Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,599
- 112,653
Kwanini mmemuwazia negative tu?
kama amejaaliwa roho mtakatifu ndani yake anapata maono?
kama amejaaliwa roho mtakatifu ndani yake anapata maono?
Spyware.She is stalking you ,amenunua spyware card ame install Kwenye Simu yako kwa hiyo anachofanya anaingia Kwenye website ya hiyo spyware anaona kila kitu Simu ,text message ,email na picha na GPS .Google spyware utaona company zote .mie nawafanyia wanangu I know everything
Kwanini mmemuwazia negative tu?
kama amejaaliwa roho mtakatifu ndani yake anapata maono?
Spyware inajua hadi mtu anachowaza?
is it for real?
Roho mtakatifu au roto mtakamtu?
Kwa Imani, kuna kitu unabii
manabii huwa wanauwezo wa kujua mambo yanayojiri kama inavotokea kwako
kuna dada mmoja ni mke wa nabii kipindi cha uchumba nae alikuwa na hofu juu ya huyo mwaname wake(nabii)
Kwasababu ya mambo kama hayo....
mdada hajaaga ila jamaa anamfata hadi alipo, kama anatafuta kitu basi nabii anapiga simu anamwambia unachotafuta kipo sehemu flani ( bila hata kuulizwa)mdada ful wasiwasi anadhani wanaume wake ni jini....
hivo usiconclude mjue ye ni nani kati ya hivo viwili
Nitatumia mbinu gani mkuu! ameniambia nikimwacha tu ndo ntamjua!
teh teh.....muache ili umjue....au anzisheni kanisa....ni mradi mzuri kwa kipaji chake....
We have the same account Verizon .unajua data usage bill inakuwa juu nikiweka ila I trust my hubby Halafu atagundua unajua Simu Ina lights up sometimes akinistukia kwishneyDo you have that installed in your gadgets for Dr. Rutherford?
Mhhhh!!!! Huyo mlie kitimoto , majibu utayapata.
Spyware.She is stalking you
,amenunua spyware card ame install Kwenye Simu yako kwa hiyo
anachofanya anaingia Kwenye website ya hiyo spyware anaona kila kitu
Simu ,text message ,email na picha na GPS .Google spyware utaona
company zote .mie nawafanyia wanangu I know everything
huyo atakuwa jini bhana. Yaani ajue yote hayo wakati hauko nae
Spyware inajua hadi mtu anachowaza?
Nahisi hata hii post atakuwa ameiona, sishangai kuambia umetuma thread gani leo mtandaoni!