View attachment 241765 Katika kujiandaa na pambano kubwa kabisa la ubingwa wa dunia wa ngumi , bondia floyd myweather pichani ametengeneza mouthguard" yenye thamani ya dollar 25000 ambayo ni sawa na tsh milion 30 ya kitanzania
View attachment 241767 pambano hilo litalofanyika
2/may/2014 uko marekani imeelezwa ndio pambano lenye pesa nyingi katika historia ya mapambano ya ngumi hapa duniani, kwani kiingilio cha chini kabisa ni sawa na 3 milion ya kitanzania