My baby is strange

heee u r in trouble!sasa go back mtongoze na umchunguze tartiibu ,unawajua ndugu zake? ulimpata kwa njia gani.oh anzia kwenye mizizi otherwise soon yatakukuta,esp ukichepuka
 
Nenda kwenye threads za Pasco kule jamii intelijensi utapata majibu.
 
Last edited by a moderator:
heee u r in trouble!sasa go back mtongoze na umchunguze tartiibu ,unawajua ndugu zake? ulimpata kwa njia gani.oh anzia kwenye mizizi otherwise soon yatakukuta,esp ukichepuka

Tumekutana mkoani katika mishemishe tu, yeye wa dar mimi arusha, cna ndugu yake ninaemjua!
 
poa umeamua kuniandikia thread sawa TUTAONANA USIKU

UMEVUNJA SHARTI KUBWA SANA
 
Spyware.She is stalking you ,amenunua spyware card ame install Kwenye Simu yako kwa hiyo anachofanya anaingia Kwenye website ya hiyo spyware anaona kila kitu Simu ,text message ,email na picha na GPS .Google spyware utaona company zote .mie nawafanyia wanangu I know everything
umesema???kwahiyo hiyo spyware inaona hadi mawazo ya moyoni duuh hatare!!
 
Back
Top Bottom