Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,686
- 40,889
Siku muhimu sana kwa maisha yako Tuna ungana sote kusherehekea Mm nimezalia Jana yaani Dec 1Hbd paw
Desemba 02 ya kila mwaka ni tarehe ambayo miongoni mwa wengi waliozaliwa siku hiyo, basi mimi kamtu kadoogo kasiko na umuhimu sana nilizaliwa.
Yes namshukuru Mwenyezi Mungu kwa yote, ameniongoza katika mengi ambayo leo nikigeuka nyuma siamini kama nilipita kule. Nakumbuka incident moja ambapo nilichelewa kupata usafiri wa kurudi nyumbani (Hadi saa nne usiku) kutoka shamba enzi hizo Changanyikeni (nyuma ya UDSM) na usafiri ulikuwa ni uda pekee. Nililazimika siku hiyo kulala juu ya mkorosho shambani maana nilikuwa naogopa mno muumiani hadi nikashindwa kuomba hifadhi kokote. Sitasahau siku hiyo maana usiku sikulala vizuri na nilishuhudia vitu kadhaa vitendekavyo usiku...
Kumbukumbu yangu ya kuzaliwa sitahitaji zawadi yeyote zaidi kwani yanayotukia serikalini katika safisha safisha ni zaidi ya zawadi kwangu.
Nawatakia heri nyote ambao siku kama ya leo mlizaliwa.
Naishukuru JF kipekee kwa kunikuza kifikra na kimsimamo.
Zawadi kwa King'ast wangu ni kuwa "Baby I will come home early today"
Enzi za nyerere yuko madarakani
Hahah mkuu
Najua unawaza kuwa niliona wachawi.....
Nilishuhudia vibweka tu.
Hi Kasinde! Another change of avatar? Why this frequency?
Avatar yako ni 'cool',haiwezi kunikwaza au kuniletea shida.Nilishangaa tu jinsi ulivyobadilibadili within short space of time.That's all.Hhahahahaaa wacha nikuite SHEKHE kwa leo maana leo ni Ijumaa na jina hilo linaendana matamshi na jina lako.
Change of avatar soon ndo mwendo wa sasa huo ni ku selfika tuu
.....katchaa........ Ekotikeeee.................. Ekoootiikeeee
Kitu Selfie.............
Nimeamua tuu kutupia selfie zangu mbali mbali kwa nyakati tofauti tofauti.
Vipi kwani imekukwaza? au imeleta shida mahali?
Avatar yako ni 'cool',haiwezi kunikwaza au kuniletea shida.Nilishangaa tu jinsi ulivyobadilibadili within short space of time.That's all.