My life with grown married men

I can feel you my dear. Guilt inaweza kukuua kwa mawazo. Yuda na Petro wote walimkosea Yesu, but Petro alichagua toba akaishi ila Yuda kwa ajili ya guilt alijiua. Unakosa amani Kabisa na Kila wakati unapopitia magumu utaanza kujihukumu "ni kwa sababu nilifanya kosa fulani. Ni kwa sababu nilitembea na waume za watu. Unahitaji toba kwa Mungu ma pia Jisamehe wewe mwenyewe ili usije ukajihukumu huko mbeleni. Hata ikitokea unapata shida kuolewa au umepata mume anayekusumbua, amini ni mapito tu kama mapito mengine, na sio kwa sababu ulitembea na waume za mtu. Shetani ni muongo, everytime unataka kupiga hatua mbele, atakuwa anakukumbusha uliyoyafanya nyuma ili tu uvunjike moyo, wewe usimpe nafasi.. Mungu wetu ni wa neema na rehema, anafuta mashtaka yako yote (hati ya mashtaka ilifutwa pale msalabani) na atafanya mabadiliko ndani yako kwa kuzigeuza file zako

Mtafute kiongozi wa dini unayemuamini, ungama then please please "JISAMEHE na omba Mungu asamehe na kizazi chako. Baada ya hapo Mpende Mungu zaidi ( when the guilt is gone, love the Lord more). Mungu atakupitisha katika hili. Sio kitu chepesi kuondoa guilt, ila utayaweza yote katika Mungu. Tutakuponda mawe sana but usitusikilize, Kila mtu hapa ana lake moyoni anahangaika nalo. Uzuri wewe umeshagundua nini unachotaka, basi Ziba masikio, concentrate na Mungu wako, ya kale yamepita. . Yote yamekuwa mapya

Nimelia...
 
Pole mwaya...... Ni kweli vijana wanazingua ila kumbuka hata hao wababa walikuwa vijana enzi zao walisumbua......
Kwani sahivi wameacha kusumbua hao wababa....bado vitombi, waulize wake zao
 
njoo kwangu mie mume wa mtu afu nipo single mama chanja
 
Married men!
Hivi Kuna mwanamke hajawahi kutokewa na a married guy! I wonder how their wives feel. Au ndo wamekubaliana na hali ili mradi wao ndo wanajulikana, the guy Could go anywhere!!
Tena ving'ang'anizi haoooo!! Yaani ni balaa tupu.
 

Ungeanza kwa kutumia una umri gani!? Dini yako? unapoishi iwe rahisi kukushauri
 
Ungeanza kwa kutumia una umri gani!? Dini yako? unapoishi iwe rahisi kukushauri

Am 24 years, Christian,. Naishi Iringa for now ila nyumbani kwetu ni arusha.
 
Eti nataka nichange niwe na vijana huku unadai uwapendi wana mambo ya ajabu[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji7][emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] ...!

Shida ni umasikini wako na kupenda vya bure wazee pesa hawajui pakuzitumia siye mayanki mipango matumizi siyo priority...!
 
sema hela sababu maana vijana wengi chepe alolo na watu wazima wako vizuri financially
ila ukiamua mwenyewe unaweza fanya maamuzi magumu usiangalie nyuma wala usijifananishe na mtu ukikutana na umpendaye mpende usilinganishe mapenzi sababu hayana formular hayo na pia watu hawafanani
 
Chris Rock said women can't ever go backwards in lifestyle. If a mama dates a brotha who drives, she'll never feel one who walks. The next one gotta top whatever the former had to offer. So it's not her fault.
Exactly it's not her fault, but rather her "CHOICE" (acha wale wanaodate waume za watu bila kujua). We are in no position to judge her, but I hope you have learnt something from the choice she made.
 
yan i hv a frnd ambae ashawah kuwa dem wngu na ako na same story km yako asee,,km co ww cjuiii..
 
Ni pm pls
 
Mama chanja nitakuja iringa tuchanjane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…