hakuna jazba wala nini, jazba mnazo nyie wapagani na uamsho wenu... upagani mtupu.. peaneni 'laha' wenyewe huko huko msituletee 'ufilauni' huku kwetu maana sie twamwogopa Mungu aliye hai ati!!!
Karume ni mnyasa wa Malawi hadi sasa ana ndugu huko,ni kama MkuloKarume asili yake kigoma, mwinyi asli yake mkuranga, hassan nassoro moyo mngoni, jumbe kama sio mdengereko basi mngoni , moulidina kastiko mzulu,
Mkuu ninani alipinduliwa? Na kwanini apinduliwe kama haina mwenyewe?Zanzibar haina mwenyewe,wote ni wa kuhamia.Wenye asili ya zanzibar ni wale nyani wa pale (du nimesahahu jina la ile hifadhi kama unaenda Makunduchi sijui inaitwa Jonzi)kuna nyani ambao hawapatikani sehemu yoyote duniani.Waliopo zanzibar ni wahamiaji tu kutoka nchi mbalimbali,Zanzibar ni kama Marekani utakuta kila aina ya watu kutoka nchi mbalimbali,kuna wachina wazanzibari,waturuki wazanzibari,wacomoro wazanzibari,maburushi wazanzibari,wanyasa,wanyamwezi,wadigo,waajemi,wajerumani ,wa oman nk.kwa kifupi hakuna mwenye zanzibar bana!! wote ni wahamiaji tu.
Mkuu ninani alipinduliwa? Na kwanini apinduliwe kama haina mwenyewe?
Mungu anazaliwa kwenye familia??
Hivi Mungu ana mjomba , kaka , dada, mama, hata marafiki wa kucheza nae ??? Mungu huyo anaenda haja kubwa na ndogo, anatawazishwa ,anavishwa pampers , kazi ipo
Sikulaumu maana akili yako ni ya mgando unaburuzwa tu
Karume ni mnyasa wa Malawi hadi sasa ana ndugu huko,ni kama Mkulo
waarabu wanakitamani kisiwa cha zanzbar to siku walipokipoteza toka mikononi mwa KARUME hawajakisahau, wanatamani kurudi znz.
Waarabu wanakitaka kisiwa hicho lakini sina uhakika kama wanawataka waznz.
Nataka kujua kuwa mzawa wa Zanzibar ni nani na asili yake ..kwani hawa wenye uzawa wa kiarabu ni wakuja tu ...sasa je ni nani ni mzawa wa Zanzibar?
Bila kuongea maneno mengi, mtu asilia wa zanzibar ni mwafrika mweusi. Aliishi pale kabla hata ya utumwa. Walikuwa na miji yao na tawala zao kama utawala wa Mwinyi Mkuu ambaye ndiye aliyekutwa mji mkongwe (Stone Town kama ilivyo maarufu leo).
Hawa waarabu wanaopigapiga kelele ni wanyanganyi tu, wemeendesha biashara ya utumwa na kueneza imani ya uislamu ambayo ilienezwa kwa nguvu. Wame wakandamiza waafrika weusi kwa miaka mingi, kwa kuwauza kama watumwa na kuwatumikisha katika mashamba na shughuli zao nyingi kwa kuwalipa ujira mdogo. Faida iliyopatikana ilitumika kujenga majumba ya kifahari yanayoonekana leo hii Mji mkongwe ambayo walikuwa wakiishi wao na wahindi wafanya biashara mpaka mwaka 1964 waafrika walipochoka na kufanya mapinduzi wakiongozwa na Marehemu karume. Sasa wanataka kurudi tena kupitia kwa wajomba zao, na ndugu zao waliobaki huko Pemba sana sana, japo na unguja wapo kidogo.
Maelezo ni marefu sana kwa kweli, lakini nitakwenda moja kwa moja katika point ili nifikishe ujumbe bila kuchosha msomaji.
Kwanza tuanze kwa maana ya neno Zanzibar.
Zanzibar ni muunganiko ma maneno mawili ya kiarabu Zangi + bar (Zangibar) Zangi = mtu mweusi, na bar = pwani. Kwahiyo waarabu walipofika pwani hiyo ya Afrika mashariki waliwakuta watu weusi wana kaa pale, na wakapaita pwani ya watu weusi. Nadhani jibu mmeshalipata.
Waarabu waliwakuta wareno Zanzibar, na makanisa yalikuwepo pia. Ngome kongwe maarufu sana leo hii, ilijengwa na Wareno. Na katika hiyo ngome kongwe kulikuwa na kanisa ambalo lilibomolewa na waarabu.
Kabla sijaondoka kwenye point, nadhani nimesha jibu swali linalouliza mzawa wa Zanzibar ni nani? Kama mtataka niendelee kumwaga historia hii tamu zaidi niambieni.
wapi umeona nimesema hayo unayosema? we kweli mtindio.. Mungu wako ni jua, mwezi na nyota nini? oops.. sori i forgot wewe ni pagani na umejaa udini and always out of topic/conversation!!!
watanganyika walichukuliwa kwenda kutumikia waarabu.
Hiyo mbuga inaitwa Jozani. Wavuvi wenye asili ya kiafrika ndio watu wa mwanzo kufanya makaazi Zanzibar . Neno zanzibar maana yake pwani ya watu weusi. Jina lenyewe linajitosheleza. Sasa ukweli kwamba baadae watu wa mataifa mbali mbali wamehamia nayo ni sawa.Zanzibar haina mwenyewe,wote ni wa kuhamia.Wenye asili ya zanzibar ni wale nyani wa pale (du nimesahahu jina la ile hifadhi kama unaenda Makunduchi sijui inaitwa Jonzi)kuna nyani ambao hawapatikani sehemu yoyote duniani.Waliopo zanzibar ni wahamiaji tu kutoka nchi mbalimbali,Zanzibar ni kama Marekani utakuta kila aina ya watu kutoka nchi mbalimbali,kuna wachina wazanzibari,waturuki wazanzibari,wacomoro wazanzibari,maburushi wazanzibari,wanyasa,wanyamwezi,wadigo,waajemi,wajerumani ,wa oman nk.kwa kifupi hakuna mwenye zanzibar bana!! wote ni wahamiaji tu.