa wanadhani WAZAYUNI ni watu wa kawaida kama Wengine labda uzi huu utawasaidia kidogo kujitambua.
Huitaji kuwa MYAHUDI kuitwa MZAYUNI.
ndio maana RAIS WA USA JOE BIDEN alitamka wazi kuwa YEYE NI MZAYUNI na sio MYAHUDI.
View: https://youtu.be/dbn4i7_CFIM?si=pr2bQeyErKFPEwTB
WAZAYUNI wanatesa kila mtu anaekwenda kinyume na Ajenda zao WAKIWEMO WAYAHUDI WEUSI WA ETHIOPIA.
View: https://youtu.be/cP4oZrON4HI?si=SFgfIiKH_J_z7vlN
Tumeona kila mara namna WAKRISTO wanavyo nyanyaswa na WAYAHUDI Huko Jerusalem.
Wakitemewa mate, Makanisa kuvunjwa.
View: https://youtube.com/shorts/sUJrXNCfUrk?si=jw4eVuhrxf0opJfN
Hao ndio ZIONIST ambao baadhi yao ni JEWS wa mrengo wa Kulia.
Hawataki kabisa kuona Muislamu, MKRISTO wala MTU MWEUSI.
Imefikia kipindi WANAWAFUNGA UZAZI WAYAHUDI WENYE ASILI YA ETHIOPIA BILA HIARI YAO ili wasizae na kuongeza watu weusi hapo walipo.
View: https://youtu.be/1W5J25MvSp0?si=dIJ6azcZWqsy9_cq
Cha kushangaza huku kwetu Baadhi yetu tunadhani WAZAYUNI wanafaa kuthaminiwa. Lkn kwao sisi waafrika ni viumbe tusio na thamani kabisa.
Sasa wale waliokuwa wanadhani WAZAYUNI ni watu wa kawaida kama Wengine labda uzi huu utawasaidia kidogo kujitambua.