Mzawa wa Zanzibar ni nani?

nataka kujua kuwa mzawa wa zanzibar ni nani na asili yake ..kwani hawa wenye uzawa wa kiarabu ni wakuja tu ...sasa je ni nani ni mzawa wa zanzibar?

watajijuwa wenyewe wazanzibari , pilipili usioila yakuwashia nini??? Nenda kamtafute mtanganyika kwanza usiyaingilie mambo ya nchi ya watu wakati yako hujayaweza, dont waste your time please !!!

It a pity that tanganyika is so big and your mind all the time is dreaming about small islands with less than 1 and half million people !!!!!

POOR tanganyikans , POOR i pad 3
 
hahaa... Word!!! Huyo nahisi ni mgeni aka mwarabu... Au anafikiri volcano ilotengeneza hicho kisiwa ilitokea 1952 na 53 ndugu na wazazi wake wakahamia tokea uarabuni!!!!

labda hawa ni wale waalabu wakilistu waliohamia tokea ualabuni
 
Kutokana na post za watu wengi waliochangia ni wazi muungano ukivunjika Zanzibar haitakalika tena wataendelea kubaguana kwa kutafuta mzawa halisi na hawatampata kwa kuwa wote ni wahamiaji.
 
watajijuwa wenyewe wazanzibari , pilipili usioila yakuwashia nini??? Nenda kamtafute mtanganyika kwanza usiyaingilie mambo ya nchi ya watu wakati yako hujayaweza, dont waste your time please !!!

It a pity that tanganyika is so big and your mind all the time is dreaming about small islands with less than 1 and half million people !!!!!

POOR tanganyikans , POOR i pad 3

ofisi ya bilal na nahodha ziko zanzibar?
 
labda hawa ni wale waalabu wakilistu waliohamia tokea ualabuni

Haa ha haa. Eti Waalabu, Wakilistu, Ualabuni. Inaonyesha wewe sio Mtanzania, wewe ni Mbanyamulenge. Kajifunze Kiswahili halafu urudi tena jamvini.
 
haa ha haa. Eti waalabu, wakilistu, ualabuni. Inaonyesha wewe sio mtanzania, wewe ni mbanyamulenge. Kajifunze kiswahili halafu urudi tena jamvini.

hivi humu jf na tanganyika kumbe ninao ndugu zangu wengi tuuuu , shukrani !!! ndio ninajifunza kiswahiri humu ,

wewe mmoja wa mwarimu wangu
 
56+40+7+2+3+0.8+0.3 = 109.1
Jaribu tena, au rudi darasa la pili.

Mkuu peasant

Nimecheka sana, wala huyo bwana Abdul sijui kama hesabu zinapanada.

Jumla ya asilimia kwamaana ya kawaida kwa utafiti wa aina hiyo haizidi na ni 100. yeye hakuiona hiyo jumla iliyopotoshwa na wasomi feki yaani asilimia 109.1

Ni matokeo ya kujibu hoza sahihi na zenye nguvu kwa kukurupuka na bila uhakika tena kwa hoja dhaifu.

Mkuu umenifurahisha sana ulivyoanalyse data very clear mathematically.
 
huwezi ukaniambia kuwa huyu ni mzawa nikakubaliana na wewe
View attachment 55399huyu ni mzawa wa uarabuni kwa hiyo pale Zanzibar ni mgeni ..sasa mzawa wa pale ni nani?(asili)
Mie natamani wauvunje hata kesho huu muungano then uone ngoma itakavyonoga hapo.....Sisi waunguja wao wapemba.....Lol...
 
Umesomeka sana mkuu!
Bila kuongea maneno mengi, mtu asilia wa zanzibar ni mwafrika mweusi. Aliishi pale kabla hata ya utumwa. Walikuwa na miji yao na tawala zao kama utawala wa Mwinyi Mkuu ambaye ndiye aliyekutwa mji mkongwe (Stone Town kama ilivyo maarufu leo).
Hawa waarabu wanaopigapiga kelele ni wanyanganyi tu, wemeendesha biashara ya utumwa na kueneza imani ya uislamu ambayo ilienezwa kwa nguvu. Wame wakandamiza waafrika weusi kwa miaka mingi, kwa kuwauza kama watumwa na kuwatumikisha katika mashamba na shughuli zao nyingi kwa kuwalipa ujira mdogo. Faida iliyopatikana ilitumika kujenga majumba ya kifahari yanayoonekana leo hii Mji mkongwe ambayo walikuwa wakiishi wao na wahindi wafanya biashara mpaka mwaka 1964 waafrika walipochoka na kufanya mapinduzi wakiongozwa na Marehemu karume. Sasa wanataka kurudi tena kupitia kwa wajomba zao, na ndugu zao waliobaki huko Pemba sana sana, japo na unguja wapo kidogo.
Maelezo ni marefu sana kwa kweli, lakini nitakwenda moja kwa moja katika point ili nifikishe ujumbe bila kuchosha msomaji.
Kwanza tuanze kwa maana ya neno Zanzibar.
Zanzibar ni muunganiko ma maneno mawili ya kiarabu Zangi + bar (Zangibar) Zangi = mtu mweusi, na bar = pwani. Kwahiyo waarabu walipofika pwani hiyo ya Afrika mashariki waliwakuta watu weusi wana kaa pale, na wakapaita pwani ya watu weusi. Nadhani jibu mmeshalipata.
Waarabu waliwakuta wareno Zanzibar, na makanisa yalikuwepo pia. Ngome kongwe maarufu sana leo hii, ilijengwa na Wareno. Na katika hiyo ngome kongwe kulikuwa na kanisa ambalo lilibomolewa na waarabu.
Kabla sijaondoka kwenye point, nadhani nimesha jibu swali linalouliza mzawa wa Zanzibar ni nani? Kama mtataka niendelee kumwaga historia hii tamu zaidi niambieni.
 
wacha kuleta ngoma ya kanisa iliyopitwa na wakati

Wewe utapitwa na wakati lakini kanisa halitopitwa na wakati kamwe...
chomeni sana mkimaliza mnaanza kujchoma wenyewe kama shia na sunni wanavyojilipua.....Ndivyo mlivyo..
 
wewe utapitwa na wakati lakini kanisa halitopitwa na wakati kamwe...
Chomeni sana mkimaliza mnaanza kujchoma wenyewe kama shia na sunni wanavyojilipua.....ndivyo mlivyo..

mimi ninapitwa na wakati maana maaskofu wanakamatwa na vigunia vya unga makanisani watashindwa kuyatia moto
 
mbona unakasilika na kureta jaziba, poa tu kijana upate laha

hata pagani raweza kukupa laha tambua kaka

hakuna jazba wala nini, jazba mnazo nyie wapagani na uamsho wenu... upagani mtupu.. peaneni 'laha' wenyewe huko huko msituletee 'ufilauni' huku kwetu maana sie twamwogopa Mungu aliye hai ati!!!
 
mimi ninapitwa na wakati maana maaskofu wanakamatwa na vigunia vya unga makanisani watashindwa kuyatia moto

umejaa udini mtupu wewe... Pagani!!! Hivo vigunia vyatoka Maccah/Meccah au vyovyote mnavyopaita nyie pagans na maeneo yenu mengine huko mtokako mashariki ya kati...
 
Back
Top Bottom