My first boyfriend

Hapana. Ni maumivu sana hivyo haihitaji watoto. Sasa hivi atakua kashawekewa tayari. Mjaribu akugegede vema.
angalau wewe UnA huruma na hao watoto dah.

Si tuache kutahiri tu. haina haja.
 
Reactions: BAK
Hhahahahaahaa eti na shilingi inavyoshuka thamaniii..
 
kumbe inakuwaga hivi eeh,

Ilikuwa anakaa karibu yangu darasani, madaftari yangu ananisaidia kujaladia, anayaandika majina kwa madoido, nilikaribishwa sana kwao, sunday school kwa pamoja, kukaa sehemu moja kila mahali, kuombwa kusindikizwa kwenda huku na kule asubuhi mchana jioni hata usiku, kuja kusomea kwetu kuombwa kwenda kusomea kwao hata kulala kule......

Sikuwahi kupata wazo lolote baya, la kuasi. Hakika nilikuwa na ule upendo hasa hasa, hata siku naenda secondary nipo kwenye gari chozi likanitoka kufikiri tu niliowaacha ambao hawakufaulu first selection lakini wazazi wanawatafutia private.

Nakuja likizo ya kwanza naambiwa wengine walishaenda shule za mbali.

Siku zinakwenda miaka inapita nasikia fulani kapita mara nanilii siku hizi hivi mara vile mara kuna vijana wa mjini yoooote hata hayakuniingia akilini vizuri, Hata nilipokuja kuambiwa 'nilikuonyesha kila dalili ili uwe wa kwanza, nilisumbuliwa sana hadi nilipoona sasa basi'

Oooh kumbe uzi wa watu huu, ngoja nami nikianzisha mtajua yote
 
Peleka uhayawani wako fb huko hivi unadhani humu ni watoto kama wewe??
 
angalau wewe UnA huruma na hao watoto dah.

Si tuache kutahiri tu. haina haja.

Kiafrika govi lina risk nyingi ikiwemo kansa ya kichwa cha mboo, kansa ya shingo ya uzazi na maambukizi ya zinaa like HIV, Hepatitis B&C nk
 
jitahidi uandike kiswahili
ili tupate maana halisi...
maana wengine lugha haipandi,
kwahiyo sijaelewa kabisaaaa.
 
dunia hii itapita na mambo yake ila mapenzi yatasimama daima
 
Kiafrika govi lina risk nyingi ikiwemo kansa ya kichwa cha mboo, kansa ya shingo ya uzazi na maambukizi ya zinaa like HIV, Hepatitis B&C nk
Kwanini kiafrika, mbona Europe hawajaambiwa watahiri kwa hizo shida?

nitaelewa kuwa labda joto na Umaskini tunashindwa kupata maji masafi ya kuogea kwahiyo wanapata Sana infections Kama fungus.

na labda watu kufanya ngono zembe. lakini kweli mtu ukate kiungo cha Mwili ili ukakitembeze ovyo bila kupata virus?? nani kasema hutopata virus!

tuache kukata bwana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…