My artwork diary

Ndio maana unarogwa!
 
Sh ngapi kunichorea picha
Hi mkuu sorry kwa delay kureply

Kuchora na kuframe picha ya ukubwa wa
A4 size 95000Tshs
A3 size 150000
A2 size 250000
A1 size 350000

Cheki nami on my Whatsapp+255 755 637 955 kujionea sample za size tajwa hapo juu.
Ahsante
 
Hypolite naomba kujua draft katika uchoraji inasaidiaje/inayo kazi gani..?
Hi Jagiya hizo draft tunaziita grid

1.zinarahisisha kazi kipindi unapofanya sketching ya picha kukufanya utumie muda mchache kwenye sketching

2.Correct positioning na balancing details ya mchoro.

Hivyo yaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…