nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,664
bado tu hajakupigia kuuliza kwanini umemuanika Jf?
bado tu hajakupigia kuuliza kwanini umemuanika Jf?
heee u r in trouble!sasa go back mtongoze na umchunguze tartiibu ,unawajua ndugu zake? ulimpata kwa njia gani.oh anzia kwenye mizizi otherwise soon yatakukuta,esp ukichepuka
Mlikutana wap? Na mko kwa uhusiano kwa muda gani sasa
Nitatumia mbinu gani mkuu! ameniambia nikimwacha tu ndo ntamjua!
Tulikutana mkoa flani hvi huku upande wa kusini, tuna kama miezi mitatu kwenye mahusiano.
bado tu kunyoosha mkono kuzima taa akiwa kitandani...
Tumekutana mkoani katika mishemishe tu, yeye wa dar mimi arusha, cna ndugu yake ninaemjua!
umesema???kwahiyo hiyo spyware inaona hadi mawazo ya moyoni duuh hatare!!Spyware.She is stalking you ,amenunua spyware card ame install Kwenye Simu yako kwa hiyo anachofanya anaingia Kwenye website ya hiyo spyware anaona kila kitu Simu ,text message ,email na picha na GPS .Google spyware utaona company zote .mie nawafanyia wanangu I know everything
Baby wako hana dini?Nabii asie na dini?
Nunua spyware ya wahindi