My thoughts, what are yours?

Thanx Rocky for this useful comments
 
Hahaha!! Lol
 
Fainest Utuhurumie, keren Hapuch Utusikie. Fellow tablet kama hatujasikilizwa tuhamie Tripoli kwa waasi.... Maandamano ya chadema hayatatusaidia katika kudai haki yetu ya kukienzi kilugha chetu cha kinyerere.

hehehe Keren Happuch yuko bize na laki 5 kule chit chat. The Boss anataka kuwaingiza magreti thinka chaka.
 
Nyie watu nyie acheni vituko bana mnatufanya tucheke bila kupenda
Mwalimu wangu wa somo la 'jinsi ya kutuliza maumivu wakati wa sikukuu' aliniambia ukiona mtu anacheka bila kupenda huna haja ya kumpa vidonge vya kutuliza maumivu, bali unamsemesha kwa kimombo......"get welo suuni"..........Kwa kiinglish ukimwambia mtu geti welo suuni, ni sawa na kumsokomezea mbantu kikombe kimoja cha maji ya mwarobaini saa kumi na mbili asubuhi kabla hajapiga mswaki. Ni kunga ya marazi kwa miaka mitatu ijayo.
 
I think that in the course of marriage, there is nothing that cannot change.

Yeah thats true and nothing is static when it comes to marriage issue.
Lazima kila mmoja akubaliane na mwenzake na avae viatu vya mwenzake katika ndoa ili kuleta maelewano
Huwezi ukaja na mambo ya kule kwenu nyumbani katika familia mpya ambayo nayo ina mambo yake
Mtajikuta mnatengeneza bomu ambajlo litawalipukia
Though kuna mambo mazuri ya kuiga ila mnayachuja kabla ya kuyakubali
 

Mkuu kweli umepinda inabidi unyooshwe
duh basio bana sina la kusema zaidi hapo
 
hehehe Keren Happuch yuko bize na laki 5 kule chit chat. The Boss anataka kuwaingiza magreti thinka chaka.

Tatizo uko busy sana na wajukuu
 
hehehe Keren Happuch yuko bize na laki 5 kule chit chat. The Boss anataka kuwaingiza magreti thinka chaka.
Hahahaha.......Magriit Thinkaz wa Chit Chat wawili ni sawa na magriit sinkaz kumi wa majukwaa mawili ya mastress.....Hizo laki tano Ze Boss anataka akanunulie raba mtoni za idi ill fitri au?
 
Hao tablet wawili sijui kama somo linawaingia
 
Well said Bishanga
 
Hao tablet wawili sijui kama somo linawaingia

Wanasema kiinglish kigumu hawalelwi
TB yani statement yako ni ya kuchambua mstari kw amstari na sio kuichukulia yote ndo maana natumia huo utaratibu
 
Hao tablet wawili sijui kama somo linawaingia
Labda fellow tablet ya malaria, mi somo limepanda. Hapa si mnazungumzia kwa mfano umeoa waifu akiwa chadema, akijiunga na chama cha magamba unamlamba talaka tatu rejea....au mnazungumzia Aseno akicheza na Simba nani atatoa droo?
 
Labda fellow tablet ya malaria, mi somo limepanda. Hapa si mnazungumzia kwa mfano umeoa waifu akiwa chadema, akijiunga na chama cha magamba unamlamba talaka tatu rejea....au mnazungumzia Aseno akicheza na Simba nani atatoa droo?

Hilo chaka kabisa
full stress hapo
 
Labda fellow tablet ya malaria, mi somo limepanda. Hapa si mnazungumzia kwa mfano umeoa waifu akiwa chadema, akijiunga na chama cha magamba unamlamba talaka tatu rejea....au mnazungumzia Aseno akicheza na Simba nani atatoa droo?

huyo ze finest wenyewe haelewi kaandika nini? hii habari kaikopi gazeti la the guardian (reference tunayo)
 
huyo ze finest wenyewe haelewi kaandika nini? hii habari kaikopi gazeti la the guardian (reference tunayo)
Hii lazima atakuwa ameitoa kwenye gazeti la The African. Wale jamaa wa The Guardian hawajui kimombo cha namna hii bana...khaa!....Nimejaribu kucheki na google nao nikaambiwa watanitafsiria hicho kiinglishi baada ya wiki mbili. Wanalazimika kuwasiliana na Oxford Yunivasite kitengo cha Kiinglish toleo la Kiranga.
 
huyo ze finest wenyewe haelewi kaandika nini? hii habari kaikopi gazeti la the guardian (reference tunayo)
Unafikiri mimi Hashycool aliyejifanya anajua kuongea kirusi baada ya kukamatwa border anatuita tumtoe selo
 
Labda fellow tablet ya malaria, mi somo limepanda. Hapa si mnazungumzia kwa mfano umeoa waifu akiwa chadema, akijiunga na chama cha magamba unamlamba talaka tatu rejea....au mnazungumzia Aseno akicheza na Simba nani atatoa droo?
arrrooo sisi wengine aseno,ndo nini sasa kututonesha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…