My Birthday

dec 2..tupo pamoja kaka na wengine wote waliozaliwa tarehe hiyo
 
Desemba 02 ya kila mwaka ni tarehe ambayo miongoni mwa wengi waliozaliwa siku hiyo, basi mimi kamtu kadoogo kasiko na umuhimu sana nilizaliwa.

Yes namshukuru Mwenyezi Mungu kwa yote, ameniongoza katika mengi ambayo leo nikigeuka nyuma siamini kama nilipita kule. Nakumbuka incident moja ambapo nilichelewa kupata usafiri wa kurudi nyumbani (Hadi saa nne usiku) kutoka shamba enzi hizo Changanyikeni (nyuma ya UDSM) na usafiri ulikuwa ni uda pekee. Nililazimika siku hiyo kulala juu ya mkorosho shambani maana nilikuwa naogopa mno muumiani hadi nikashindwa kuomba hifadhi kokote. Sitasahau siku hiyo maana usiku sikulala vizuri na nilishuhudia vitu kadhaa vitendekavyo usiku...

Kumbukumbu yangu ya kuzaliwa sitahitaji zawadi yeyote zaidi kwani yanayotukia serikalini katika safisha safisha ni zaidi ya zawadi kwangu.

Nawatakia heri nyote ambao siku kama ya leo mlizaliwa.

Naishukuru JF kipekee kwa kunikuza kifikra na kimsimamo.

Zawadi kwa King'ast wangu ni kuwa "Baby I will come home early today"

Sitasahau siku hiyo maana usiku sikulala vizuri na nilishuhudia vitu kadhaa vitendekavyo usiku...
tutajie basi hivo vitendo
 
Sitasahau siku hiyo maana usiku sikulala vizuri na nilishuhudia vitu kadhaa vitendekavyo usiku...
tutajie basi hivo vitendo

Hahah mkuu
Najua unawaza kuwa niliona wachawi.....

Nilishuhudia vibweka tu.
 
Hahah mkuu
Najua unawaza kuwa niliona wachawi.....

Nilishuhudia vibweka tu.

hapana wala sijawaza hicho...ila nilitegemea ulishuhudia mara kapita mtu na demu wake kamuinamisha mara watu wanakimbizana wanadiana mara watu wanabishana...mara wafanye mapenzi kona nona ...kama vimbweka hivo hao....je uliona nini mkuu?
 
Happy Birthday Paw, kindly receive our happy birthday wishes from me and my sweet pie NN.
Happy Birthday enjoy the day with your loved ones.
Hi Kasinde! Another change of avatar? Why this frequency?
 
Last edited by a moderator:
Hi Kasinde! Another change of avatar? Why this frequency?

Hhahahahaaa wacha nikuite SHEKHE kwa leo maana leo ni Ijumaa na jina hilo linaendana matamshi na jina lako.

Change of avatar soon ndo mwendo wa sasa huo ni ku selfika tuu

.....katchaa........ Ekotikeeee.................. Ekoootiikeeee

Kitu Selfie.............

Nimeamua tuu kutupia selfie zangu mbali mbali kwa nyakati tofauti tofauti.

Vipi kwani imekukwaza? au imeleta shida mahali?
 
Hhahahahaaa wacha nikuite SHEKHE kwa leo maana leo ni Ijumaa na jina hilo linaendana matamshi na jina lako.

Change of avatar soon ndo mwendo wa sasa huo ni ku selfika tuu

.....katchaa........ Ekotikeeee.................. Ekoootiikeeee

Kitu Selfie.............

Nimeamua tuu kutupia selfie zangu mbali mbali kwa nyakati tofauti tofauti.

Vipi kwani imekukwaza? au imeleta shida mahali?
Avatar yako ni 'cool',haiwezi kunikwaza au kuniletea shida.Nilishangaa tu jinsi ulivyobadilibadili within short space of time.That's all.
 
Avatar yako ni 'cool',haiwezi kunikwaza au kuniletea shida.Nilishangaa tu jinsi ulivyobadilibadili within short space of time.That's all.

If it's cool then it's cool, thanks.
 
Back
Top Bottom