Heri sijasema hapoHata mpaka hapo Princess wangu muhesabu kabisa hutompata...kumbe kuna Petition for divorce huko kwa court? Afu inaelekea ww ndo umesababisha ndoa ikavunjika irreparably.....
My Princess is too good for you, mm na babaake hatutoa consent!
Akileta za kuleta anadundwa tuubwan Rocky, umdunde mtumishi wa Mungu? Laana yake unaijua? Kesho utashangaa unamgongea asuluhishe mgogoro wa ndoa yako.....lol!
for the very little of my understanding,marriage means forever commitment in love to a specific person for the rest of your life in this passing by world,usijiulizetu kwann unamuoa flani,pia jiulize kwann mtu fulani amekubari na amesema yuko tayari kuolewa na ww?jalibu kuainisha maitaji yako ktk ndoa then angalia ujumla wa kua na ndoa (yani ugumu wake),ukiona unamudu basi jiunge...honestly ndoa nijambo jema if and only if umempata mtu sahihi kwako.mtazamo tu lknMost marriages are not successful ones kwa sababu, wengi tunaingia kwenye ndoa bila kujiuliza kabla kwanini uoe/uolewe! Ni mkumbo, fashion, fulfilling dreams, kuonyesha kitaa (marafiki hususani wanawake - they value pete za ndoa kuliko NDOA yenyewe). Researches reveal that walio ktk ndoa ni viwembe kuliko wasio ktk ndoa...... Tht answers my qn kwamba wengi tunaingia ktk ndoa bila kujiuliza je nina sababu ya kuoa / kuolewa sasa hv, kwanini nimuoe / olewa huyu na si yule etc......
ODM hebu mwaga utirio wako hapa twende kinyerere language lol!!!Orayt, hebu mwambieni ODM mmeafikiana nini kwenye swala zima la ndoa, kabla hajarusha maeksipiriensi yake ndani ya ndoa takatifu.
Angalizo: Mnifahamishe kwa kinyerere........ODM ana allergy na Tony Blair's mother tongue....
Hahaha!!! ODM banaa tokea jana unapiga chenga za mwili ujue tunakusuburia hivyoHommi baba, mbona unazeeka kabla hujawa kijana?.........Hebu soma haya mabandiko ya wajukuu wa Davie Cameron hapa chini......
Dah!!! Rocky hafai kabisa jana alikuwa rafiki yangu leo kanigeuka, bht usisikilize maneno ya waswahili lolHata mpaka hapo Princess wangu muhesabu kabisa hutompata...kumbe kuna Petition for divorce huko kwa court? Afu inaelekea ww ndo umesababisha ndoa ikavunjika irreparably.....
My Princess is too good for you, mm na babaake hatutoa consent!
QUOTE=afrodenzi;2455032]duuhhh hivi kumbe basi mi nnajua stori nyingine kuhusu ndoa yake..
na yenyewe ni hii sex anapata, kwa sasa wanaishi kwa mkataba tu TF
ame fall in love na mtu mwingine kamwambia mkewe na mkewe akamkubalia
divorce sasa wanasubiri huyo lawyer apitishe kalimu kila mtu acheza zake lakini kwa sasa
ni wanatimiziana mahitaji tu (no strings attached)...lol
Duh!! Duh!! Duh!! Ngoja nitafakari kwanza haiwezekani hiiHeri sijasema hapo
Aise Bht mlinde sana Princess wako maana TF ana ndoa kama tatu zinaexist moja huko kijijini kwao na mbili mjini hapa
Dah!!! Rocky hafai kabisa jana alikuwa rafiki yangu leo kanigeuka, bht usisikilize maneno ya waswahili lol
<br />Dah!!! Rocky hafai kabisa jana alikuwa rafiki yangu leo kanigeuka, bht usisikilize maneno ya waswahili lol
<br />Hiyo ni story nyingine alikupa <br />
Hivi kumbe kila akikutana na mtu anatoa another version of story <br />
Na unajua nyumba anayokaa ni ya yule mwanamke sasa <br />
So siku talaka ikitoka TF anafukuzwa na kifuko chake cha rambo na zile jeans zake mbili mpauko
Utaona mwenyewe we subiri tu hizo ni fitina zaoYou will have to prove him wrong...kazi kwako.
Hahahaha!!!Ndo uamini kuwa rafiki mkia wa mbuzi
Ila TF si nasema kweli bana kwani kuna sehem nimeenda mchomo
<br />Utaona mwenyewe we subiri tu hizo ni fitina zao<br />
<br />
<br />
Hahahaha!!!
Orayt, hebu mwambieni ODM mmeafikiana nini kwenye swala zima la ndoa, kabla hajarusha maeksipiriensi yake ndani ya ndoa takatifu.
Angalizo: Mnifahamishe kwa kinyerere........ODM ana allergy na Tony Blair's mother tongue....
Halafu babu Asprin ulisema ikifika saa nane utatoa au kumwaga utirio hapa. Uko wapi ambako saa nane haijafika