Myweather hii kufuru sasa

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499




Katika kujiandaa na pambano kubwa kabisa la ubingwa wa dunia wa ngumi , bondia floyd myweather pichani ametengeneza mouthguard" yenye thamani ya dollar 25000 ambayo ni sawa na tsh milion 30 ya kitanzania pambano hilo litalofanyika 2/may/2014 uko Marekani imeelezwa ndio pambano lenye pesa nyingi katika historia ya mapambano ya ngumi hapa duniani, kwani kiingilio cha chini kabisa ni sawa na 3 milion ya kitanzania.
 
milioni tatu!!!! duuu hapo nimepata kiwanja tayari
 
Hata mimi nikizikamata mihogo na uduvi pale feri hawanioni ng'o!
 
Only in America:usa2:!

May 2 the earth will stop spinning on its axis.

I'm curious who will walk out Money May.

Will it be Miley Cyrus? Taylor Swift? Justin Bieber? Weezy? Or Young Thug?
 
Waweza kushangaa hayo lakini ktk ualisia ni kitu cha kawaida sn kwa field aliyopo,AMEPGWA NGUMI NGAP ZA KICHWA?MIMI NA WEWE HATUJUI,JE AMEPATA MADHARA KIAS GAN MIMI NA WEWE HATUJUI,
UKIAMBIWA AMEMPIGA MWENZAKE MAKOFI WAKIWA CLUB AU MAHALA POPOTE BADO UTACHUKULIA POA BUT UKIAMBIWA AMEB AKA AU AMEMNG'ATA MTU SIKIO UTAANZA KUMLAUMU KWAN UTAJIR ALIONAO AMEKOSA MWANAMKE MPAKA AB AKE?AU AMEKOSA PESA YA KUNUNUA MNYAMA GAN ESP WANAOPATIKANA TZ AKASHNDWA?Ukiwa bondia toka ck ya kwanza ubongo utacheza/tikisika mpaka ck unaingia kaburini.
 
Hicho kiingilio kingekadiriwa kuwa cha kuanzia hapa kwetu na cha chini kikawa laki tatu naona ngumi zingepata wateja wengi kidogo. Na hako kamuchezo kangekuwa poa tu
 
Umeandikiwa kuwa ni thamani ya dollar 25,000 ambayo ni sawa na tsh milion 30 ya kitanzania, unawaza nini? au njaa kali?

Kazungumzia kiingilio cha chini cha kuingia kutizama huo mtanange ambacho ni mil3
 
Hicho kiingilio kingekadiriwa kuwa cha kuanzia hapa kwetu na cha chini kikawa laki tatu naona ngumi zingepata wateja wengi kidogo. Na hako kamuchezo kangekuwa poa tu

5000 eeeeh
 
Umeandikiwa kuwa ni thamani ya dollar 25,000 ambayo ni sawa na tsh milion 30 ya kitanzania, unawaza nini? au njaa kali?

Macho ya huyo bwana yamegotea hapo katika gharama ya kiingilio...
 
Milioni Tatu napata mke na kiwanja na hela ya matunzo ya bi harusi wangu nikimkobeka mimba mpaka ajifungue
 
Madoido yote hayo mara kspigwa raundi ya pili
 
5000 eeeeh

zugimlole;
Hapana, natamani waanzie tumilioni tutatu 3.000.000 kiwango cha juu ,a mwisho kabisa kule nyumaaa shs 300.000/= mngeingia wangapi?
Hata wakiingia kama 10 tu si mnawalipa wapambanaji na ukumbi? Kuliko kujaza kwa kiingilio cha 5000/=. Wawekewe screen kubwa nje kiingilio kuliwa na mbu.
Mnafanya ngumi ni kucheza nachii??
 

Kumbe Marekani tumeipita kwa mwaka mmoja mbele?
 
Mechi ya 2013 aliingiza usd 40,000,000/=, pambano hili anataka apitilize $300,000,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…