Myahudi ELI COHEN(MOSSAD)/KAMEL AMIN SABET(syrian undercover) na gharama ya kuokoa TAIFA

Wanauza kwa pesa yenye bichwa kubwa ziwe nyingi lakini wenyewe hawapokei mkononi unaziweka KABURI kubwa sana kwa walinzi wenye asili ya Zurich
duh! Kumbe nikienda na madafu siwezi uziwa rost huko igunga? Hilo kaburi liko maeneo gani nikajipitishe karibu au walinzi wa zurich watanikamata na kunipeleka msitu wa Pande?
 
Historia nyingi walizoandika Wazayuni ni za "Uongo".

Utapeli ni Utamaduni ambao Wazayuni wanajifundisha tokea wakiwa wadogo.

Kusema "Uongo" yaani kudanganya au kumsingizia mtu kwao ni "Utamaduni".

Kutoa habari sizizokuwa za kweli na kusimamisha ushahidi wa uongo, kwao wao ni "Utamaduni"

Wao huwa wanaupokea "Uyahudi" kwa madai wana asili ya Mashariki ya Kati. Baina ya wao wenyewe wanabaguana. Wanamjua ni yupi ana asili ya Mashariki ya Kati au yule aliyekuwa ni feki. Mashefadiki ndio wenye asili ya Mashariki ya Kati na ndio waliokaa na Waarabu miaka yote bila kugombana. Wanaamini wao wote wametoka kwenye kizazi kimoja. Na wengine ni Ashkanazi ambao wametoka Ulaya sasa na sera hii ya Kizayuni. Ni Wabaguzi sana.
Uyahudi kama dini, inapinga Ubaguzi.
Ni kama Makaburu na Ukiristo. Makaburu wote walikuwa ni Wakiristo. Lakini Ukiristo haufundishi Ubaguzi. Ni kama Waislam, Uislam haufundishi Ubaguzi, lakini Mashia na Masuni wanabaguana na hata kupeleka tofauti zao kwenye vita.

Mwalim Nyerere alipinga Ubaguzi Wa Waarabu Zanzibar ambao ulibarikiwa na Uingereza.
Mw Nyerere hakuupinga Uislam.
Propoganda za uongo zinaendelea kusema kuwa Mw Nyerere alikuwa ni adui wa Waisilamu. Hii propaganda imepandikwa huko Uingereza na imeshika kasi sana huku Zanzibar na Pemba.
Ndio hivi hivi, wale waliosimama kuupinga mfumo wa Kizayuni, wanaonekana na kuzingiziwa wanaupinga Uyahudi.

Viongozi wa Kiyahudi wanaoijua dini yao "Orthodox Jews", wanaipinga hii Zionism Philosophy inayoanzisha hili Taifa la Israeli ya sasa. Wanasema kweli kuwa Uzayuni sio katika mafundisho ya Uyahudi.

Uzayuni unatia kichefuchefu kwa mtu yeyote anayepinga Ubaguzi. Kama wewe ni Mmarangu na unapenda kumpagua Mkibosho, au wewe ni Mtu wa Bara na unapenda kumbagua Mtu wa Pwani na kumuita Mswahili, kama wewe ni Msukuma na unamuona Mmakonde hana dhamani, kama wewe ni Mchaga na unamuona Muarusha hana dhamani, hama wewe ni Mhutu na unamchukia Mtusi, kama wewe ni Mzungu na unamchukia Mwafrika, basi utaupenda sana na Uzayuni. Uzayuni ni marashi Marashi ya Ubaguzi.

Asante sana Mwalim Nyerere kwa kuondoa Uchifu Tanzania. "Binaadamu Kwanza"

Hapa Tanzania, wengi hawajui tofauti ya Myahudi, Uzayuni na Israel. Ni muhimu kujua.

Tungekuwa tunasoma vitabu vilivyoandikwa na Wazayuni na kufuatilia dhulma zao, hakika hakuna Mtanzania yeyote atakubaliana nao ikiwa ni pamoja na wale wanaowashangilia akina fulani na fulani.

Tutaendelea kufundishana.
 
Historia nyingi walizoandika Wazayuni ni za "Uongo".

Utapeli ni Utamaduni ambao Wazayuni wanajifundisha tokea wakiwa wadogo.

Kusema "Uongo" yaani kudanganya au kumsingizia mtu kwao ni "Utamaduni".

Kutoa habari sizizokuwa za kweli na kusimamisha ushahidi wa uongo, kwao wao ni "Utamaduni"

Wao huwa wanaupokea "Uyahudi" kwa madai wana asili ya Mashariki ya Kati. Baina ya wao wenyewe wanabaguana. Wanamjua ni yupi ana asili ya Mashariki ya Kati au yule aliyekuwa ni feki. Mashefadiki ndio wenye asili ya Mashariki ya Kati na ndio waliokaa na Waarabu miaka yote bila kugombana. Wanaamini wao wote wametoka kwenye kizazi kimoja. Na wengine ni Ashkanazi ambao wametoka Ulaya sasa na sera hii ya Kizayuni. Ni Wabaguzi sana.
Uyahudi kama dini, inapinga Ubaguzi.
Ni kama Makaburu na Ukiristo. Makaburu wote walikuwa ni Wakiristo. Lakini Ukiristo haufundishi Ubaguzi. Ni kama Waislam, Uislam haufundishi Ubaguzi, lakini Mashia na Masuni wanabaguana na hata kupeleka tofauti zao kwenye vita.

Mwalim Nyerere alipinga Ubaguzi Wa Waarabu Zanzibar ambao ulibarikiwa na Uingereza.
Mw Nyerere hakuupinga Uislam.
Propoganda za uongo zinaendelea kusema kuwa Mw Nyerere alikuwa ni adui wa Waisilamu. Hii propaganda imepandikwa huko Uingereza na imeshika kasi sana huku Zanzibar na Pemba.
Ndio hivi hivi, wale waliosimama kuupinga mfumo wa Kizayuni, wanaonekana na kuzingiziwa wanaupinga Uyahudi.

Viongozi wa Kiyahudi wanaoijua dini yao "Orthodox Jews", wanaipinga hii Zionism Philosophy inayoanzisha hili Taifa la Israeli ya sasa. Wanasema kweli kuwa Uzayuni sio katika mafundisho ya Uyahudi.

Uzayuni unatia kichefuchefu kwa mtu yeyote anayepinga Ubaguzi. Kama wewe ni Mmarangu na unapenda kumpagua Mkibosho, au wewe ni Mtu wa Bara na unapenda kumbagua Mtu wa Pwani na kumuita Mswahili, kama wewe ni Msukuma na unamuona Mmakonde hana dhamani, kama wewe ni Mchaga na unamuona Muarusha hana dhamani, hama wewe ni Mhutu na unamchukia Mtusi, kama wewe ni Mzungu na unamchukia Mwafrika, basi utaupenda sana na Uzayuni. Uzayuni ni marashi Marashi ya Ubaguzi.

Asante sana Mwalim Nyerere kwa kuondoa Uchifu Tanzania. "Binaadamu Kwanza"

Hapa Tanzania, wengi hawajui tofauti ya Myahudi, Uzayuni na Israel. Ni muhimu kujua.

Tungekuwa tunasoma vitabu vilivyoandikwa na Wazayuni na kufuatilia dhulma zao, hakika hakuna Mtanzania yeyote atakubaliana nao ikiwa ni pamoja na wale wanaowashangilia akina fulani na fulani.

Tutaendelea kufundishana.
Uko nje ya mada mkuu au hujashtukia hilo
 
Cohen was arrested because they caught him sending information to Israel after detecting radio signals from his appartment....Syrians assisted by Russians, decided to switch all radio signals....and use detectors to see if there are radio signals sent without their knowledge or approval.
His friends who were Baath party member didn't tell him about that decision in advance.....
But on the other hand he was sending information back to Israel twice a day....very dangerous for sensitive job he was doing
Alikuwa mtu hatar sana
 
Back
Top Bottom