Syria imeanza hatua za mwanzo kujiunga katika vita kuipiga Israel

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,186
10,924
Miongoni mwa mataifa muhimu katika ushirika wa kuiadhibu Israel ni Syria ambayo tangu vita vianze hapo Oktoba 7 walikuwa wako kimya.

Kwa mara ya mwanzo leo wanamgambo walioko mashariki ya Israel na nyuma ya Jordan walirusha makombora machache kuelekea ndani ya Israel.

Hakuna madhara yaliyoripotiwa na jeshi la Israel japo jeshi hilo limetoa taarifa ya kufanikiwa kujua sehemu makombora hayo yaliporushiwa ndani ya Syria na kurudisha mapigo.

Hiyo inaweza kuwa ni habari mbaya kwa Israel kwani tayari ina mapambano kutokea kaskazini kutoka kwa Hizbullah na kusini kutoka kwa Houth wa Yemen na magharibi yake kutoka kwa Hamas.

Ikumbukwe kuwa Syria bado ina uchungu mkubwa na milima yake ya Golan ambayo ilitekwa na Israel wakati wa vita vya Yom Kipuri na kwamba milima hiyo pindi Syria ikianza kuidai kwa vita na kufanikiwa kuitia mkononi ni eneo ambalo linatazamana moja kwa moja na miji yote mikuu ya Israel ikiwemo Telavivi.

Wapiganaji wowote wa Syria wakiwa milima ya Golan wana uwezo wa kuchagua kituo chochote kukishambulia kwa makombora ya kawaida tu.
 
Assad sio mpumbavu, Assad ni Rais mmoja anatumia akili sana kwenye maamuzi yake ndio maana kabaki madarakani wakati katokea kabila dogo na hana support kubwa kutoka kwa civilians.

Hayo mambo ya kutumia nguvu na war crimes ni matokeo kama wengine ila yuko very diplomatic na hakurupuki.

Israel huwa inafanya mashambulizi kwa wanamgambo au silaha za Iran humo Syria bila kipingamizi. Syria haina ubavu wa kuleta direct confrontation na Israel itapigwa mapema sana.

Haijatengamaa ina matatizo ya kiusalama yenyewe alafu ilete ugomvi na formidable foe. Hapo na Turkey upande wa Kaskazini muda wowote inavunja makubaliano na Russia inaenda kuwatafuta Wakurdi.

Makundi mengi sana ya waasi yatatumia hiyo opportunity kumtoa Assad. Kwanza jeshi lake litamtelekeza.
 
Assad sio mpumbavu, Assad ni Rais mmoja anatumia akili sana kwenye maamuzi yake ndio maana kabaki madarakani wakati katokea kabila dogo na hana support kubwa kutoka kwa civilians. Hayo mambo ya kutumia nguvu na war crimes ni matokeo kama wengine ila yuko very diplomatic na hakurupuki.

Israel huwa inafanya mashambulizi kwa wanamgambo au silaha za Iran humo Syria bila kipingamizi. Syria haina ubavu wa kuleta direct confrontation na Israel itapigwa mapema sana. Haijatengamaa ina matatizo ya kiusalama yenyewe alafu ilete ugomvi na formidable foe. Hapo na Turkey upande wa Kaskazini muda wowote inavunja makubaliano na Russia inaenda kuwatafuta Wakurdi. Makundi mengi sana ya waasi yatatumia hiyo opportunity kumtoa Assad. Kwanza jeshi lake litamtelekeza.
Vipi mtazamo wa Edorgan juu ya Uvamizi wa Israel huko Gaza?.
 
Assad sio mpumbavu, Assad ni Rais mmoja anatumia akili sana kwenye maamuzi yake ndio maana kabaki madarakani wakati katokea kabila dogo na hana support kubwa kutoka kwa civilians. Hayo mambo ya kutumia nguvu na war crimes ni matokeo kama wengine ila yuko very diplomatic na hakurupuki.

Israel huwa inafanya mashambulizi kwa wanamgambo au silaha za Iran humo Syria bila kipingamizi. Syria haina ubavu wa kuleta direct confrontation na Israel itapigwa mapema sana. Haijatengamaa ina matatizo ya kiusalama yenyewe alafu ilete ugomvi na formidable foe. Hapo na Turkey upande wa Kaskazini muda wowote inavunja makubaliano na Russia inaenda kuwatafuta Wakurdi. Makundi mengi sana ya waasi yatatumia hiyo opportunity kumtoa Assad. Kwanza jeshi lake litamtelekeza.
Yaani jeshi lake hawakumteketeza au kumtelekeza wakati anapigwa na us uk fran nk wamtelekeze kwa israhell hili sahau mzeee
Ila tu ukweli mchungu nikwamba siiono Syria yakuingia vitani na israhell hapo maana wenyewe mwao kugumu
 
Yaani jeshi lake hawakumteketeza au kumtelekeza wakati anapigwa na us uk fran nk wamtelekeze kwa israhell hili sahau mzeee
Ila tu ukweli mchungu nikwamba siiono Syria yakuingia vitani na israhell hapo maana wenyewe mwao kugumu
Wanajeshi wa Syria walimkimbia Assad kwenye civil war mwanzoni ila akaja kurejesha control baada ya kupata support hasa ya Iran. Kwani unadhani kwanini Assad alipoteza sana miji hasa ya mipakani?

Mwanzoni Assad alitumia nguvu nyingi sana kupambana na waandamanaji, makundi ya waasi madogo yakapata nguvu kutokana na wanajeshi wa Syria kutoroka. Zaidi ya wanajeshi 50,000 walitoroka na wengi kujiunga kwa waasi. Maofisa wa jeshi, usalama, polisi, mabalozi, mawaziri na manaibu, wanadiplomasia kibao. Assad alikimbiwa sana sema alikomaa kiume kabla ya Iran na Russia kumpa support maana zilichelewa sana. Kilichomsaidia ni ISIS kuanzishwa iliwachanganya waasi mara wapigane na serikali mara wapigane na ISIS na ikawafanya raia angalau wakubaliane na Assad kuliko ashindwe wawe chini ya ISIS.

Mfano Free Syrian Army imeundwa na majenerali na wanajeshi waliotoroka Syria. Assad hana ubavu wa kuanzisha vita na adui mwenye nguvu, atapotea mapema sana.
 
Wanajeshi wa Syria walimkimbia Assad kwenye civil war mwanzoni ila akaja kurejesha control baada ya kupata support hasa ya Iran. Kwani unadhani kwanini Assad alipoteza sana miji hasa ya mipakani?

Mwanzoni Assad alitumia nguvu nyingi sana kupambana na waandamanaji, makundi ya waasi madogo yakapata nguvu kutokana na wanajeshi wa Syria kutoroka. Zaidi ya wanajeshi 50,000 walitoroka na wengi kujiunga kwa waasi. Maofisa wa jeshi, usalama, polisi, mabalozi, mawaziri na manaibu, wanadiplomasia kibao. Assad alikimbiwa sana sema alikomaa kiume kabla ya Iran na Russia kumpa support maana zilichelewa sana. Kilichomsaidia ni ISIS kuanzishwa iliwachanganya waasi mara wapigane na serikali mara wapigane na ISIS na ikawafanya raia angalau wakubaliane na Assad kuliko ashindwe wawe chini ya ISIS.

Mfano Free Syrian Army imeundwa na majenerali na wanajeshi waliotoroka Syria. Assad hana ubavu wa kuanzisha vita na adui mwenye nguvu, atapotea mapema sana.
Kama ulivyoeleza ndivyo inavyokuwa kwenye vita.Muhimu usiwe mchokozi ndipo hutapata madhara makubwa.
Uasi wa askari waliochochewa na US na Israel ulifika pahala ukamuelemea Assad.

Hicho kitu kinaweza kikaitokea mpaka Israel kama kutakuwa na wanamgambo watakaokuwa wakiihujumu Israel kwa nguvu zao bila kupata maelekezo ya Al Assad.

Kwa hivyo hayo makombora madogo madogo kutoka Syria yanaweza yakawa na athari kubwa kwa wananchi wa Israel khususan yatakapoendelea kutua ndani ya Israel kila baada ya muda.Usisahau kuwa Israel kutokana na mauwaji inayofanya ndani ya Palestina kuanzia Gaza mpaka ukingo wa mashariki kunabadili sana mawazo ya wapalestina na waJordan vile vile.

Wapalestina wa ukingo wa magharibi na mashariki wanashikiliwa na polisi wa FATAH peke yake.Siku silaha za polisi hao zikiingia mikononi mwa vijan wa kipalestina wanaweza wakaleta balaa kubwa kwa IDF na wavamizi wa ardhi zao.

Unapojaribu kuelezea udhaifu wa al Assad na tahadhari zake kumbuka kuwa hali huwa zinabadilika kote kote na kwamba kuna wanajeshi wengi kwenye nchi zinazoizunguka Israel ambao wanaweza wakaanza kuchukua maamuzi yao yaliyo kinyume na tawala zao

.Elewa pia hizo nguvu za Israel kujibu mapigo kila siku zinazidi kudorora kadri vita vinavyosonga mbele.
 
Miongoni mwa mataifa muhimu katika ushirika wa kuiadhibu Israel ni Syria ambayo tangu vita vianze hapo Oktoba 7 walikuwa wako kimya.
Kwa mara ya mwanzo leo wanamgambo walioko mashariki ya Israel na nyuma ya Jordan walirusha makombora machache kuelekea ndani ya Israel.Hakuna madhara yaliyoripotiwa na jeshi la Israel japo jeshi hilo limetoa taarifa ya kufanikiwa kujua sehemu makombora hayo yaliporushiwa ndani ya Syria na kurudisha mapigo.
Hiyo inaweza kuwa ni habari mbaya kwa Israel kwani tayari ina mapambano kutokea kaskazini kutoka kwa Hizbullah na kusini kutoka kwa Houth wa Yemen na magharibi yake kutoka kwa Hamas.
Ikumbukwe kuwa Syria bado ina uchungu mkubwa na milima yake ya Golan ambayo ilitekwa na Israel wakati wa vita vya Yom Kipuri na kwamba milima hiyo pindi Syria ikianza kuidai kwa vita na kufanikiwa kuitia mkononi ni eneo ambalo linatazamana moja kwa moja na miji yote mikuu ya Israel ikiwemo Telavivi.
Wapiganaji wowote wa Syria wakiwa milima ya Golan wana uwezo wa kuchagua kituo chochote kukishambulia kwa makombora ya kawaida tu.
Syria itapigwa endapo kama kweli itajiingiza kwenye mgogoro huu.
Ni bora akakaa mbali nao ili kuendelea kuwa safe side.
 
Syria itapigwa endapo kama kweli itajiingiza kwenye mgogoro huu.
Ni bora akakaa mbali nao ili kuendelea kuwa safe side.
Kama ilivyoelezwa kuwa Al Assad anatumia akili sana ili kuendelea kuwepo.Pamoja na hivyo ni mtu ambaye anajielewa na hana urafiki na adui yake.Alipokwenda kwenye mkutano wa jumuiya ya nchi za kiarabu kule Saudi Arabia katikati ya mwezi uliopita ndiye mjumbe pekee aliyetoa kauli ya maana ya kutaka nchi za kiarabu ziungane na ziiwekee vikwazo Israel vya kila namna.
Kwa maana hiyo hivi vita vya Israel kwa wapalestina anaweza asijitokeze hadharani kwamba anapigana na Israel kwa muda huu.Anachoweza kukifanya ni ama kufumbia macho wanamgambo wanaoirushia kombora moja moja Israel.Yeye binafsi kuchukua maamuzi anapima jinsi Israel inavyodhoofika ili ikifika muda wake akitoa amri ya kupiga basi pigo lake liwe na athari kubwa zaidi.
 
Vipi mtazamo wa Edorgan juu ya Uvamizi wa Israel huko Gaza?.
Erdogan anapaza sauti kuishinda support ya jumuiya ya Kiarabu. Anataka kuifanya Turkey iwe kama defender of Muslim world na maamuzi yake kadhaa yanatokea kuwafurahisha. Kuanzia pale alipoifanya Hagia Sophia iwe msitiki. Ila Waarabu ni kama hawawakubali Waturuki hata historia ya Uislamu influence ya Uturuki na Ottoman empire haizingatiwi inavyostahili.

Ni vigumu kuipa support Hamas kilicho rahisi ni kulaani operation ya Israel ndani ya Gaza. Hawachukui hatua zaidi ya kulaani kinafiki ili isionekane hawajafanya kitu. Qatar kafanya kazi kubwa kuliko Uturuki ila Qatar hapendi sifa za kijinga na hapigi kelele ili angalau aonekane neutral ndio aweze kuitisha makubaliano na usuluhishi pande zote.

Turkey wana cha kupoteza, wanapiga kelele kubwa za kidiplomasia na Israel inajua hawatafanya kitu. Yemen wamejichokea hawana kelele ni matangazo kidogo na mashambulizi kiasi.
Erdogan apuuzwe.
 
Assad sio mpumbavu, Assad ni Rais mmoja anatumia akili sana kwenye maamuzi yake ndio maana kabaki madarakani wakati katokea kabila dogo na hana support kubwa kutoka kwa civilians.

Hayo mambo ya kutumia nguvu na war crimes ni matokeo kama wengine ila yuko very diplomatic na hakurupuki.

Israel huwa inafanya mashambulizi kwa wanamgambo au silaha za Iran humo Syria bila kipingamizi. Syria haina ubavu wa kuleta direct confrontation na Israel itapigwa mapema sana.

Haijatengamaa ina matatizo ya kiusalama yenyewe alafu ilete ugomvi na formidable foe. Hapo na Turkey upande wa Kaskazini muda wowote inavunja makubaliano na Russia inaenda kuwatafuta Wakurdi.

Makundi mengi sana ya waasi yatatumia hiyo opportunity kumtoa Assad. Kwanza jeshi lake litamtelekeza.
Hongera kwa kuusema ukweli. Wengine wanaongozwa na ushabiki tu wa kidini. Utawasikia mara Yemen, mara Syiria, mara Jordan, Iraq ... lakini wote hao ni vilema wasio na uwezo wowote kwa Jewsh
 
Assad sio mpumbavu, Assad ni Rais mmoja anatumia akili sana kwenye maamuzi yake ndio maana kabaki madarakani wakati katokea kabila dogo na hana support kubwa kutoka kwa civilians.

Hayo mambo ya kutumia nguvu na war crimes ni matokeo kama wengine ila yuko very diplomatic na hakurupuki.

Israel huwa inafanya mashambulizi kwa wanamgambo au silaha za Iran humo Syria bila kipingamizi. Syria haina ubavu wa kuleta direct confrontation na Israel itapigwa mapema sana.

Haijatengamaa ina matatizo ya kiusalama yenyewe alafu ilete ugomvi na formidable foe. Hapo na Turkey upande wa Kaskazini muda wowote inavunja makubaliano na Russia inaenda kuwatafuta Wakurdi.

Makundi mengi sana ya waasi yatatumia hiyo opportunity kumtoa Assad. Kwanza jeshi lake litamtelekeza.
Airport ya Syria ni silaha za Iran!?..walipiga,Syria wakakarabati,wamemaliza tu Israel wakapigwa Tena, Israel ilishapiga makao makuu intelligence ya syria
 
Bro acha kushabikia vita sio kitu kizuri kabisa vita ya kwenye movie na uhalisia ni vitu tofauti ingiza google uangalie images za watoto wa Syria na Yemen wanavyotia huruma halafu Kuna watu wapo kidongochekundu wanaleta ego za kihayawani
Screenshot_20231204-122651.png
 
Wanajeshi wa Syria walimkimbia Assad kwenye civil war mwanzoni ila akaja kurejesha control baada ya kupata support hasa ya Iran. Kwani unadhani kwanini Assad alipoteza sana miji hasa ya mipakani?

Mwanzoni Assad alitumia nguvu nyingi sana kupambana na waandamanaji, makundi ya waasi madogo yakapata nguvu kutokana na wanajeshi wa Syria kutoroka. Zaidi ya wanajeshi 50,000 walitoroka na wengi kujiunga kwa waasi. Maofisa wa jeshi, usalama, polisi, mabalozi, mawaziri na manaibu, wanadiplomasia kibao. Assad alikimbiwa sana sema alikomaa kiume kabla ya Iran na Russia kumpa support maana zilichelewa sana. Kilichomsaidia ni ISIS kuanzishwa iliwachanganya waasi mara wapigane na serikali mara wapigane na ISIS na ikawafanya raia angalau wakubaliane na Assad kuliko ashindwe wawe chini ya ISIS.

Mfano Free Syrian Army imeundwa na majenerali na wanajeshi waliotoroka Syria. Assad hana ubavu wa kuanzisha vita na adui mwenye nguvu, atapotea mapema sana.
Hili la Assad kuanzisha vita naungana na wewe kwa %kubwa
Suala la kukimbiwa na wanajeshi ama kuasiwa linapotokea mgogoro nijambo lakawaida san popote pale ulimwenguni na wala haikutokea Syria tuuu
Mfano wa punde nipale Niger wanajeshi walomlinda rais punde wakampindua
Syria alipoteza huko alipopoteza sababu alopigana nao walikua na sapot ya mataifa makubwa na yenye nguvu
Sababu ukitoa Iran hapo mido ist karibu mataifa yote yalikua against na Assad ulitegemea miujiza gani hapa kutoka kwa Assad
Iran na Russia hawakuchelewa kuingilia Syria ila walikua na mahesabu yao nandio maana walipoona mambo yao yamekaa sawa wakaona waingilie
Yaani ulitegemea kabisa Russia na Iran waiache Syria kuanguka lilikua haliwezekani watu walipiga hesabu za mbali hawakuwahi wala kuchelewa kama unavyodhani
Ila waliacha watu waamini kama unavyodhani wewe ila ghafla mambo yakabadilika
 
Hili la Assad kuanzisha vita naungana na wewe kwa %kubwa
Suala la kukimbiwa na wanajeshi ama kuasiwa linapotokea mgogoro nijambo lakawaida san popote pale ulimwenguni na wala haikutokea Syria tuuu
Mfano wa punde nipale Niger wanajeshi walomlinda rais punde wakampindua
Syria alipoteza huko alipopoteza sababu alopigana nao walikua na sapot ya mataifa makubwa na yenye nguvu
Sababu ukitoa Iran hapo mido ist karibu mataifa yote yalikua against na Assad ulitegemea miujiza gani hapa kutoka kwa Assad
Iran na Russia hawakuchelewa kuingilia Syria ila walikua na mahesabu yao nandio maana walipoona mambo yao yamekaa sawa wakaona waingilie
Yaani ulitegemea kabisa Russia na Iran waiache Syria kuanguka lilikua haliwezekani watu walipiga hesabu za mbali hawakuwahi wala kuchelewa kama unavyodhani
Ila waliacha watu waamini kama unavyodhani wewe ila ghafla mambo yakabadilika
Iran na Russia walichelewa pale Syria. Isingekuwa Assad kuwa iron man angeondolewa, kwani ilitumia miezi mingapi maandamano kuondoa utawala wa Hosni Mubarak au Zine El Abindine Ben Ali. Assad kaanza kupambana na raia wake mwaka 2011, jeshi lake zaidi ya 15% lilimtoroka unasema kawaida.

Warusi walikuja 2015 miaka minne baadae. Iranians walikuja mapema wachache baada ya Urusi kuja wakashirikiana kuongezeka
 
Yaani jeshi lake hawakumteketeza au kumtelekeza wakati anapigwa na us uk fran nk wamtelekeze kwa israhell hili sahau mzeee
Ila tu ukweli mchungu nikwamba siiono Syria yakuingia vitani na israhell hapo maana wenyewe mwao kugumu
Muanzisha muda mzushi anatunga stories kutaka kupata attention ya watu
 
Iran na Russia walichelewa pale Syria. Isingekuwa Assad kuwa iron man angeondolewa, kwani ilitumia miezi mingapi maandamano kuondoa utawala wa Hosni Mubarak au Zine El Abindine Ben Ali. Assad kaanza kupambana na raia wake mwaka 2011, jeshi lake zaidi ya 15% lilimtoroka unasema kawaida.

Warusi walikuja 2015 miaka minne baadae. Iranians walikuja mapema wachache baada ya Urusi kuja wakashirikiana kuongezeka
Narudia tena
Machoni mwako unahisi watu walichelewa ila watu walienda kwa wakati ufaao
Kukimbiwa ama kuasiwa na baadhi ya wanajeshi ni kawaida sana haikutokea tu Syria wala haitaishia Niger
Nimekupa mfano mapinduzi yalofanyika Nigeria watu walokua wanamlinda Rais mwisho wamempindua na nchi haikua mgogoroni baina ya jeshi na jeshi kwamba 99% walikua hawampendi rais wao
Iran na Russia walikuja kwa timing ila nyie mlitaka wafike muda munaoona nyie muafaka
Moubaraq hakua assad na assad hakua Moubaraq hawa watu tofauti na kila mmoja kapambana kivyake nachangamoto zake
 
Hili la Assad kuanzisha vita naungana na wewe kwa %kubwa
Suala la kukimbiwa na wanajeshi ama kuasiwa linapotokea mgogoro nijambo lakawaida san popote pale ulimwenguni na wala haikutokea Syria tuuu
Mfano wa punde nipale Niger wanajeshi walomlinda rais punde wakampindua
Syria alipoteza huko alipopoteza sababu alopigana nao walikua na sapot ya mataifa makubwa na yenye nguvu
Sababu ukitoa Iran hapo mido ist karibu mataifa yote yalikua against na Assad ulitegemea miujiza gani hapa kutoka kwa Assad
Iran na Russia hawakuchelewa kuingilia Syria ila walikua na mahesabu yao nandio maana walipoona mambo yao yamekaa sawa wakaona waingilie
Yaani ulitegemea kabisa Russia na Iran waiache Syria kuanguka lilikua haliwezekani watu walipiga hesabu za mbali hawakuwahi wala kuchelewa kama unavyodhani
Ila waliacha watu waamini kama unavyodhani wewe ila ghafla mambo yakabadilika
Russia na Iran wali piga msako sio wa kitoto mabeberu wali poteana ghafra ...Turkey naye alitaka kuleta mazoea aka pigwa kule Idlib
 
Back
Top Bottom