nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,858
- 2,348
Acha habari zako wewe, mungu wa kipagani kivipi?El alikua ni caananite deity(mungu wa wacaanan),, wenyewe wanaita pagan god,,
Hivyo inakuwa ngumu kuamini eti malaika mkuu, michael apewe jina la mungu wa kipagani,
Wote michael, daniel Rafael, israel, ezekiel, emanuel, wote wanaoishia na El,. Wanabeba jina la mungu wa kipagani wa wacaanan.
Hivyo ni wazi kuwa tumelishwa hekaya tangu zamani mno
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kwa mfano jina Israel, si kalitoa mungu mwenyewe akampa yakub/Jacob, mungu asiyependa kushirikishwa hawezi kuwa alitoa jina hilo lenye el unayodai ina maana mungu wa kipagani.